The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Tumbili hana options itabidi tu aende ACT Wazalendo ...... Happi na hiyo jeuri waliyopewa na Magufuli ataishia kuwa kama Bashite ......!!Karibuni uraiani sasa, kumekucha salama na mmeamka na taarifa sahihi kabisa. Ally Happi nenda kaendelee kuwalea wake zako wanne sasa, Kafulila njoo mtaaani uone maisha halisi.
Mlijisahau sana sana. Cheo ni dhamana
Na huyo Kafulila ndio zilikuwa zake. Yaani waandishi karibu wote pale Simiyu walikuwa kwenye payroll yake, basi ni kumsifu kila mahali hadi unasema hakuna kama yeyeUmesahau alichokifanya Jambazi Sabaya? Waandishi wengi ni "mayala" kwahio ukiwapa pesa kidoogo tu wanaweza kuandika vile unataka
Ushamba na ulimbukeni tu ndiyo ulikuwa unamuongoza kama alivyokuwa yule hayawani wa ChatoHuyu fala alijiamini nini kusema hivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
KuJiajiri labda akafuge kuku tuWote ni vijana ni wakati muafaka sasa kuonyesha kwa vitendo falsafa ya kujiajiri.
Chalamila tena? Hivi huyu mama yuko serious kwl? Mtu alionesha kumdharau waziwazi leo atafanya naye kazi vp tena. Yule ni mfia Magu haamini km amekufa.
Na anaamini Samia alishiriki ktk mpango wa kufa kwake. Huyu mama simwelewi. Anabadilisha hawa viongozi km anavyobdili nguo au anatafuta nini. Kwl madaraka ya Rais ni makubwa sana anacheza anavyotaka.
Hahaaaa atanyamaza ale kwa adabuHahahaha tulia...System inaakili nyingi.Huyo Bwege Mlevi anakwenda ku ufyata na hata kuwa na jeuri tena na Cheo ni kwa muda tu hapo.
... kijana mdogo kama yule anakuwaje na wake wanne kwa umri ule?
Huna unalojua. Mwanzo uliamini hawezi kurudishwa, Sasa hivi unakata kiuno kwa style nyingine kuwa ni muda hapoHahahaha tulia...System inaakili nyingi.Huyo Bwege Mlevi anakwenda ku ufyata na hata kuwa na jeuri tena na Cheo ni kwa muda tu hapo.
Soma tena ulichoandika. Ni Kama akili imekuruka hivi?hapa kilichofanywa ni kiini macho huyu Allya Happy kapita na maji tu kwasababu ya kinana ila haikuwa lengo kamili waliokuwa kwenye malengo hapa yalikuwa ni kuwatoa watu Fulani! Ally Happy kafiamo halafu kutupisha watu mbao wasijue kinachoendelea Chalamila karudishwa chezea Msonga [emoji16]
1-Stephan kigaigai -Kilimajaro
2-David kafulila -Simiyu
3-Robart Gabreal -Mwanza
4-Marco Gaguta -Mtwara
5-Wilbert Ibuge-Ruvuma
6-Charles Bunge-Kagera
7-Bilinith Nahenge-Singida
8-Joseph mkirikiti - Rukwa
9-All Happy -Mara
[emoji23][emoji23][emoji23] Nilisema mkaniita mchochezi haya [emoji847]
Atateuliwa tena na nitakukumbusba vizuri hapahapa jfNa huyo Kafulila ndio zilikuwa zake. Yaani waandishi karibu wote pale Simiyu walikuwa kwenye payroll yake, basi ni kumsifu kila mahali hadi unasema hakuna kama yeye
Godfather alikuwepo, hivyo alijua Godfather atakuwepo mileleHuyu fala alijiamini nini kusema hivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuishia hapo , akamgomea waziri kasim.Ally Happy alitangaza live kuwa atamzaba makofi JK na wastaafu wote wenye mdomo.
Mara.wengi wamezoea kuita Msoma.Naona aibu kuuliza Ali Hapi alikuwa mkuu wa mkoa wa wapi?
Mpumbavu yule..... Aendelee kuchambua uchumi na madeni ya taifa sasa akiwa uani kafukuzwa mezani sebuleni.... mbona humu kumekuwa na threads nyingi zikimtukuza sana Kafulila kwa "maajabu" kama RC hadi Simiyu ikaongoza kwa mapato 2021/2022? Au ilikuwa ni id yake mwenyewe? Can't believe that!
Wakati wa kula hautakiwi kuongea ...kimemponza kafulila na Happyness AllyHahaaaa atanyamaza ale kwa adabu
Sio Kweli, asingemrejesha bwana yule, alie arika watu waje kumpokea na mabango.Mama ni kama anasafisha kizazi chote cha wale sukuma gang
Una uhakika hatapata uteuzi tena?Mpumbavu yule..... Aendelee kuchambua uchumi na madeni ya taifa sasa akiwa uani kafukuzwa mezani sebuleni.