Kwanza watoto wa umri huo sura zao huwa haziekeweki, but they are so cute no matter wanafananajekazuri nilikaona Snapchat, Ila Mungu atupe hekima yaani mtu anamtukana mtoto na wengine wanacheka mtoto kutukanwa nimestaajabu sana
Ameeeeeeen, na iwe hivyo [emoji120][emoji120][emoji120]Utazaa Mungu yupo
Kutokana na meseji yake hapo juu nilijua Ke duuuhh Toba toba tooobaaaa Mungu aninusuru.Atazaa vipi sasa wakati yeye ni mwanaume?
Nimeifuta kbs ile quote yangu aisee.Sitaki dhambi kubwa kubwa miyeWatanzania tumuombee
Mbona iyo dhambi ishandikwa Mkuu, kuna malaika hapa masijala kaandika umesema mwanaume atazaa Mungu yupo. Ila unaweza ntumia hela kidogo nimuombe aifute[emoji23][emoji23]Nimeifuta kbs ile quote yangu aisee.Sitaki dhambi kubwa kubwa miye
Nitafute upate kitu mwakani utaongea mengine.Ameeeeeeen, na iwe hivyo [emoji120][emoji120][emoji120]
Mwambie aache ukudaMbona iyo dhambi ishandikwa Mkuu, kuna malaika hapa masijala kaandika umesema mwanaume atazaa Mungu yupo. Ila unaweza ntumia hela kidogo nimuombe aifute[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO WX3LTE using JamiiForums mobile app
Sanaaaa, wakina mama oyeeeNafurahi nikimuona msanii wa kike mbali ustaa anakumbuka kuwa na mtoto 😊😊kuwa mama ni baraka sana
Uwiiii jamani mbavu zangu mieSasa huko insta, comments za watu ni vichekesho tupu, wengine wanasema mtoto kazaliwa huku amestaafu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hizi anasema yeye ni mwanamkeAtazaa vipi sasa wakati yeye ni mwanaume?
Nimeifuta kbs ile quote yangu aisee.Sitaki dhambi kubwa kubwa miye
Hoyeeeee bushmamy🧚♀️🧚♀️Sanaaaa, wakina mama oyeee
Duuuhhh aiseee wala sikuona my.Kuna kipindi jukwaa la picha lile uzi wake ulifutwa na mods kutokana na kupost picha yeye na mwanaume mwenzie wakiwa wanavalishana Pete za uchumba na kudai kuwa ni uhuru wake asiingiliwe maamuzi yake
Mwaka jana hiyo, watu walimpigia kelele sana huko jukwaaniDuuuhhh aiseee wala sikuona my.
Oooohh hata sipitagi huko jukwaa la photo.Ntaanza kufanya hivyo sbb tunaombea machokoliko jamani.Mwaka jana hiyo, watu walimpigia kelele sana huko jukwaani
Kuna. Mmoja tulisoma nae alikuwa anaitwa lulu, tukiwa Form two alivaa pedi darasani na wanafunzi wote (boys na girls) wakiwepo wala hakuogopa chochoteNilichojifunza majina ya mademu wanaojiita Lulu wanakuwa Wamepinda sana na Micharuko.
Lulu Diva
Amber Lulu
Lulu Michael
Amber Rutty
Amber Rose
Hahahaa aiseee kweli mshipa wa aibu ulikuwa umekata.Kuna. Mmoja tulisoma nae alikuwa anaitwa lulu, tukiwa Form two alivaa pedi darasani na wanafunzi wote (boys na girls) wakiwepo wala hakuogopa chochote