Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Kwa akili zako unadhani mwanamke hawezi kuishi bila kuwa na mume? Vichwa vingine vipo kwa ajili ya kufuga nywele tu wallah!!!Mnatia huruma sana Shangazi zetu, mmejikatia tamaa mmefikia kujifarij inawezekana bila Mume.
Itakuwa ina joto sana ephen_ ☺️Kinachonishangaza huku mtaani wanaume hawapo hivi ambavyo mnajitutumua jf
Ada za chuo zinalipwa, tunatumiwa hadi hela "hii mpe mama" na bado mtu analilia kukuoa☺️🙌
Zisiwe za kupiga Msasa.naposti picha za baby yangu, subiri hapo
Hapo ametoka kumbandua mrembo wa watu anataka sisi tusimamie ukuchaMpaji Mungu Umemuona Hamisi. Bado anahubiri kitu ye hafanyi.
Hapa kwetu napo unakuta kijana anaishi chumba cha Tsh 20,000 halafu ana wasi wasi na 50%.
Kwa kibali cha mahakama baada ya talaka? Kama sivyo Hapo umevamiwa kama wengine wanavyovamiwa na majambazi.Wanakodigi kirukuu au guta za Mchina wanasepa na mazaga yote ya ndani
Anataka amiliki vyote.Hapo ametoka kumbandua mrembo wa watu anataka sisi tusimamie ukucha
Unadhani naogopa kuchapiwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂!?
Kwani futa lake au langu!?
Muache walishenyente na mimi natafuta la kulishenyenta maisha yanaendelea.
Yani haya maisha pesa inipe stress,masomo yanipe stress,familia inipe stress na wewe tena futa la mwantumu unipe stress!??
Aaagh wee thubutuu!
Hali mbaya ya kiuchumi kivipi? Kama wanagawana nusu kwa nusu unasemaje kuwa ni hali mbaya??? Mfano umesema USD 40 billion hiyo ni pesa ndogo? Au mwenzetu ni billionaire mkubwa sana??!!US mwanaume kuomba talaka ni sawa kukubali kufilisika, talaka za US sio bongo. Tajiri wa Amazon talaka yake na mkewe imemtoka USD bil 40,hapo bado anatoa Allomony na Child Support na ndio maana Bil Gates,Jeff Benzos,Elon musk hutokuja kusikia wakioa tena baada kuachana wake zao,kwani talaka zimewapukutisha hela nyingi, sema tu wao wanavyanzo vingi vya fedha ila swala kuoa tena vichwani mwao hamna, japo sasa hivi wanatoka vibinti vigori.
Talaka US huwezi fananisha na bongo,kwani huwaga inamwacha mwanaume katika hali mbaya ya kiuchumi. Wanaume wanaombaga talaka ni wale wanaodate na wanawake wenye hali nzuri kifedha,sababu wanajua hawana cha kupoteza,kama Merry J,Britney nk hawa nao wanaume zao wamepiga hela kupitia talaka.
Chukua desa hilo ☺️Kumbe ikiwa na joto miamala unaituma!
Nimemshtukia, nilikuwa najichukulia Sheria mpaka nikiona povu au sabuni mwili unasisimka😁saiv narudi Kwa kasi Kwa kina Khadija juiceAnataka amiliki vyote.
Duh kweli inatishaNina watoto wawili baba tofauti na wenzako wanataka kunioa leo kesho we huogopi?
Wanaume wachache sana watakuelewa!!!Mambo haya yanafikirisha na kuogofya kwa kiwango kikubwa..kwamba wanawake wanaoweza kupenda hakuna kabisa au we don't love them right???
Maana isiwe tuna point fingers kwa wanawake kumbe Sisi wenyewe ndio msingi wa uharibifu,tunaenda kutengeneza Jamii ya kiduanzi isiyo jali hisia za wengine, now bila kusema nani kafanya nini, chanzo cha haya yote ni nini????
🤣🤣watakupigaMzee wa kupambania anajisifu yeye haongi ila anasponsor mchakato wa demu kuliwa
Kwanini huo mchakato wasitumie pesa za mwanamke au zao wote cz raha wote wanapata!
Watajibana lakini mwisho wa siku hela zao ni zetu na zetu ni zetu tu😂
Tuishi nao kwa akiliKwa kibali cha mahakama baada ya talaka? Kama sivyo Hapo umevamiwa kama wengine wanavyovamiwa na majambazi.
KabisaTuishi nao kwa akili
Hapa tunaangalia kwa wingi na pia nimetaja maeneo husika.Uwongo bana,ina maana waislam huoana na kuachana kila siku?..mbona tunawaona na familia zao daily na wanazikana
Eti maharamia... Dahh! 😂😂😂😂😂🙌Pole sana mkuu,hawa watu ni pasua kichwa sana,wapende lakini tumia akili ya ziada huku ukimshirikisha sana Mungu,kukuingiza kwenye ma BP ni rahisi sana kwakuwa ni vitu vitakavyokuwa vinakuumiza maisha yako yote,mara nyingi mwanzoni wanakuwa ni watu wazuri sana,lakini wakishaanza kupata kipato hali huwa inabadilika,mostly wana makundi yao kama wanawake huwa wanadanganyana sana,kundi lingine ni huko kwenye salon zao,kule wanakutana na maharamia ambao tayari yameshafail kwenye ndoa zao kwahiyo kazi yao kubwa ni kuvuruga za wale wasiojitambua,Mungu kwanza mkuu everything with time kitakaa sawa...