Aliyeishuhudia ajali iliyoua dereva bodaboda Goba saa 1 usiku (8-6-2021), tufahamishe ilivyokuwa

H
Kwa uandishi wako huwa nadhani wewe ni mwamba,jemedari na jasiri sana. Ila kwa hilo la kutoka baru/nduki nakuvua vyeo.

Humu ndani wengi wakikaa nyuma ya Keyboard ndio wanajiona kina Michael dudikofu lakini in real life watanzania wengi ni waoga sana ndio maana hata maandamano ya mange yalifeli endelea kumpa tu vyeo vyake maana humu tunajitutumua tu kujifanya kina anorld shoziniga
 
Kifupi pikipiki zetu za mchina hapa bongo ni kuwa nazo makini halafu madereva wetu ndio hivyo hata sheria hawajui. We mtu anaipepea pikipiki halafu mbaya zaidi hizo boda hazina hata ABS, tairi ikiloki wakati wa breki ya ghafla unaenda nayo chini kishujaa huku kichwa hakina helmet.

Haya ndio naona makosa mengi yanayofanywa na bodaboda wengi;
1. Kupita red light, hili ni tatizo sugu kabisa na lishaota tende
2. Kuovateki upande wa kushoto
3. Kutokufahamu nani mwenye kipaumbele cha kupita kwenye mzunguko
4. Kutovaa helmet na kuchomoa side mirrors
5. Usiku kutembelea high beam
 
Si waliaminishwa kwamba hizo ndio ajira kati ya zile 10000 za jiwe ngoja wakufe tu nyambaf, kuna picha ukiona wanavyoweka vindala vinaning'inia huklu wamekaa upande wanaovertake kulia na kushoto ni kama movie tu, wawaletee na za juu kama ndege waendelee kuwahi kabisaaa
 
nilikuwepo inatisha sana maana mdau alikua anatoka damu puani na mdomoni kwa kifupi amekufa kwa mateso sana mpaka inasikitisha aise na inasemekana alianguka mwenyewe bila kuguswa na gari yeyote.

Alianguka toka pikipikini au alianguka na pikipiki?
 
Ukirudi Bush watakuambia umemtoa kafara wajinga sana, Mi ndio mana ukitoa ile inner circle ya baba, Mama na biological siblings basi the rest nimeji distance nao haswa

Kuna wa upande Wa mume nilichukua akabeba mimba!

Yaliyonikuta hata ndugu yangu sikai nae
 
Barabara hii boda boda zinashindana na magari.
Hao boda boda hawana adabu kabisa.
 
Wale jamaa zetu was picha pls wamekula nduki kumbe waoga was maiti hahahaahaaaaaaa

#MAOMBIYENUJAMANINAELEKEANIGERIAMSIBAWATBJOSHUA MCHANAHUUUUU
 
Usiombe ukukute
 
Inawezekana hapakuwa na gari ila pia kina taa ikipasuka ni vioo pia
 
Mmmh[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Gentamycine bhana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…