Huyu atapewa 'Uteuzi' kama zawadi.Toka Magufuli atake kumlipia hela ya kutoka gerezani, sikuwahi kuwa na imani na Msigwa. Na toka wakati ule nilishaona kuwa yuko cdm kimwili, lakini kimapato yuko ccm. Acha aende ccm akale hela za uchaguzi, na aandaliwe vipindi vya kutosha vya kuiponda cdm wiki hizi 2 tatu. Baada ya hapo aanze kufuatilia malipo yake kwa kukubali kurudi ccm.
CCM huwa haifukuzi wanachama. Mpina anatimiza kazi yake ya Uana CCM. Kwamba hoja hazipigwi nyundo.Msigwa in, Mpina out π
Akahele kumasoli madodiAisee!Kumbi ndauli konoo?
Inaitwa kata mti panda mtiMsigwa in, Mpina out π
Iko vile mzee. π³Haya sasa Pesa za MAMA Abdul. Mlimsingizia Polepole ananunua wapinzani. Vip Kuhusu mgawo wa 10% za SUKARI za MAMA ABDUL
MSIGWA KALAMBA ASALI YA SUKARI YA MAMA ABDUL!
Ndiyo wakati sahihi angefanya maamuzi kipindi hicho na si sasa.Inaonekana amekwazwa sana na CDM, naamini Msigwa angekuwa na tamaa basi zile enzi za manunuzi angekuwa ameshafanya maamuzi tayari.
We mjinga sana, endelea basu na CCM yako, make imewafanya muwe mazuzuNdo mana naonaga wana wote wanaofanya siasa halafu hawafaidiki ni Vilaza
mimi siwez kuandamana wala kumchangia mtu anunuliwe gari
au nianze kububujisha threads kumsifia mtu
NEVER
Unaweza na Pesa ya SUKARI wewe?Inaonekana amekwazwa sana na CDM, naamini Msigwa angekuwa na tamaa basi zile enzi za manunuzi angekuwa ameshafanya maamuzi tayari.
Siamini katika CCM na wala siamini katika CDM, huwezi kuwa smart ukafanya siasa kupitia vyama hivi maana vyote vimejaa wahuni tu.
Hata Slaa alipoondoka wengi walidhani hivyo ila bado CDM ipo.Siku Walid Aman Kabouru alipohamia CCM niliogopa nikajua ni mwisho wa CHADEMA.
Kumbe ulikuwa mwisho wa Kabouru mwenyewe RIP
Si chadema wala ccm , wananchi wapo wenyewe wanatakiwa kulitambua hiloπππYametimia, kuna mtu nilibishana naye sana kuhusu huyu jamaa km miaka 3 nyuma.
Ngoja nimtumie acc namba aniingizie mtonyo wangu mana nilimbetia.
Siasa zetu zina tamaa, uongo, unafiki na kujiangalia matumbo yao. Tutasubiri sana ukombozi kwa wanasiasa cheap km hawa.!!
Divide and rule as usual.Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC.
Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)
Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.
View attachment 3029791
====
Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma: Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa
Siamini kwenye kuunga mkono mtu au chama cha siasa ,naamini kwenye nguvu ya umma kwenye maamuzi ya kusimamia haki zao .Mkuu, nilikuwa namuunga Msigwa mkono hadi hii leo. Hapa naunga mkono yeye kuukosa ule uwenyekiti dhidi ya Sugu, kukosa nafasi ya uongozi sio sababu ya kukihama chama.
Ameniacha na tafakuri, lakini zaidi ni mtu asiyefaa.
'Unsettled'. Huyu alikuwa siku zote haeleweki yupo wapi hasa. Rekodi yake inajulikana toka zamani, pamoja na mazingaombwe ya hapa na pale, kama yale ya wakati wa Magufuli.Katika hili nawapongeza sana Chadema, huyu alikuwa pandikizi. Haiwezekani iwe kahamia ghafla.
Lakini, kwanini washikane mikono kama maharusi? Nimecheka sana.
Ccm Wamelamba galasaMchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC.
Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)
Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.
View attachment 3029791
====
Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma: Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa