Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Taifa wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji ajiunga na CCM

[emoji23] [emoji23] [emoji23] Coment hii kaione kajamaa kamoja humu kanaitwa Mmawia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si tulikuwa tukiwaambia mnatuita buku 7

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaja tume huru ya uchaguzi wana ccm woote wanatetemeka kwa hofu
Mpaka Oktoba? Pitia kwenye vituo vya kujiandikisha hivi sasa uone kama kuna hao wanachama wake wapo. Halafu ukitaka kujua hakuwa na watu bali aliwakuta kuwe na tume huru ya uchaguzi kisha uje utoe mrejesho.

In God we Trust
 
Mungu ananjia nyingi Sana za kuwafunua watu wakwamishaji wa mambo ya watu wengini
Chadema katoweni fungu la 10 kanisani muumshukuru Mungu kwa mashinji na kundi lake kuuondoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemaliza kila kitu
Utayari wa ccm ameuona baada ya kutemwa ukatibu mkuu? Kazi kweli kweli! Awe mkweli tu kwamba ameona chadema hana ulaji tena! Ilikuwaje akawa ansubiria kuteuliwa tena? Akawadanganye wajinga wenzie akina pole pole!


In God we Trust
 
Nakuelewa sana tindo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kahamia CCM leo.
Mzee Mwinyi hakukosea aliposema "Sote ni CCM ile ile ila sisi ni CCM A na wao (CHADEMA) ni CCM B".

Ukweli ni kwamba CDM ni "chaka" la kutulizia akili la wana CCM wanaokasirishwa na maamuzi ya chama; hasira zikiwaisha wanarejea kwao.

CDM bado ina kazi kubwa ya kuwajenga kiitikadi na kudumisha makada wake. Nadhani wakiachana na itikadi potofu za "mpinzani wa kweli atatoka CCM" na "kubadili gia angani" watafika mbali sana.
Lakini kwa bahati nzuri au mbaya, wakati wana CDM hawajitambui, wana CCM wanatambua udhaifu wao na kuutumia vizuri.

Mathalani, Mzee Lowassa aliwalaghai kwa kauli mbiu ya "CCM siyo mama yangu wala siyo baba yangu" na Mzee Sumaye naye aliwapumbaza kwa "Naenda CHADEMA kujenga upinzani imara".
 
CHADEMA bado haijatetereka,waliohama wote hakuna aliyekulia ndani ya CHADEMA! Wote ni wageni tu so wasepe chama kibaki clean!Bado CHADEMA kuna hazina kubwa ya viongozi!
 
Another comprehensive repudiation of Chairman Mbowe's epic failure at the helm of CHADEMA. May well be the last nail in the coffin of the party.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…