Ni bora anawua tembo, kuliko aliyekua anadhuru na kuua binadamuAlikuwa sahihi, tuna viongozi wengi wapuuzi na hawajuwi wajibu wao wakiwa kazini. Mfano Kinana, huyu jamaa alikuwa jambazi.....aliua sana tembo na wanyama wengine kuwauzia waarab na CCM wanalijuwa hili. Eti leo mnarudisha kibaka kuongoza chama, are they serious? Ukimwangalia tu usoni Kinana anaonekana ni jangili.
Byakanwa alijikuta ametolewa sababu yule sio mwanasiasa, alikaa ikulu Kama vijana wa TISS alipoingia Magu akawatoa ikulu waingie field kukomesha upinzani na kuendeleza ushenzi wa legacy za kibabe za Meko.Hapi,Mnyeti,gambo,byakanwa walirudi nyuma but ni ngumu kuifuta historia.Technology utunza historia.
mdomo uliponza kichwaVideo inajielezaView attachment 1737768
Legends huwa wanakaa kimya tu wanajua namna ya kumaliza game 😃😃😃Wastaafu wamerudi kwa mlango wa nyuma.
Kuna mtu mmoja alisema hiki chama ni kiwanda cha kupika uongo na majungu....Najaribu kuwa free thinker! kwa miaka mingi nimekuwa nikisia Mzee Lowasa, Kinana na kwa hivi karibuni Kikwete ilifikia wakati kijana wa Kikwete huyu naibu waziri kila kituo kipya cha mafuta kilichofunguliwa ilisemekana ni chake! Loawassa aliwahi kuwapa challenge Chadema kipindi kile wamemshikia bango kuwa ni fisadi, aliwaomba kama kuna mwenye ushahidi aende mahakamani, huyu Kinana aliwahi shutumiwa na Mchungaji Msigwa kuwa meli yake ilikuwa imebeba mankotena ya meno ya tembo, Kinana akaenda mahakamani na mahakama ikaona Msigwa ameshindwa kuthibitisha madai yake na ikamuamuru alipe fidia, aliishia kumuomba radhi Mzee Kinanan hadharani! Sasa hizi tuhuma za ufisadi zina ukweli kiasi gani au ndio mambo ya kurithishana habari za kufikirika!
The world is made up of smart guys who get rich and suckers who stays poor !! Au nasema uongo ndugu zangu ??!!Wastaafu wamerudi kwa mlango wa nyuma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ally kabla ya kuingia ofisini mpigie simu Mzee JK msalimie,saa 4 mpigie Kinana mwambie umemtumia dagaa wa Mwanza kwenye Kisbo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwaga maji tucheze kama kambaleeee!!Video inajielezaView attachment 1737768
😂😂😂Video inajielezaView attachment 1737768
ongeza list- Ogundu, sabaya,kheri,na yule wa manyara jina nimelisahauHapi,Mnyeti,gambo,byakanwa walirudi nyuma but ni ngumu kuifuta historia.Technology utunza historia.
Tunaendelea kula nchi tu kama kawaida ndio maana tulishasema saccos kutawala nchi hii labda baada ha miaka 100 ijayo.Muda wenu umefika sukuma gang kulia kama mbwakoko
Aliwataja Membe na Mzee Makamba
[/QUOTE
Ndio nimefuatilia Ile clip yote.
Mnakufa na njaa dadeeki zenuTunaendelea kula nchi tu kama kawaida ndio maana tulishasema saccos kutawala nchi hii labda baada ha miaka 100 ijayo.
Kufukua haya makaburi ni muhimu kwani wengi husahau maovu yao. Yanapofukuliwa wanakumbushwa maovu waliyoyafanya hapo awali.We jamaa mbona unafukua makaburi? Hii ungemtumia inbox mkuu