The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Kwa muonekano nje na ndani liko poa, tatizo ni injini nyuma! Sidhani kama yatastahimili ruti ndefu hivi kwa muda mrefu.Sema hiyo machine imekaa poa sana.
Mleta uzi hajafeli. Yeye kaleta habari kama alivyoipata, hivyo hao wenye basi ndiyo uwauulize kwanini wameamua kutumia hiyo route. Naweza kufikiri vitu vichache. Ubora wa barabara au kufanya travelling tour pia.Kwann asipite route ya lusaka zambia, then harare zimbabwe then joburg chapu tu. Hiyo route sijaielewa utapita vp zambia alaf uende mozambique then zimbabwe?? Then botswana?? Nadhan mleta uzi umefeli hakuna hiyo route. Maana Mozambique to joburg ni karibu sana na harare to jorbug ni karibu pia botswana ni karibu pia na SA . So ninadhani hilo kampuni litakuwa na route tatu tofauti
Safari ni jorbeg, Harare Lusaka, dar kwa mama.Kwann asipite route ya lusaka zambia, then harare zimbabwe then joburg chapu tu. Hiyo route sijaielewa utapita vp zambia alaf uende mozambique then zimbabwe?? Then botswana?? Nadhan mleta uzi umefeli hakuna hiyo route. Maana Mozambique to joburg ni karibu sana na harare to jorbug ni karibu pia botswana ni karibu pia na SA . So ninadhani hilo kampuni litakuwa na route tatu tofauti
Hapo anapiga na wateja wa hizo nchi tajwa ambao pengine nao wanatakankwenda south!Kwann asipite route ya lusaka zambia, then harare zimbabwe then joburg chapu tu. Hiyo route sijaielewa utapita vp zambia alaf uende mozambique then zimbabwe?? Then botswana?? Nadhan mleta uzi umefeli hakuna hiyo route. Maana Mozambique to joburg ni karibu sana na harare to jorbug ni karibu pia botswana ni karibu pia na SA . So ninadhani hilo kampuni litakuwa na route tatu tofauti
Haya! Hodophiles kazi kwenu!💪Yote tisa ila la kumi kuna muarabu siku nyingi miaka nenda uje ndio kashika hiyo barabara dar to Zim Dola
Best experience kwa yeyote anayetakaa kwenda south Africa aje na basi atajufunza mengi though wakati wakurudi arudi na mwewe
Watapita Maputo Nampula Kisha Cabo Delgado Pemba watavuka na kivuko mpaka Lindi kisha waingie Dar,binfasi nimeshangaa Msumbiji na Al Shabab wanavyosumbua hivyo halafu mizunguko yote hio ni Utalii au safari 😁Msumbiji upande gani wanapita??
Basi la mjomba yangu hilo anaishi mkuranga ila hapendi wala family yetu hatupendi kujionesha onesha kama sisi matajiri
Mkombe Luxury siijui hii kampuni ilikotokea ila nimeona tangazo lao kuanzia tarehe 20 mwezi huu wa May chombo inaanza kukata 4000 kilometers.
Na njia itayopita ni kwenye nchi za Botswana, Msumbiji, Zimbabwe, Malawi na Zambia kupitia mpaka wa tunduma na kuishia jijini Dar Es Salaam.
Nauli yao ni ya kila mtu aende kwa madiba tshs 316,000/- one way hiyo, bus litakuwa na huduma za choo, wi-fi nk.
View attachment 2607382
☝🏾Interior seats 💺
Kuna kitu jamaa hakupata jibu hata mimi ni, haieleweki injini ya like basi kama ni Scania, Man au Marcedes Benz.
Nimependa ukubwa wa eneo kati ya kiti na kiti kweli ni long trip journey bus.
View attachment 2607386
☝🏾Tiketi zao.
Mimi nasema kikubwa safari iwe njema na bbus liwe na nguvu kupasua hizo kilometers.
Soma zaidi hapa: 👉🏾 South African Bus Company now ‘launches’ Johannesburg to Dar-es-Salaam Routes | The Tanzania Times
Amezingua perefu inshort🔨View attachment 2607511
Malawi, Mozambique,Zambia, Zimbabwe, Botswana Huu mzunguko usio na maana hauna tofauti na game la nyoka
Nyumbani kumenoga mzee acha pinchi kiwanja rudi nyumbaniKaribuni Bondeni Waungwana
Nimewaza hivyo hivyo route nyepesi ingekuwa Zambia, Zimbabwe, Johannesburg.Kulikuwa na ulazima wa kupita nchi zote hizo??
Nilikuwa natafuta comment ya hivi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wabongo 🙌🏻🙌🏻🙌🏻 huwa mnapata sana, wapenzi kwenye vyombo vya usafiri.Ukikaa na mdada mpaka mfike mshaoana