Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Unadhani naogopa kuchapiwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂!?
Kwani futa lake au langu!?
Muache walishenyente na mimi natafuta la kulishenyenta maisha yanaendelea.

Yani haya maisha pesa inipe stress,masomo yanipe stress,familia inipe stress na wewe tena futa la mwantumu unipe stress!??
Aaagh wee thubutuu!
 
US mwanaume kuomba talaka ni sawa kukubali kufilisika, talaka za US sio bongo. Tajiri wa Amazon talaka yake na mkewe imemtoka USD bil 40,hapo bado anatoa Allomony na Child Support na ndio maana Bil Gates,Jeff Benzos,Elon musk hutokuja kusikia wakioa tena baada kuachana wake zao,kwani talaka zimewapukutisha hela nyingi, sema tu wao wanavyanzo vingi vya fedha ila swala kuoa tena vichwani mwao hamna, japo sasa hivi wanatoka vibinti vigori.

Talaka US huwezi fananisha na bongo,kwani huwaga inamwacha mwanaume katika hali mbaya ya kiuchumi. Wanaume wanaombaga talaka ni wale wanaodate na wanawake wenye hali nzuri kifedha,sababu wanajua hawana cha kupoteza,kama Merry J,Britney nk hawa nao wanaume zao wamepiga hela kupitia talaka.
Hali mbaya ya kiuchumi kivipi? Kama wanagawana nusu kwa nusu unasemaje kuwa ni hali mbaya??? Mfano umesema USD 40 billion hiyo ni pesa ndogo? Au mwenzetu ni billionaire mkubwa sana??!!
 
Mambo haya yanafikirisha na kuogofya kwa kiwango kikubwa..kwamba wanawake wanaoweza kupenda hakuna kabisa au we don't love them right???

Maana isiwe tuna point fingers kwa wanawake kumbe Sisi wenyewe ndio msingi wa uharibifu,tunaenda kutengeneza Jamii ya kiduanzi isiyo jali hisia za wengine, now bila kusema nani kafanya nini, chanzo cha haya yote ni nini????
Wanaume wachache sana watakuelewa!!!
 
Uwongo bana,ina maana waislam huoana na kuachana kila siku?..mbona tunawaona na familia zao daily na wanazikana
Hapa tunaangalia kwa wingi na pia nimetaja maeneo husika.
Huko talaka ni jambo la kawaida.
Nenda,zungumza na wanawake atakwmabia mimi na ndoa mbili,huyu tatuu yule nne.
Kule huruhusiwi kumpiga mwanamke,hata kama kakukosea ukimgombeza amakumpiga kesi yako.
Mwanamke wa kule ana nguvu, wanaume wanapelekeshwa tuu.
Mwanamke akipata bwana mwenye pesa atazua ya kuyazua ilimradi apate talaka yake.
Ni kawaida sana Unguja na Pemba.
 
Pole sana mkuu,hawa watu ni pasua kichwa sana,wapende lakini tumia akili ya ziada huku ukimshirikisha sana Mungu,kukuingiza kwenye ma BP ni rahisi sana kwakuwa ni vitu vitakavyokuwa vinakuumiza maisha yako yote,mara nyingi mwanzoni wanakuwa ni watu wazuri sana,lakini wakishaanza kupata kipato hali huwa inabadilika,mostly wana makundi yao kama wanawake huwa wanadanganyana sana,kundi lingine ni huko kwenye salon zao,kule wanakutana na maharamia ambao tayari yameshafail kwenye ndoa zao kwahiyo kazi yao kubwa ni kuvuruga za wale wasiojitambua,Mungu kwanza mkuu everything with time kitakaa sawa...
Eti maharamia... Dahh! 😂😂😂😂😂🙌
 
Back
Top Bottom