Kuchora mawe/majabali: Chalinze - Mwanza; Chalinze - Arusha, Chalinze -Songwe: 'Mwiguli Rais wa Tanzania 2015' ni zaidi ya uhovyo. Mtu aliyediriki kuchafua majabali kwa rangi nchi nzima wewe unamwona wa kawaida?Mwigulu hajawahi kuvaa nguo za scout.
Mwigulu ni Mtanzania na alikuwa akifunga scarf ya bendera ya Tanzania na hajaacha kufanya hivyo.
uhovyo wake nini?
Unastahili uhame Kama umefikia kipindi huipendi bendera ya TanzaniaNchi ndio ihame mimi siwezi kuhama kamwe
Siyo akili ni kupata upenyo wa kufanya uhalifu wa kibiashara... eg madawa ya kulevya, kutolipa kodi etc na kutetewa na system!Ikiwa hivyo naona wan akili sana ya kulinda biashara zao kama wanaona wakiwa CCM biashara zao zitafanyika kwa usalama na amani.
Tatizo nini hapo?
Subiri uingoje kuhama, lakini wakati unasubiri elewa kuwa bendera ya Tanzania utaendelea kuiona kama ilivyo. Kumbuka hilo.Nchi ndio ihame mimi siwezi kuhama kamwe
Nia ipi? alikuwa analinda maliz ake ili apate favour kutoka serikalini. Hakuna ubaguzi wa aina yoyote Wadosi wanafahamika na wote ni ccm na siyo kwa vile wanaipenda. Wanatafuta kichaka cha kufanya maovu ya kibiashara zao. Usinitishe na lolote. Ukweli ni huo. RIPNakushauri tu acha ubaguzi wa aina yeyote rangi ukabila dini mwenye ufahamu anajua ulikomment kwa Nia gani tuendelee na jukwaa
Kama ni hivyo basi hiyo ni akili ya ziyada. Maana wewe umebaki kulalamika lakini unashindwa kuchukuwa hatua yoyote, au hujuwi kuwa Tanzania watu wanapiga kura kuchagua mtu na siyo chama? Kwanini usimipigie kura ambae unataka awe kiongozi wako?Siyo akili ni kupata upenyo wa kufanya uhalifu wa kibiashara... eg madawa ya kulevya, kutolipa kodi etc na kutetewa na system!
Wewe utakuwa huna muono kabisa kwani kila unaempigia kura hawi kiongozi wa kulinda maslahi yako.Nia ipi? alikuwa analinda maliz ake ili apate favour kutoka serikalini. Hakuna ubaguzi wa aina yoyote Wadosi wanafahamika na wote ni ccm na siyo kwa vile wanaipenda. Wanatafuta kichaka cha kufanya maovu ya kibiashara zao. Usinitishe na lolote. Ukweli ni huo. RIP
Maono ya wizi? hayo sina! kama Jiwe alivyo na maono ya wizi, hayo sina! Niko kama Nyerere na sokoineWewe utakuwa huna muono kabisa kwani kila unaempigia kura hawi kiongozi wa kulinda maslahi yako.
Mpaka sasa 'wadosi" wamekupiga ngapi kwa Bila?
Umeshaambiwa atazikwa na watu wachache.
Maono ya wizi? hayo sina! kama Jiwe alivyo na maono ya wizi, hayo sina! Niko kama Nyerere na sokoine
Kwa hiyo incubation period Ni tarehe 30/4/2020Kwa Wale Wagumu wa kuelewa, hili ni swali na sio msimamo wala nini? Tarehe 16/04/2020 pichani PM akiwa na Marehemu, je wakawekwe karantini??
View attachment 1430617
Kwa hiyo?umeelewa maana , hata ukakwepa ! Nasikia Chato ni total lockdown, polisi wamemwagwa kushinikiza watu wakae ndani! Utabisha
Nikuulize wewe kimada wakeKarantini hawekwi isipokuwa mgonjwa aliyejulikana ana ugonjwa.
Mbowe na familia yake waliwekwa karantini?
Nyerere sio mbaguzi Kama wewe tazama video hii halafu uache ubaguzi ili ufanane nae.Maono ya wizi? hayo sina! kama Jiwe alivyo na maono ya wizi, hayo sina! Niko kama Nyerere na sokoine
Sina muda wa video clips, Nyerere namfahamu kabla hujazaliwa. Hakuna udini. Ni ukweli. Mfano wahindi wote wana passport za "kwao" India na Uingereza na canada! Huo ndio ubaguzi kusema ukweli wao?Nyerere sio mbaguzi Kama wewe tazama video hii halafu uache ubaguzi ili ufanane nae.
View attachment 1430936
Pumzika kwa amani
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Kifo cha nani sasa hivi ambacho hakizikwi na watu wachache?Umeshaambiwa atazikwa na watu wachache.
Mpaka hapa umeonesha hujielewi pili unajua umri wangu? Umezidi kufeli tatu Tanzania hatuna uraia pacha Kama ulaya na canada na marekani Wana uraia pacha kosa Lao lipi hao unao wabagua huoni unazidi kuonesha kuwa wewe mbaguzi ndugu acha ubaguzi,ni sawa na kula nyama yabinadamu huwezi kuachaSina muda wa video clips, Nyerere namfahamu kabla hujazaliwa. Hakuna udini. Ni ukweli. Mfano wahindi wote wana passport za "kwao" India na Uingereza na canada! Huo ndio ubaguzi kusema ukweli wao?