Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Kwani mwenzako akikufungukia anaomba mambo flani ndo ameku-direspect?! Dahh! Wanawake wa kiafrika bana πŸ€¦πŸΎβ€β™‚οΈπŸ€¦πŸΎβ€β™‚οΈπŸ€¦πŸΎβ€β™‚οΈ
Inategemea na connection uliyotengeneza.
Ukitengeneza ya friend zone imekula kwako.
The first approach ndo inaamua Kila kitu.
 
Kwani mwenzako akikufungukia anaomba mambo flani ndo ameku-direspect?! Dahh! Wanawake wa kiafrika bana πŸ€¦πŸΎβ€β™‚οΈπŸ€¦πŸΎβ€β™‚οΈπŸ€¦πŸΎβ€β™‚οΈ
Hivi ww ungekua mwanamke ungeweza kupeana mbususu yako kwa kila anaekuomba?
Eeh ndio wanawake wa kiafrika kumbe hao wa kizungu wanagongwa na kila anaewaomba.
Basi hongera zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…