Ama kweli siasa ni sayansi, ametulizwa kwa kupewa ubosi TLS



Kwahiyo huo urais wa TLS kapewa bure without any competition Battle?
 
The guy is mourning silently - ni mwendo wa kuomboleza kimya kimya
unless nisingekua kiongozi mwandamizi wa wananchi,

ninao wajibu mkubwa kwa wananchi na kwa familia hii kubwa mno ya JF, kutoa, maoni, mawazo na elimu hususani on current issues,

ukija na majibu yako mfukoni dhidi ya hoja zangu, ukadhani ati naweza babaika na flani kua nani, wapi unajidanganya tu, na kupoteza muda wako...

nachojaribu kukifanya kitaalamu zaidi ni kukusaidia uelewa na kukuongezea elimu na maarifa juu ya mambo haya πŸ’

ukihemka ni juu yako..
 
Between the lines...there is something...nafsi Yako inajua unafeel vipi na MwabukusiπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹
huyu huyu mjamaa wa kiburi sio?
ambae haiwezi kuchukua muda marefu utaanza kumporomoshea yale yanayotokana na mihemko πŸ’
 
umeanza kuyaporomosha sio 🀣
 



Nothing personal , nakukubali na tutafanya Kazi 2025 if God wishes ya campaign.
 
Sure😎Kuna watu unawaelewa vzr wanapoandika...Kuna pinch huko chanikiwiti😎


Nasikia urais ni TLS ni three years na jamaa mwakani anachukua jimbo

Unawezaje kuzika mbegu ? You can't mbegu haizikwi

MTU amchukie then umpe power yoyote au jukwaa.

Mwambukusi kitu alichokuwa anahitaji ni platform jukwaa la kuongelea na kalipata
 
Nilisha kwambia siku nyingi, hapa situmii nguvu yoyote ya akili kupambana na kichaa wa aina yako. Sasa tayari tupo pamoja tena. Tuendelee.
utaniambia nini wewe gentleman 🀣

yaani nibabaike na wewe?
anyway ni kwasababu ni mwananchi wangu tu inanilazimu kukuburuza taratibu tu maana hakuna namna nyingine sasa πŸ’
 
Nasikia urais ni TLS ni three years na jamaa mwakani anachukua jimbo

Unawezaje kuzika mbegu ? You can't mbegu haizikwi

MTU amchukie then umpe power yoyote au jukwaa.

Mwambukusi kitu alichokuwa anahitaji ni platform jukwaa la kuongelea na kalipata
soon mtamuona useless and nonsense πŸ’
 
utaniambia nini wewe gentleman 🀣

yaani nibabaike na wewe?
anyway ni kwasababu ni mwananchi wangu tu inanilazimu kukuburuza taratibu tu maana hakuna namna nyingine sasa πŸ’
Unaumia sana mkuu. Haya mabadiliko ndiyo hivyo tena hayazuiliki. Jikaze hivyo hivyo na u'gentleman' na aina zote za hadaa, lakini watu weshasoma tabia zenu za kinafiki na kuzielewa vizuri sana.
Siku zenu zina hesabika sasa.
Lakini kama ujuavyo, hakuna baya au zuri lisilokuwa na upande wa pili: ujio wenu, hatimaye ume wafungua akili waTanzania. Kwa hili tutawashukuru sana kutusaidia kuleta marekebisho ndani ya nchi yetu.
 
 
utaniambia nini wewe gentleman 🀣

yaani nibabaike na wewe?
anyway ni kwasababu ni mwananchi wangu tu inanilazimu kukuburuza taratibu tu maana hakuna namna nyingine sasa πŸ’
Aliye kupa kazi hii ya kuja kuweka takataka hapa kutwa nzima alikudharau sana. Sasa hapa unajifanya unamsemea boss? EEEeeeenHEEEnH. Kama siyo kichaa ninacho kueleza kinakusumbua ni kitu gani tena hiki!
 
it seems mawakili wana hali ngumu sana na hawataki kusema yaani wanakufa na tai shingoni, mama anavyo ondoa dhuluma kwa wananchi maisha ya mawakili yanazidi kuwa magumu.
 
Aliye kupa kazi hii ya kuja kuweka takataka hapa kutwa nzima alikudharau sana. Sasa hapa unajifanya unamsemea boss? EEEeeeenHEEEnH. Kama siyo kichaa ninacho kueleza kinakusumbua ni kitu gani tena hiki!
relax bana,
huna haja kua na pressure ikiwa siasa ni taaluma yako,
unababaika pasipo sababu, unajichosha bure tu πŸ’
 
it seems mawakili wana hali ngumu sana na hawataki kusema yaani wanakufa na tai shingoni, mama anavyo ondoa dhuluma kwa wananchi maisha ya mawakili yanazidi kuwa magumu.
sina hakika but inawezekana pia πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…