Ally Kamwe bado ana utoto mwingi anaigharimu timu

Ally Kamwe bado ana utoto mwingi anaigharimu timu

Mbumbumbu uyo Ally kamwe ndio saiz yenu na ana wanyoosha kisawa sawa.
Kwanza Ni mmoja wa wachambuzi Bora vijana katika Nchi, pili Ana Leseni ya CAF Daraja C, Tatu anajua kusukuma Ajenda kulingana na wakati.
NB: Yeye ni muhamsishaji na si mchezaji. Hakuna kosa lolote la mhamasishaji linalo husiana na mechi inayo chezwa uwanjani.
Punguzeni u mbumbumbu.
Aliyeleta hii mada gongowazi mwenzako.Vipi umeguswa ukaachia?.Leseni C ya CAF inazuia kuropoka?
Gusa achia ukanye.
 
Jamaa kuna wakati kauli zake, daah hata sijui nisemeje.

Juzi baada ya kutoka taarifa za Simba kupewa adhabu, alisema viongozi wa Simba walikuwa wanajua halafu wale mashabiki wenye vimbelembele waliojifanya kununua tiketi mapema wameliwa. Nikajiuliza, hivi mshabiki kununua tiketi mapema inakuwaje sehemu ya kejeli, yeye si huwa anahamasisha mashabiki wa Yanga wanunue tiketi mapema?

Ila huu ushabiki wa Yanga na Simba usipojua kuubalance unakuwa mwehu.
 
Leo yeye na kundi lake la gongowazi wazi wenzake wamemshambulia na kumpiga mwanachama mashuhuri wa Simba Dr.Mohamed.Utani hawauwezi imebidi watupe ngumi.
 
Nafasi yake inahitaji mtu makini mtu serious,Haji Manara hafai ila Ally Kamwe ndio hafai kabisaa

Kuna vitu hatakiwi kuongea ila ndio anavishikia bango,anavyotakiwakuongea ndio haviongei.


Anatujaza upepo mashabiki wa Yanga tofautina uhalisia.
Kwa hiyo wewe akili zako hutumii. Unatumia za Ali Kamwe? Wewe huijui Timu ? Za kuambiwa changanya na zako
 
Buahahahahahahhah
Jamani tatizo ni wale mashabiki wa nyuma mwiko..wana lugha mbaya..wamejaa kibri..hawana elimu hawajui waongee nini basi tabu tupu..baadhi yao lakini ni wengi mnoo wakihojiwa mpk unashangaa..
Mara tuletewe malaika tucheze nao..
Mara sijui nini
Majinga mno
 
Nafasi yake inahitaji mtu makini mtu serious,Haji Manara hafai ila Ally Kamwe ndio hafai kabisaa

Kuna vitu hatakiwi kuongea ila ndio anavishikia bango,anavyotakiwakuongea ndio haviongei.


Anatujaza upepo mashabiki wa Yanga tofautina uhalisia.
Ana mambo ya ki demu
 
Nafasi yake inahitaji mtu makini mtu serious,Haji Manara hafai ila Ally Kamwe ndio hafai kabisaa

Kuna vitu hatakiwi kuongea ila ndio anavishikia bango,anavyotakiwakuongea ndio haviongei.


Anatujaza upepo mashabiki wa Yanga tofautina uhalisia.
Umejazwa upepo?
 
Nafasi yake inahitaji mtu makini mtu serious,Haji Manara hafai ila Ally Kamwe ndio hafai kabisaa

Kuna vitu hatakiwi kuongea ila ndio anavishikia bango,anavyotakiwakuongea ndio haviongei.

Anatujaza upepo mashabiki wa Yanga tofautina uhalisia.
Inawezekqnq wewe ukawa hufai kuliko hata hao uliowataja .sasa hata space umeshindwa kuacha ?
 
Jamaa kuna wakati kauli zake, daah hata sijui nisemeje.

Juzi baada ya kutoka taarifa za Simba kupewa adhabu, alisema viongozi wa Simba walikuwa wanajua halafu wale mashabiki wenye vimbelembele waliojifanya kununua tiketi mapema wameliwa. Nikajiuliza, hivi mshabiki kununua tiketi mapema inakuwaje sehemu ya kejeli, yeye si huwa anahamasisha mashabiki wa Yanga wanunue tiketi mapema?

Ila huu ushabiki wa Yanga na Simba usipojua kuubalance unakuwa mwehu.
Kweli kabisa,ueye kashindwa kuhamasisha mashabiki kuujaza iwanja anaongelea mambo ya simba,uwanja mechi na Alger ulikuwa na gapes kibao
 
Nafasi yake inahitaji mtu makini mtu serious,Haji Manara hafai ila Ally Kamwe ndio hafai kabisaa

Kuna vitu hatakiwi kuongea ila ndio anavishikia bango,anavyotakiwakuongea ndio haviongei.

Anatujaza upepo mashabiki wa Yanga tofautina uhalisia.
Ally Kamwe anaigharimu vipi timu?
 
Nafasi yake inahitaji mtu makini mtu serious,Haji Manara hafai ila Ally Kamwe ndio hafai kabisaa

Kuna vitu hatakiwi kuongea ila ndio anavishikia bango,anavyotakiwakuongea ndio haviongei.

Anatujaza upepo mashabiki wa Yanga tofautina uhalisia.
Kwa matokeo ya jana kosa la Ally Kamwe ni gani?
 
Gusa achia twende home

Kwahiyo utoto wa Kamwe umechangia vipi pafomansi mbovu ya wale wazee waliokua wanakimbia kimbia hovyo uwanjani?
 
Uhalisia ni kuwa Yanga hakuwa na timu ya kushindana kwenye hii michuano.

Je, Ali Kamwe alitakiwa kwa nafasi yake awaeleze ilo wana Yanga?

Hapana yeye ni propagandist wa timu sio mchambuzi.
Kama hawakuwa na timu ya ushindani hapo walifikaje ?? Mpira una matokeo 3 na kila mshiriki anastahili kushinda ikiwa itawezekana hivyo mimi sioni ajabu hapo
 
Back
Top Bottom