Ally Hapi: "Huyo fisadi, mla rushwa anamuogopa Samia"

Ally Hapi: "Huyo fisadi, mla rushwa anamuogopa Samia"

Ex RC Ally Hapi amkumbusha mwizi wa mali za wananchi, fisadi, mla rushwa na adui wa chama kuwa muda sasa unahesabika.

Video inazungumza...

View attachment 2815455


-Kaveli-
Wanasiasa wa Tanzania wanavyomzungumzia Rais wao ni kama wakristo tunavomzungumzia Mungu wetu, wanampa mamlaka mpaka wanamfitinisha na Mungu tunayemjua sisi, aaaau ndo kusema Mungu wetu siyo Mungu wa wanasiasa wa Tanzania, nilitamani kuingia huko ila hizi drama za kumwabudu Rais kuliko Mungu ni Bora nibaki "wakawaida saaaana"
 
Huyu jamaa ni mnafiki sana.... uliza wana udsm waliosoma nae kipindi hicho.... Kwa ninavyomjua sitaki hata kumsikiliza
Jamaa ana akili sana. Enzi zile UDSM aliwahadaa kwamba yeye ni mwana-mapinduzi mfuasi wa CHADEMA na hatimaye wanafunzi wakaungana naye kumpindua Simon Mathias Kipara (wakati huo akiwa CHADEMA).

Proof nyingine kwamba Hapi ni genius angalia anavyolima kwa ufanisi baada ya kutumbuliwa.

Hapi ni fighter haswa
 
Hizi zote ni strategy za CCM kuwasahaulisha Watanzania mambo ya msingi wanayopaswa kuyadai.

Hawa vijana woote wameshawekwa chini na kufanyiwa reharsal, what is the next move.

Taifa linahitaji ukombozi kutoka kwa wananchi na sio hawa ndugu zetu wanaocompromise na mfumo kila kukicha.
Vijana wenye energy na uwezo wakupambana kwa hoja na kuishambulia CCM kwa kutoa elimu ya uraia kwa raia kutambua nini haki zao na wapi waelekee kuzidai.
 
Mbona anajikacha kwa Samia na Majaliwa?

Aseme kivyake aone?

Na Musiba naye atarudi muda si mrefu atakuwa Malaika🤣🤣
Haloo inawezekana kabisa 🤣🤣🤣🤣🪑🪑🎶🤣🪑🎶🎶🎶🎶🎶
 
Alilima nyanya zikapigwa na umungu zote, hakuambykia kitu. Naona sasa ameamua aheri awe bwege alimradi mkono upate uhakika wa kwenda kinywani.
Hata hizo nyanya zingekomaa akazivuna angepigwa na kitu kizito sokoni kwa anguko la bei. Kilimo nchi hii ni kazi ya laana kama ilivyo kuendesha bodaboda
 
Alilima nyanya zikapigwa na umungu zote, hakuambykia kitu. Naona sasa ameamua aheri awe bwege alimradi mkono upate uhakika wa kwenda kinywani.
Akajiajiri huko. Kama alidhani ni rahisi
 
Ndio wa Tanganyika watakapo gundua makosa ya kuubeba uzenji maana wajanja wamesha juwa kuwa ukiingia kwa mfumo wa mipasho na masifa kwake basi cheo hichooo!
Amkeni nyie wamatumbi! Sio wale wa kijani au nyekundu wala zambarau, piga chini uzenji na hulka zake zote.
swadakta ! mama hamna kitu .
 
Ujinga wa kuwasikiliza motivational speakers 🔊
Kopo la mbegu za tikiti unapata 50m
.Sasa anaonekana kama chizi
Ila teuzi hawa huwa wanapewa na kuajiriwa kutukana maajabu ya Afrika
 
Back
Top Bottom