JamiiForums ni kiboko. Mambo motomoto unayapata kabla hata hayajatoka jikoni.Tayari katangaza kuhamia ccm muda huu tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JamiiForums ni kiboko. Mambo motomoto unayapata kabla hata hayajatoka jikoni.Tayari katangaza kuhamia ccm muda huu tuu
Jamii Forum ni kiboko. Mambo motomoto unayapata kabla hata hayajatoka jikoni.
Aende fasta. Acha bahari iteme uchafu.Mwaka Huu Usiishe Bila Kutenda Miujiza
Hahahahahaaaaa,baada ya kuukosa ukatibu mkuu!
Kwahiyo ile Kesi yake iliyokuwa ikimkabili Yeye na Viongozi ( Wabunge ) wa CHADEMA atakuwa ameshanusurika nayo au atakuwa akiendelea Kuihudhuria huku akiwa amevalia Sare ya Chama chake Kipya?
Tulia bhana usipayuke unadhani Mbowe ni mwehu?Mimi si mwanasiasa ilahii CCM inabidi wawe makini isije ikawa ni Trojan Horse, just thinking by words