Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

Ile kauli ya historia itakubeba inatesa sn mioyo ya wakengefu na walolaanika kw kumtegemea binadamu
 
Umemsahau Le mutuz…alikuwa anamwita Mzee Chuma


Ilikuwa akimtaja Makonda lazima aanze na Field Mashal…mwenye Mkoa wake na blaaa blaaa kibao siku ikilazimu sana basi anaandika aliekuwa……


Tumetoka mbali zama zile baba yao akinangwa walishindana kujibu mashambulizi kutetea utopolo.Huku bashite anapokea gambo anakuja chalamila speaker mbovu anamaliza sabaya Musiba majura akiwa refarii leo wameufyata msemo wa kizanzibari.


WAMEUFYATA
 
Analinda kibarua chake akifunua tu mdomo imeingia.
 
Back
Top Bottom