Aliyemuoa mtoto wa Rais Hussein Mwinyi ndio kaoa,sie wengine tulioa ili mradi tusije kufa bila kuacha watoto

Aliyemuoa mtoto wa Rais Hussein Mwinyi ndio kaoa,sie wengine tulioa ili mradi tusije kufa bila kuacha watoto

Hamna mistake mbaya hasa kuithaminisha ngono kwa hela na ndio maana mapenzi siku hizi yamekosa maana kabisa.

Mabinti wanaforce wapate wenye hela na wapo tayari hata kuharibu ndoa ya mwanamke mwenzake kwa kutembea na mme wa mtu.Ukija kwa vijana wa kiume siku hizi kuna wimbi la vijana wanaodate na mishangazi ili mradi wapate fedha na hata kijana akitaka kuoa nae analenga (mwanamke mwenye fedha).Wazazi nao nyumbani kila siku wanawambia vijana wao tuletee mtu wa maana,huyo wa maana sio eti mtulivu, mwenye heshima au mcha Mungu bali ni mtu wenye fedha.

So sababu ya fedha mapenzi siku hizi hayana maana, ndio maana uvumilivu hamna na badhi ya ndoa nyingi za siku hizi zimepoteza maana.
This is fair, wanawake tumezidi kusemwa jamani wakati kaka zetu kina mdukuzi nao hawako nyuma 😂😂

Swali langu kila mtu anamtaka mwenye hela, sisi tusio na hela tuende wapi?
 
This is fair, wanawake tumezidi kusemwa jamani wakati kaka zetu kina mdukuzi nao hawako nyuma 😂😂

Swali langu kila mtu anamtaka mwenye hela, sisi tusio na hela tuende wapi?
Kila mtu anamtaka mwenye hela swala la kutizama uzuri tena hawatizami.Miaka ya nyuma mwanaume tunamtokea binti sababu mzuri wa sura,shape,rangi nk ,ila siku hizi vijana wanajiuliza ana fedha,anafanya kazi gani.Yaani wanaume nao wanajiuliza maswali ambayo walikuwa wanajiuliza wanawake miaka ya nyuma.

Ila kazi mnayo dada zangu na nyie siku hizi hampo nyuma kuhonga, kuna wanao jitolea mahali na kugharamia mpaka ndoa upande wao na wa kiumeni na kuna trend mpya ambayo inakuwa kwa kasi yaani mishangazi inatoa mizigo.
 
Kila mtu anamtaka mwenye hela swala la kutizama uzuri tena hawatizami.Miaka ya nyuma mwanaume tunamtokea binti sababu mzuri wa sura,shape,rangi nk ,ila siku hizi vijana wanajiuliza ana fedha,anafanya kazi gani.Yaani wanaume nao wanajiuliza maswali ambayo walikuwa wanajiuliza wanawake miaka ya nyuma.

Ila kazi mnayo dada zangu na nyie siku hizi hampo nyuma kuhonga, kuna wanao jitolea mahali na kugharamia mpaka ndoa upande wao na wa kiumeni na kuna trend mpya ambayo inakuwa kwa kasi yaani mishangazi inatoa mizigo.
Dunia haimsubiri mtu, ngoja mashangazi tutafute pesa ili tuhonge. 😀

Sasa hii ya mdukuzi ya kuzaliwa na Rais ndio mpya, maRais wako wangapi hadi sote tupate sifa ya kutokea “kwao” ili watu wa feel proud kutuoa?

Kweli competition is stiff! 😂😂
 
Ameoa shida sio raha hujui tu umewahi kuchumbia matajiri wewe mie nimewahi kuwa mtu wa tajiri . Wanakaraha zao sana tu , unyumba zero , wanapenda kukunyanyapa utaona tu wana sign zao , wanakera unaweza kukuta friji imejaa ila njaa huna , ni vituko sana , wanakufanyia kama familia ikishakuwa ijioni usikae nao wewe kula ondoka, nenda chumbani.

Saa ya sherehe lazima muende wote unaburuzwa tu maana huna raha na mume wako, unaingia magari ya kisasa , unakula sehemu zakisasa ila huna raha yamoyo. Ukiwa na wakaida tu ni raha unaenjoy unafurahia kile kidogo alichonacho nao shida ipo hauopo pekee yako . Ndio kero kwa wanaume maskini
Duh, Hapa ndo mtu unaamini umaskini unaanzia akilini.
 
Mwanamke anakupa stress ukienda kwao mlango wa jikoni ukiupiga teke unadondoka.

Choo mlangoni wameweka gunia au khanga

Kanyumba kenyewe ka slope sebuleni ndio stoo ya kutunza udaga.

Ukimleta mjini akaanza kutakata anaanza maringo bila kujali umemsitiri.

Huyu mwamba wa Arusha aliyeoa mtoto wa Rais hata mbinguni kuna kiwanja chake,katupa somo wanaume,bora ufe bachelor kuliko kuoa familia ya ovyo,poverty cycle haitaisha kwenye ukoo wenu.

Mliooa familia duni poleni ,mliozaliwa familia duni pia poleni,mlaumu mama yako kuolewa na fukara.

Break the chain.
usioe wala kuolewa na lofa

Hakuna upungufu wa nguvu za kiume ni kukosa hela.
Hakuna mwanamke mwenye kiuno kigumu au kukosa utelezi ni madeni ya viccoba yanawakata stimu
View attachment 3054607
Mzee atapumzika sasa jamaa amtulizee huyo dada maana mmh.!
 
I would rather die single ila sioi familia duni
Everyone has their standards….

However Cinderella stories are myth.. Most likely you will marry your type, if you are rich 🤑 you will marry from richest.

Otherwise kupata Cinderella story of yours inabidi misamba mingi sana ichanike, by misamba namaanisha unatakiwa kucompromise alot, Ego, your family, your pride, beliefs, falsafa and what not. I hope you are matured enough to grasp this concept.

And if you will die single, all the best.. sio dhambi.
 
Kua uyaone, usikariri maisha
Matajiri wawili wakubwa duniani wameachana na wake zao
Wakati mwingine hela sio kila kitu na hata pia unaweza kuoa kwenye familia masikini ila huyo huyo Mke ndio akaja kukupeleka mbali kimaisha na kuwa mmoja katika wenye maisha mema na yenye maadili mazuri

Unaweza kuwa unatukana hao masikini kumbe hata wewe hujawahi shila kamilioni 10 tu
 
Back
Top Bottom