Tuko hovyo sana badala tupunguze gharama za uendeshaji na tuongeze budget ya maendeleo tulivo vilaza tunaongeza viongozi hewa wakushibisha matumbo yaoNi kuhakikisha viongozi wakubwa wanaendelea kuwa wabunge hata ikibidi kwa kuwaongezea mzigo wananchi kwa kugawa majimbo na kuongeza idadi ya wabunge
Spika anashindwa kuelewa ametoa boko bungeni halafu anajichekesha? Angejichekesha bila boko nisingefuatilia, ila kujichekesha Kama kahaba wakati ameongea pumba bungeni ni ujinga wa Hali ya juuAlichopost hakina ubaya wowote.....ameweka "kicheko tu"".....na si cha yeye binafsi.....kuwa Spika si kuwa "antisocial"[emoji1787]
Sawa Mkuu.Ukishakuwa kiongozi wa mhimili lazima ujifunze protocol za kazi. Wewe ni spika lakini unataka kusutana na watu mitandaoni. Kama unataka kuwa kiongozi Kuna ujinga unatakiwa uuache. Ajifunze kwa NDUGAI.
Nani? Huyu Tulia ambaye aliwaambia vijana wa UVCCM wawashughulikie vijana wa upinzani?. Huyo analipi la kutuliza Mbeya. Watu wametulia wenyewe kwa uvumilivu wao sio huyo spika wa mchongo.Sugu mbeya mjini pasahau kabisa labda ukajaribu bahati yako hako kajimbo kapya, mbeya mjini ni ya Tulia na kaituliza, zile fujo fujo za masela tushazisahau.
Wewe wasema. Mwenzako anaomba Jimbo ligawanywe wewe unadai hawezi kutolewa. Siasa zinabadilika Sana.Sugu Hana uwezo wala ubavu wa kumng'oa speaker Mbeya hyo haipo
Namaanisha mitandaoni hakua na utoto huu .nikumbusheLabda umesahau....japo yy alikuwa hafanyii katika IG.....[emoji1787]
Wewe ndo unaumwa.. pata tabibu wa kisaikolojia haraka sana.Huyu ndo Speaker/Rais wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ila nimeamini viongozi wetu ndo reflection ya wananchi. Speaker yupo hivi, wananchi je?
Zaidi, soma: Spika Dkt. Tulia aomba jimbo la Mbeya Mjini kugawanywa
Interesting!Kwa hiyo kuwa Spika kunamzuia mtu asiSOCIALIZE?!!!![emoji849][emoji1787][emoji1787]
Kwani lazima umuelewe!?? Baki na uwezo wako wa kuelewa.Basi wewe na Tulia fikra zenu ni sawa,mpo kwa ubinafsi na si kuleta maendeleo kwa wananchi.
Vic mbona sikioniHaya hivi sisi wananchi ,huyu Speaker anaetaka jimbo ligawanywe,kwanza anaweka mzigo kwa wananchi,hapo linaongezeka Shangingi jingine,mshahara wa mbunge,mafao 300M +
Hizo zingesaidia sana wananchi.Halafu jamani huko majimboni si kuna watendaji wengine? Huyu Speaker anaonyesha dharau, anapost video kama hiyo kweli?
Hakuna jambo binafsi kwa mtumishi wa umma.Ni kwanini umeamua kuhusianisha maisha binafsi ya mtu na kutaka kulifanya kama suala la umma? Account ya social media ni jambo lake binafsi. Kwahiyo anayofanya kwenye account yake ni jambo lake binafsi na si lazima liwe na maslahi kwa umma. Mkuu, kwani hiyo account imeandikwa' Tulia' au ' Spika wa Bunge?'
"...kama kahaba.." au kahaba!!??Spika anashindwa kuelewa ametoa boko bungeni halafu anajichekesha? Angejichekesha bila boko nisingefuatilia, ila kujichekesha Kama kahaba wakati ameongea pumba bungeni ni ujinga wa Hali ya juu
Huyo ni spika bora kuliko aliyemtangulia, alichoposti ni kawaida tu..... don't be too serious kila saa.Huyu ndo Speaker/Rais wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ila nimeamini viongozi wetu ndo reflection ya wananchi. Speaker yupo hivi, wananchi je?
Zaidi, soma: Spika Dkt. Tulia aomba jimbo la Mbeya Mjini kugawanywa