Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Umeelezea the result tuu, what about the process!? Ulimuonesha ishara gani mpaka akafikiria unaweza kumpa akaweka?

Fikiria hilo kwanza litakusaidia hata kwenye next relationships na marafiki wengine wa kiume, usikimbilie kumlaum angalia maongezi yenu, mambo yenu mliyofanyiana etc.

Kuna wanawake hawatongozwi, matendo tu yanapelekea huko, sasa na wewe labda ulijiweka hivyo kwake.
 
Yani mtu wa namna hyo usimchekee kabisa kabisa.
Mim hii ishawai nitokea, nilimtoa nduki na mvua ilikua ikinyesha hadi kufika kweny kigari chake nahisi alikua kaloa hadi mbupu.
Hauna kavideo tuone[emoji3][emoji3]
 
Nimeandika zaidi ya mara tano lakini nafuta.
Anyway kwaufupi tu;
MWANAMKE ACHA KULA PESA NA KUPOKEA ZAWADI KWA MWANAUME AMBAE HAUPO TAYARI KUMPA.
Vyake unavitaka ila akikuomba unatia tia huruma ety ooooh namuheshimu pumbaf, mbona pesa zake huziheshimu
Hii pointi
 
Unatupa story roborobo... Wewe ulionesha nia kabla hajaja kwako huku ukiwa unapokea matumizi kutoka kwake.
Kwanini sasa umkatalie? Ulimpa sababu za kueleweka akakuelewa?

Ndio ile unakuja kusikia dada mmoja achomwa moto porini na mtu asiyejulikana
 
Tena mengine yameoa kabisa, unakuta linajiliza ooh mke wangu ananibania nina mwezi sijafanya nihurumie😂😂😂ufyoko fyoko tu, kale ulikotoa mahari aisee tusizoeane, mbaafu
Na wewe usile vyake..ulivyokuwa unakula pesa zake hukujua ameoa?? Lazima ulipie gharama.. Kama humtaki mtu achana naye acha kumfanya zoba Halfu ifike siku uzinguee.. moto utapelekewa tu. Hata kiubishibish utaonyesha ushirikiano mbele y safar
 
Hapa utakuta jamaa kahudumia saaaana kwahyo anajihisi kule kukaribishwa na mdada itakuwa mambo yametiki...so usimshangae manake unafaham ambavo jamaa kajitutumua kutoa hudumaa.

Ila kufata mchuchu nyumbani kwake si huko ni kujiweka kwenye maeneo ya hatari?vipi akitokea mdingi flan hivi akakufumania wakati ndio mmiliki wa nyumba ndogo hiyo?
 
Back
Top Bottom