Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Taifa wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji ajiunga na CCM

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Taifa wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji ajiunga na CCM

Ni kama ambavyo CCM wanafurahia makapi yao kurudi nyumbani,Slaa nae anaomba kurudi Chadema,kwavile hawezi kukaa na watu wasiosafishika na ambao siyo asset
 
Ila kwa aina hii mpya ya siasa inayofanywa hivi sasa na CCM ndani ya awamu hii ni kinyume kabisa na zile za awamu zilizopita. Yaani kufanya usajili wa makada kila kukicha kutoka vyema vyenye upinzani mkali dhidi yake inaamini ndiyo mkakati thabiti wa kuvidhoofisha.

Tena huku wakiwahakikishia wageni hawa vyeo ndani ya chama, lakini kwa wakati huo huo CCM ikishindwa kuzalisha na kuwakuza kwa wingi makada vijana na hata kuwalipa makada kindakindaki waliotumia muda wao mwingi kukijenga chama kwa jasho jingi. Sijui hatima ya hali huko mbeleni. Kila la heri Dr. Mashinji katika usajili na uzi mpya wa kijani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endeleeni kuficha kichwa kwenye mchanga punda nyie. Chama kinapukutika Lila uchwao badala mje na majibu ya kueleweka mnatuletea siasa..

Mlijua ataondoka mbona hamkumuhoji kuhusu mnachomuhisia au kumuondoa? So mtawapumzisha wangapi maana sioni hii hamahama ikiisha leo au kesho..

Mbowe kama una conscious najua utakuwa unajutia maamuzi ya kichoko uliyoyafanya 2015
 
mwana wa Tanzania,
Nishaona siasa haiitaji usome sana, sasa jamaa ana CV Kali lakini kichwa chake hakimpi mlo wa kujitegemea, usije kukuta hata kutibu wagonjwa ameshasahau
 
Swali fikirishi je kesi yake atafutiwa baada ya kuhamia upande wa pili? inayo wahusu viongozi wajuu wa Chadema

Possibly

Nchi haina mfumo independent wa judiciary unao function

Ni mtu mmoja tu akipiga simu mtu anaachiwa

Yaani nchi ya ajabu sana

Mwanasiasa akikuchukia unatakiwa uhame nchi

Wanasiasa kwenye hii banana republic ni next to God yaani

Kenya wataendelea kutushinda kila siku
 
Mimi bado nasema Mbowe ana stahili kuubeba huu mzigo wa lawama 2015 alitukosea sana Kumpa Lowassa....wale waliopigania chama kwa moyo mmoja walitengwa kwenye baadhi ya maamuzi mazito leo upinzani umelegea.


Atuombe radhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani chama kilikuwa cha Mbowe peke yake au kule CC yeye ndiye alikumjumbe peke yake?
 
Kwakweli vyama vya upinzani Tanzania vimepigwa na corona. Yani vinashambuliwa kama vikundi vya uasi..Siasa za CCM za kishamba sana...Nani kawadanganya vyama vya upinzani havina Mchango kwenye maendeleo ya taifa hili? Mnataka mang'ombe tu, mkiyajapa nikulia tumbo! Haya bwana...
 
Mimi bado nasema Mbowe ana stahili kuubeba huu mzigo wa lawama 2015 alitukosea sana Kumpa Lowassa....wale waliopigania chama kwa moyo mmoja walitengwa kwenye baadhi ya maamuzi mazito leo upinzani umelegea.


Atuombe radhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Una chuki binafsi Na mbowe,mbowe ni mtu muhimu kwenye chama hiki,one day u will come to believe this.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom