Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia January 2023 tunatumia mabomu maana risasi zimeshapitwa na wakatiJamaa ni husband material lkn siyo photogenic hata kumpost nashindwa. Kiumri kanizidi miaka 5 tu lkn ana mambo ya kizamani sana maana amekaa kipori pori.
The guy kajipanga kimaisha yuko vizuri, lkn huo muonekano usiopendeza kwenye picha unaninyima raha.
Kanifanyia makubwa sana hapa mjini. Nilimuahidi mwakani ndiyo tutaoana, sasa hivi ana-push kwamba apeleke barua home kwetu after two weeks, ndiyo maana nataka nichomoe kiaina.
Nipeni mbinu. Nimpe makavu laivu kwamba wewe mpori pori, nim-block ama nisijibu wala kupokea sms zake?
Ndio maana mnatwangwa risasiJamaa ni husband material lkn siyo photogenic hata kumpost nashindwa. Kiumri kanizidi miaka 5 tu lkn ana mambo ya kizamani sana maana amekaa kipori pori.
The guy kajipanga kimaisha yuko vizuri, lkn huo muonekano usiopendeza kwenye picha unaninyima raha.
Kanifanyia makubwa sana hapa mjini. Nilimuahidi mwakani ndiyo tutaoana, sasa hivi ana-push kwamba apeleke barua home kwetu after two weeks, ndiyo maana nataka nichomoe kiaina.
Nipeni mbinu. Nimpe makavu laivu kwamba wewe mpori pori, nim-block ama nisijibu wala kupokea sms zake?
Mwanamume ndio muoaji. Yeye ndo anayepaswa kumuahidi ndoa mwanamke. Kwahiyo hata kupanga siku ya ndoa ni jukumu la mwanaume, sio mwanamke Kama anavyoeleza mleta mada hapa.Ngoja kwanza..
Hivi mwanaume ndiye anapaswa kumuahidi mwanaume ndoa au ni mwanaume?!
Kama uko serious basi laana inakunyemelea. Baada ya kufaidi vya mwezio ndio leo umemuona mporipori, eenh? Malipo ni hapa hapa duniani. Mkimbie tu uone balaa zitakavyokuandama. Utarudi mwenyewe kumpigia magoti while it's already too late!!Jamaa ni husband material lkn siyo photogenic hata kumpost nashindwa. Kiumri kanizidi miaka 5 tu lkn ana mambo ya kizamani sana maana amekaa kipori pori.
The guy kajipanga kimaisha yuko vizuri, lkn huo muonekano usiopendeza kwenye picha unaninyima raha.
Kanifanyia makubwa sana hapa mjini. Nilimuahidi mwakani ndiyo tutaoana, sasa hivi ana-push kwamba apeleke barua home kwetu after two weeks, ndiyo maana nataka nichomoe kiaina.
Nipeni mbinu. Nimpe makavu laivu kwamba wewe mpori pori, nim-block ama nisijibu wala kupokea sms zake?
Mpe 0719, atabadilika tuJamaa ni husband material lkn siyo photogenic hata kumpost nashindwa. Kiumri kanizidi miaka 5 tu lkn ana mambo ya kizamani sana maana amekaa kipori pori.
The guy kajipanga kimaisha yuko vizuri, lkn huo muonekano usiopendeza kwenye picha unaninyima raha.
Kanifanyia makubwa sana hapa mjini. Nilimuahidi mwakani ndiyo tutaoana, sasa hivi ana-push kwamba apeleke barua home kwetu after two weeks, ndiyo maana nataka nichomoe kiaina.
Nipeni mbinu. Nimpe makavu laivu kwamba wewe mpori pori, nim-block ama nisijibu wala kupokea sms zake?
Hii imekaa kiimani zaidi, hivyo unafanya kazi kwa wanaoamini kuwa dhulma hulipwa. Lkn kwa asiyeamini maisha yanasonga kama kawa tu.Malipo ni hapa hapa duniani. Mkimbie tu uone balaa zitakavyokuandama. Utarudi mwenyewe
Kama tayari uziThe End
Huyu ni mwanaumeNgoja kwanza..
Hivi mwanamke ndiye anapaswa kumuahidi mwanaume ndoa au ni mwanaume?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daah huwa hueleweki mara unakula mara unaliwa unatuchanganya sana
Pesa zake na mali yake siyo za kiporipori. Ninyi ndiyo mnauwawa kimasihara. Kwanza umempotezea muda. Pili unamlia au ulimlia mali na pesa huku ukijua huna hisia naye. Sasa unataka upewe mbinu za kumuacha. Wewe huna tofauti na wale wanaojiuza mitaani Dar kama vile mtaa wa Ohio. Hao hawajali sura bali pesa na mnunuzi anajuwa akipewa uhusiano unaisha baada ya malipo. Sasa wewe unataka kusitisha uhusiano baada ya kulipwa. Ningekuwa mimi unaniufanyia hivyo na nikajuwa ningekupoteza kiaina. Tena kupotea kwenyewe ningetumia watu toka nje ya nchi kukupoteza. Malaya mkubwa wewe.Jamaa ni husband material lkn siyo photogenic hata kumpost nashindwa. Kiumri kanizidi miaka 5 tu lkn ana mambo ya kizamani sana maana amekaa kipori pori.
The guy kajipanga kimaisha yuko vizuri, lkn huo muonekano usiopendeza kwenye picha unaninyima raha.
Kanifanyia makubwa sana hapa mjini. Nilimuahidi mwakani ndiyo tutaoana, sasa hivi ana-push kwamba apeleke barua home kwetu after two weeks, ndiyo maana nataka nichomoe kiaina.
Nipeni mbinu. Nimpe makavu laivu kwamba wewe mpori pori, nim-block ama nisijibu wala kupokea sms zake?
Hapo sawa😅Huyu ni mwanaume
Acha Imani potofu wewe. Usikute hapo umening'iniza hirizi kiunoni kwako!!! Mxiuuuu.Kama tayari uzi
Basi jitafakari huwenda ushalogwa tayari. Nenda baharini kaoge maji ya chumvi na kanunue mafuta ya upako na maji unywe asbh mchana na jioni