DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Huo nao utaliwa hata na kutu, HAKUNA pakutokea[emoji4]Huu mkate wa chuma mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo nao utaliwa hata na kutu, HAKUNA pakutokea[emoji4]Huu mkate wa chuma mkuu
Ndo mama sijaomba ushauri coz maamuzi nnayotayariKabisaa yaani uko sahihi[emoji28]
Nataka ni proceed na ishu ya talaka aliyoinzisha alafu aone showKwano wakati ameemsa kugawa utami huko Nje watoto walikuwa hawaishi vizuri??? Achana nae tena mwambie asijaribu kukutafuta.. Block kila mahali
SawaNdo mama sijaomba ushauri coz maamuzi nnayotayari
Huyu upumbavu Upo kwenye damu
Bora kutu kuliko kuliwa na chain mzee
Kuliwa Ni kuliwa TU, no matter what[emoji4]Bora kutu kuliko kuliwa na chain mzee
Ndo shughuli zako nn mwamba???Sahii kabisa[emoji4]
Kiuno kinavozungushwa utadhani feni mbovu, maji yanavorushwa utadhani ruvu wamefungulia
Dah, utamu wake unauskilizia ndan ndsni kabisa kwenye vinasaba[emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaNdo mama sijaomba ushauri coz maamuzi nnayotayari
Sure ndo wenyeweKama sijakosea uzi wako wa kulalamika ulikua tarere 21 spet 2021 Nimejawa na Hasira moyoni
HahàaaaaRudia tena hiyo ramli
Ha ha haaa ngoja nimchunguzekama huyu Kunguru wa Manzese. hafugiki. unaaminije huko fb hayupo?
Soma tena mkuuSiku ukimrudia najua hutaongea haya, naona unavuoelezea soon unarudi naona dalili
Wanalelewa na bibi mzaa baba yaan bi mkubwa wanguKwani alivyoondoka watoto walilelewa na nani?!
Nipime ili iweje mkuu acha Nile ndogo ndogo konziKabla ya kusamehe amkague kwanza marinda, ahakikishe yapo yote 32 lisipungue hata rinda moja.
Mi naamini kabisa yule muhuni aliifuja sana hii chombo ya moto, mpaka akahakikisha imekua scrapper yaani haiuziki labda ikapimwe kama chuma chakavu.
Hats Mimi nimesha soma mchezo kitamboUsikubali anataka kurudi si kwamba anakupenda au katambua makosa yake, hapana bali mambo yameenda kombo anawaza aje apate pa kukaa na kula. Asingekuwa kafulia hata asingerudi. Tena kaza nut taraka itoke
Sure mkali naelewa saanaUnyama mwingi Sana
Akimrudia huyu mke wake na jamaa nae Ata mrudia mchepuko wake..
Once cheater always a cheater
Umalaya ni tabia hawez acha ad afe na Nani atakae Beba haibu yako kila uchwao??
Tunashukuru hujaondoka NATO mkuuMambo yenu tunawaachia wenyewe...