IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Coment hii kaione kajamaa kamoja humu kanaitwa Mmawia
Naendelea kuwaonya vijana wa kitanzania, msikubali kuvunjwa miguu au kuumizwa kwa namna yoyote ile mkiwapambania wanasiasa wa taifa lenu. Kama umeamua kupambana, pambania kile unachoamini na sio mwanasiasa.
Wanasiasa wa Tanzania ni wachumia tumbo,hawajui itikadi na hawana itikadi. Wanatafuta ugali, ndio maana wataungana na kuwa wamoja pale ugali wao utakapojaribiwa.
Haya,bado wengine wengi wataendelea kuwavunja moyo kwakuwa mliwapambania.
Sent using Jamii Forums mobile app