njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
🤔🤔🤔🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaendeleaje kakaR I P
Hata Maxi Mélo atakuwa hayupo.Sijui hii JF itakuwepo ama nayo itakufa pia.so sad
we have to stay humble by the way 2090 jf itakua imejaa avatar, post,na comments za marehemu kibao
Utaleta tahaluki...mwishowe uje kumlaumu mkurugenzi wa jf.Kwa mara ya kwanza nashuhudia hili tukio kupitia picha hii.
View attachment 3149000
Leo utaondoka kwa ndege ukiwa daraja la kwanza (first class) ila na hatimaye kesho unarudi na ndege hiyo hiyo kama mzigo.
Haya maisha yetu yanafikiliaha sana ndg zangu,tuishi kwa amani na tafakuri sana.
Sasa sijui wanataka waendejeInashangaza sana binadamu wanapenda waende mbinguni ila wanaogopa kufa
Mtihani kweli.Kama kifo kingekuwa chapeleka watu Mbinguni hakika viongozi wa dini wangekuwa wa kwanza kufa ili waende.
Angalia hata magaidi wanadanganywa wakifa wanaenda peponi kupewa bikra 72 ila hao wanaowadanganya wao wamebaki wakila tende na shurbati
If you have seen this by your naked eyes, how far sure that might the one you think?Why is conspiracy theories, although I have written from what I saw ?.
Lawrence MafuruHiyo ni kazi ya Mola
2090? mbona hata sasa, wengi ni marehemu humu,...so sad
we have to stay humble by the way 2090 jf itakua imejaa avatar, post,na comments za marehemu kibao
Hivi hizi story ni za kweli jamani?Chura kiziwi is no more