Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
R.I.P mzee,wote tutakufa tu, kama sio leo basi kesho!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasa hzoLOWASSA bado yu hai?
Eeh Mungu tunakuomba neema ya Uhai na Uzima.
Sisi wanadamu tu mavumbi tu, yatupasa kutenda mema na kukumbuka hukumu zako.
Lowassa alishajibu kuwa : Kuishi ni neema tu, nami naafiki.
Agriculture, UMITASHUMTA,UMISETA out.Physics with Chemistry
Zipi?Siasa hzo
Hayanaga msimu haya mamboNdio msimu nini!!
RIP
Yani nikikumbuka hasa definition yake loh hafu hebu nitafte kule umeadimika sanaumenkumbusha mbali sana lol!!!
Niamini nini wakati taarifa haijakalika?kwa hiyo huamini au?
lowasa anahusikaje mkuu hapaLOWASSA bado yu hai?
Eeh Mungu tunakuomba neema ya Uhai na Uzima.
Sisi wanadamu tu mavumbi tu, yatupasa kutenda mema na kukumbuka hukumu zako.
Lowassa alishajibu kuwa : Kuishi ni neema tu, nami naafiki.