Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Taifa wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji ajiunga na CCM

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Taifa wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji ajiunga na CCM

Madaktari njaa sana aiseeeh! Hawaoni aibuu!?

Actually huyu alishaunga juhudi toka akiwa Katibu Mkuu CHADEMA, anachofanya ni kuhitimisha tu!

Kama kuna mtu anajua Mashinji akiwa katibu mkuu alifanya kipi kuimarisha CHADEMA aniambie! Karibu kundini
 
Aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema Dk.Vincent Mashinji amehamia CCM rasmi hii leo tarehe 18 mwezi wa 2 mwaka 2020.

My take:
Haya mambo ya hamahama yanawaathiri sana Chadema hata kama wanapinga, na unabii wa Dr.Slaa unatimia ndani ya miaka mitano .
84968325_586008955319374_5060700613821285775_n.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo ile Kesi yake iliyokuwa ikimkabili Yeye na Viongozi ( Wabunge ) wa CHADEMA atakuwa ameshanusurika nayo au atakuwa akiendelea Kuihudhuria huku akiwa amevalia Sare ya Chama chake Kipya?

Hapo ndipo tunasubiri kuona itakuwaje.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom