ccm tangu uhuru imekuwa ikibadili marais kwa mafanikio wote wakiiacha nchi salama salimini.Ni nini kilichobadilika mpaka mnatuambia hamuoni mtu wa kumrithi Magu?Je ndio mwisho wa kufikiri kwenu?Ni nini kimetokea kwa chama hiki kikongwe mpaka watu wanasema hadharani bungeni kwamba hawaoni mtu wa kumrithi Magu ndani ya chama chao?Ni kweli au ni kikundi tu cha wabinafsi fulani ccm wanataka kumshawishi Magu kwa ajenda zao binafsi?Je,ccm ya leo si ile ya zamani?(yenye tunu kibao).Ccm ya leo haina candidates wa urais isipokuwa mtu mmoja tu?Kama ni hivyo mtuambie tuma sababu gani ya kuachia chama mufilisi kama hichi (kinachotegemea mtu mmoja) kiendelee kushika madaraka?Hamuoni chama chenu kilivyo hatari kwa ustawi wa taifa?(chama cha mtu mmoja)e.Si haya mnayompigia kelele Mbowe kila kukicha?(kwamba aachie madaraka ya chadema kwa watanzania wengine)?Sasa na nyie mnafanya nini hapo?Hivi watanzania mmekumbwa na uchizi wa aina gani lakini?Mbona ile jamii ya watu wenye uwezo wa "kawaida tuu"(si lazima uwe jinias) wa kufikiri inaondoka kwa kasi hivi?You know kama kuna jambo nampendea sana Magu ni hili,ameweza kuwabana watu hadi rangi halisi za kinafiki za watz zinaonekana.Hata wale tuliodhani ni wazito kumbe ni wepesi hivi!From Ally Keissy wa ccm,Edo Lowasa hadi Lijualikali wa chadema woote tumeona rangi zao halisi.Namshukuru sana Magu kwa hii legacy.Ametusaidia kujua rangi halisi za wabongo baada ya kuapply hii staili yake ya uongozi wa kibano kikali.Sasa watu tusiowadhania wanaimba mapambio ya ajabu!Inatusaidia katika kuchagua na vetting ya viongozi mbalimbaliNext time i think we will be careful because KUMBE MKO HIVI JAMAAANI![emoji34]