Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Ana mtaji wa wajinga jinga na wwapumbavu..mara ngoma .ujinga mtupu..shenzi kweli kweliHii nchi hadi huruma, viongozi ni wabinafsi sana. Tulia hebu ongonza Mbeya ,eti jimbo kubwa wakati kila mara unafanya sherehe tu. Nimesikia kuna Tuliamarathon sijui. Jitahidi kujenga huduma kwa wananchi.
Wananchi wanahitaji maendeleo na si sherehe kila mara kwa sasa. Maendeleo kwanza, sherehe baadae.
Mbona Tulia ndio anatakiwa kujipanga. Ndio maana ameanza kulia mapema Jimbo ligawanywe.Sugu Kwa mbeya ajipange Sana aisee
Ziro brain kabisa huyuHuyu ndo Speaker/Rais wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ila nimeamini viongozi wetu ndo reflection ya wananchi. Speaker yupo hivi, wananchi je?
Zaidi, soma: Spika Dkt. Tulia aomba jimbo la Mbeya Mjini kugawanywa
Nani atamchgua huyo kilaza mlinda mafisadi. Eti ripoti ijadiliwe mwezi wa kumi na moja kisa mumewe katajwa kwenye ufisadi wa EWURA.Uitishwe hata sasa hivi....Sugu anapigwa kweupeeeeee
Ndugai hakua una umamaSawa,ni social media yes.Ila speaker kupost dharau kama hiyo hapana kwa kweli.
We unahisije 😂😂Kayatulizaje hayo mafujo?
Tusiombee uongo, lini Mbeya ilikuwa kama Khartoum?. Si mlimfunga Sugu miezi sita jela.[emoji2956][emoji2956]
Shwari kabisaaa....
Mbeya ilikuwa kama Khartoum vile....Mh.Tulia aendelee tu.....
Ni kuhakikisha viongozi wakubwa wanaendelea kuwa wabunge hata ikibidi kwa kuwaongezea mzigo wananchi kwa kugawa majimbo na kuongeza idadi ya wabungeShida ya nchi hii ni kuongeza idadi ya wabunge au kuondoa changamoto za wananchi?
Spika kilaza kuliko wote. Naona kajiabisha kaamua kuja kujichekesha. Very stupid speaker.Off coz huyu Madam brain yake ipo juu sana na uwenda is Soo powerful woman who is unseen... Kiufupi amemdharau akimkumbusha sisi ndio sisi na ....... Sisi so amefurahi... Well napita
Labda umesahau....japo yy alikuwa hafanyii katika IG.....[emoji1787]Ndugai hakua una umama
Wa hivi kabisaa
Wewe na huyo mjinga Tulia ni hovyo tu kiufupi Unapaswa ufunguke huo uchafu wake ili atoke kwenye kile kiti otherwise huna la maana.Mbona umechelewa sana kumjua , sisi wengine tumeamua kuheshimu jf tu , lakini tukifunguka humu itakuwa balaa
Ukishakuwa kiongozi wa mhimili lazima ujifunze protocol za kazi. Wewe ni spika lakini unataka kusutana na watu mitandaoni. Kama unataka kuwa kiongozi Kuna ujinga unatakiwa uuache. Ajifunze kwa NDUGAI.Ni kwanini umeamua kuhusianisha maisha binafsi ya mtu na kutaka kulifanya kama suala la umma? Account ya social media ni jambo lake binafsi. Kwahiyo anayofanya kwenye account yake ni jambo lake binafsi na si lazima liwe na maslahi kwa umma. Mkuu, kwani hiyo account imeandikwa' Tulia' au ' Spika wa Bunge?'
Kuliko Mbowe?!!!!Spika kilaza kuliko wote. Naona kajiabisha kaamua kuja kujichekesha. Very stupid speaker.
Hana la kufunguka huyo Atupele Erthyrocyte......Wewe na huyo mjinga Tulia ni hovyo tu kiufupi Unapaswa ufunguke huo uchafu wake ili atoke kwenye kile kiti otherwise huna la maana.
Hakuna uhaba wa dola....una ngojera za uzushi sana bwasheee[emoji1787]Spika kilaza, Kuna uhaba wa dola kwenye soko la Tanzania yeye anawaza kugawa majimbo. Very stupid.
Alichopost hakina ubaya wowote.....ameweka "kicheko tu"".....na si cha yeye binafsi.....kuwa Spika si kuwa "antisocial"[emoji1787]Ukishakuwa kiongozi wa mhimili lazima ujifunze protocol za kazi. Wewe ni spika lakini unataka kusutana na watu mitandaoni. Kama unataka kuwa kiongozi Kuna ujinga unatakiwa uuache. Ajifunze kwa NDUGAI.
Sasa spika mzima unaacha kujadili upungufu wa dola kwenye soko, unaanza kujadili kugawanya jimbo la Mbeya mjini, halafu unakuja kujichekesha Kama kahaba twiter.Kuliko Mbowe?!!!!
Sikulazimishi kuamini, wewe endelea kuamini unachoamini, Mimi naongelea uhalisia ulionipata.Hakuna uhaba wa dola....una ngojera za uzushi sana bwasheee[emoji1787]