Alichopost Spika Tulia Ackson baada ya hoja yake kuhusu kugawanywa jimbo la Mbeya Mjini

Ana mtaji wa wajinga jinga na wwapumbavu..mara ngoma .ujinga mtupu..shenzi kweli kweli
 
Off coz huyu Madam brain yake ipo juu sana na uwenda is Soo powerful woman who is unseen... Kiufupi amemdharau akimkumbusha sisi ndio sisi na ....... Sisi so amefurahi... Well napita
Spika kilaza kuliko wote. Naona kajiabisha kaamua kuja kujichekesha. Very stupid speaker.
 
Ukishakuwa kiongozi wa mhimili lazima ujifunze protocol za kazi. Wewe ni spika lakini unataka kusutana na watu mitandaoni. Kama unataka kuwa kiongozi Kuna ujinga unatakiwa uuache. Ajifunze kwa NDUGAI.
 
Spika kilaza, Kuna uhaba wa dola kwenye soko la Tanzania yeye anawaza kugawa majimbo. Very stupid.
 
Ukishakuwa kiongozi wa mhimili lazima ujifunze protocol za kazi. Wewe ni spika lakini unataka kusutana na watu mitandaoni. Kama unataka kuwa kiongozi Kuna ujinga unatakiwa uuache. Ajifunze kwa NDUGAI.
Alichopost hakina ubaya wowote.....ameweka "kicheko tu"".....na si cha yeye binafsi.....kuwa Spika si kuwa "antisocial"[emoji1787]
 
Kuliko Mbowe?!!!!
Sasa spika mzima unaacha kujadili upungufu wa dola kwenye soko, unaanza kujadili kugawanya jimbo la Mbeya mjini, halafu unakuja kujichekesha Kama kahaba twiter.

Pia, Tofautisha ukilaza wa spika na raia wa kawaida. Ukilaza wa spika ambaye mwishoni taifa linapata shida kwa ukilaza wake ni hassara.Tulia must go
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…