[emoji23] [emoji23] [emoji23] Coment hii kaione kajamaa kamoja humu kanaitwa Mmawia
Naendelea kuwaonya vijana wa kitanzania, msikubali kuvunjwa miguu au kuumizwa kwa namna yoyote ile mkiwapambania wanasiasa wa taifa lenu. Kama umeamua kupambana, pambania kile unachoamini na sio mwanasiasa.
Wanasiasa wa Tanzania ni wachumia tumbo,hawajui itikadi na hawana itikadi. Wanatafuta ugali, ndio maana wataungana na kuwa wamoja pale ugali wao utakapojaribiwa.
Haya,bado wengine wengi wataendelea kuwavunja moyo kwakuwa mliwapambania.
Mpaka October 2020 chadema atakuwa kabaki Mbowe, Yericko Nyerere na Tindo wa JF[emoji3][emoji38]
Kenge ni ukoo wako woote mlio laanika
Si tulikuwa tukiwaambia mnatuita buku 7Katika vitu vilinifurahisha ni Lowassa na Sumaye kurudi CCM, na leo furaha yangu imezidi marudufu baada ya kusikia huyu domo zege naye kahamia CCM.
Nitafurahi kama Mbowe naye ataachia uwenyekiti wa CHADEMA, maana yeye ndio alileta hizi taka ngumu ndani ya CHADEMA.
Mpaka Oktoba? Pitia kwenye vituo vya kujiandikisha hivi sasa uone kama kuna hao wanachama wake wapo. Halafu ukitaka kujua hakuwa na watu bali aliwakuta kuwe na tume huru ya uchaguzi kisha uje utoe mrejesho.
Utayari wa ccm ameuona baada ya kutemwa ukatibu mkuu? Kazi kweli kweli! Awe mkweli tu kwamba ameona chadema hana ulaji tena! Ilikuwaje akawa ansubiria kuteuliwa tena? Akawadanganye wajinga wenzie akina pole pole!
Wote walioondoka cdm kuna aliyeenda CUF au TLP?
Nakuelewa sana tindoMbowe hakustahili kuendelea kuwa mwenyekiti wa CHADEMA, yeye ndio msimamizi na muongozaji wa hawa viongozi wasaka madaraka ndani ya CHADEMA. Tulipiga kelele sana kuwa hakupaswa kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm ili hili kosa lake lipatiwe ufumbuzi na sura tofauti.
Ni nani alikuwa hajui kuwa Mashinji hakuwa kiongozi sahihi wa CHADEMA hasa kwa cheo cha ukatibu Mkuu? Kama katibu mkuu ambaye alikuwa mtendaji mkuu anaondoka chamani na kusema kuwa amegundua cdm haina mpango wa kuletea wananchi maendeleo, hapo mwenyekiti anaendelea kukaa ili iweje?
Mzee Mwinyi hakukosea aliposema "Sote ni CCM ile ile ila sisi ni CCM A na wao (CHADEMA) ni CCM B".Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kahamia CCM leo.
Angeanzisha chama chake ili tuwaone hao wafuasi wake, au angeenda TLP tungewaona kwa uhakika hao wanachama wake.
Kwahiyo mlitaka Mwambe au Sumaye mmojawapo ndio awe mwenyekiti wa CDM?Hahahaha,mmekwama!
Je hii picha ndio itamrudisha Mashinji na kuimarisha chadema? [emoji23][emoji23][emoji23]
CHADEMA bado haijatetereka,waliohama wote hakuna aliyekulia ndani ya CHADEMA! Wote ni wageni tu so wasepe chama kibaki clean!Bado CHADEMA kuna hazina kubwa ya viongozi!Ninaongea kwa kugonga meza....' kwanza kitendo cha kumfitini katibu wetu mkuu Dr Slaa!'.. mwishowe atajikuta katibu mkuu wake ni mkewe.
Maana sasa Cdm imebaki katika sura ya kifamilia na kishikaji.
Wameuua upinzani wa maana, umebakia upinzani wa ruzuku!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ndio tegemeo la Mbowe kuendelee kuneemeka hapo chadema huku chama kinakufaKenge ni ukoo wako woote mlio laanika
In God we Trust