Prishaz
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 2,898
- 5,020
Ndicho anachotafuta, dhiki ni mbaya sana...Kwamba UTEUZI loading...? may be YES, may be NO.
-Kaveli-
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndicho anachotafuta, dhiki ni mbaya sana...Kwamba UTEUZI loading...? may be YES, may be NO.
-Kaveli-
Dah naye KanzaEx RC Ally Hapi amkumbusha mwizi wa mali za wananchi, fisadi, mla rushwa na adui wa chama kuwa muda sasa unahesabika.
Video inazungumza...
View attachment 2815455
-Kaveli-
Usinikumbushe mabegi yangu...Mitchyuuuu luv...
-Kaveli-
I still don’t rate him.Karusha jiwe gizani...
You are now in position to rate him coz ameushughulisha ubongo wako.
-Kaveli-
Huyu jamaa ni mnafiki sana.... uliza wana udsm waliosoma nae kipindi hicho.... Kwa ninavyomjua sitaki hata kumsikilizaHuyu mtu sijawahi kumkubali hata siku moja. Ally Hapi siasa hazikufai, we endelea kulima zako huko tupumzishe.
Jisogeze sogeze wakuone sio?Kafulila method 😂😂
Jeramba la kuujulisha umma kwamba, he is fine, fit and ready to take new roles within the government or rulling party at any time, politically speaking..Ex RC Ally Hapi amkumbusha mwizi wa mali za wananchi, fisadi, mla rushwa na adui wa chama kuwa muda sasa unahesabika.
Video inazungumza...
View attachment 2815455
-Kaveli-
Anachombeza naye akumbukwe.Ex RC Ally Hapi amkumbusha mwizi wa mali za wananchi, fisadi, mla rushwa na adui wa chama kuwa muda sasa unahesabika.
Video inazungumza...
View attachment 2815455
-Kaveli-
Simjui lakini sijui kwanini huwa namuona hivyo, hanivutii hata kusikia habari zake.Huyu jamaa ni mnafiki sana.... uliza wana udsm waliosoma nae kipindi hicho.... Kwa ninavyomjua sitaki hata kumsikiliza
Sasa hivi Msoga Gang imeshalowaHongera Mkulima Ally ila Wakati wa JIWE ulichemka Kumsema JAH-CAR-HIRE.
Tanzania kuna vituko. Hii inaitwa nitokeje! Keshokutwautasikia amepata uteuzi.Ex RC Ally Hapi amkumbusha mwizi wa mali za wananchi, fisadi, mla rushwa na adui wa chama kuwa muda sasa unahesabika.
Video inazungumza...
View attachment 2815455
-Kaveli-
Unatumia ID fake halafu unaogpa?Kama anae zungumziwa ni braza k, hapi atakuwa na baraka za wazito wa nchi coz braza k sio men mdogo ndani ya chama
Mkuu upo?sijakusoma muda Mrefu😂😂😍😍😍😂Au yule msomali ..