Amestaafu na kupewa shilingi milioni mia moja. Anaomba msaada

Amestaafu na kupewa shilingi milioni mia moja. Anaomba msaada

Achukue milioni 3 tu awekeze kwenye kilimo cha tikiti. Kila baada ya siku 75 anavuna. Net profit sio chini ya milioni 8 akilima eka 3 (za kuhenyeka hasa)

Faida yake ni kubwa sana akijitoa
 
Hamna benk inyoweza kumpa hiyo, hata ile kuu
Bro akili yako ni kubwa
Bora uhamie kule kwenye jukwaa la vipanga
Hiyo hela hawatoi hata ufanyaje sikuzidi maana ni 4mil kwa mwaka
 
Achukue milioni 3 tu awekeze kwenye kilimo cha tikiti. Kila baada ya siku 75 anavuna. Net profit sio chini ya milioni 8 akilima eka 3 (za kuhenyeka hasa)

Faida yake ni kubwa sana akijitoa
Huku kuna vijana wamelima tikiti kwa Mavi ya popo
Tikiti lina ushindani sokoni hatare
 
Awekeze kwenye hati fungani za serikali za miaka 20 au miaka 25 awe anakula interest ya 15% au zaid kwa mwaka.
Yap, kwa mstaafu hii ndio inamfaa. Aachane na benki, wanaweza kumpata good rate sasa, lakini mwaka ukiisha wanashusha rate. Bonds rate zake zipo fixed kwa term yote ya miaka 10/15/20/25
 
Aende benki yoyote ya posta iliyo karibu nea,wanatoa 13% kwa uwekezaji ktk fixed deposit kwa mwaka,staff mwenzangu kastaafu nwaka jana kaweka huko mil100 kila mwezi analamba 1,083,000/= na pensheni ya 700k hivyo kuvuta jumla ya 1783K kwa mwezi,kwa hyo anaishi kama bado ana ajira vile.Hivyo kwa yeye akiweka angalau hata mil 60 hakosi pesa ya kuweza kumsogeza vizuri tu ktk maisha yake.

Huyo ndugu yako asirogwe kununua treka au gari za biashara,ni liabilities hizo
Mkuu hebu tuambie hiyo bank gani maana nimeuliza bank nyingi asilimia 6 ndiyo wengi wanayoa kwa hiyo 100 m
 
Mkuu hebu tuambie hiyo bank gani maana nimeuliza bank nyingi asilimia 6 ndiyo wengi wanayoa kwa hiyo 100 mY

Mkuu hebu tuambie hiyo bank gani maana nimeuliza bank nyingi asilimia 6 ndiyo wengi wanayoa kwa hiyo 100 m
Ya posta mkuu,wanatoa 13% kwa mwaka na wanakupa pesa yako ukitaka kwa mwezi,miezi mitatu,sita,tisa au mwaka
 
Huyu mama ndio mfano halisi wa wazazi wa kiAfrica yani unataka kufungia 80M as if hauna ndugu na jamaa wanashida husikute ata watoto bado wanaitaji boost kwenye maisha yao. Nimeshindwa kuelewa uelewa wa wazee wetu wa kiAfrica yani huu ubinafsi ndio unaturudisha nyuma sana.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Haki yake, unaweza kukuta watoto aliwasomesha na wanamaisha yao, sasa unataka awagawie tu?
 
*Anunue nyumba mbili,moja iwe guest house na nyingine aipangishe aidha awe na guest mbili mbona atapata mpaka 3mil.(chakuzingatia ni locations tu) na hapo sishauri labda kwa malipo KIDOGO...

Umemshauri Vizuri Sanaaa....

Huyu mama ahakikishe kabisa hatoki nnje ya fixed assets zinazo ongezeka thamani.

Chonde Chode

ASITOKE NNJE YA MSTARI WA FIXED ASSETS ZINAZO ONGEZEKA THAMANI

1. Anunue hata nyumba aiboreshe afanye lodge / guest house tena asimamie mwenyewe

2. Anunue maeneo makubwa karibu ya mji kama acre au ngap akate kate auze viwanja vidogo vidogo

Hyo namba moja ndio yenyewe

Asifungue biashara sijui za kuuza au kununua, asinunue sijui daladala, lorry, sijui boda boda achane na huo uchafu ACHEZE NA NYUMBA ZA BIASHARA TU. Atanikumbuka.

Hzo hapotei njia mtu akishoboka anamuuzia hela ndefu. Asikubali kuyumbishwa na ndugu, jamaa au marafiki. Simjui Hanijui ushauri wangu wa dhati mbele ya Mungu shahidi afanye navyomuambia kama hawezi aiche hyo hela bank asiitumie.

Hao watoto kakosea sana kuwapa hyo amount. Kama anao wa 4 angewanunulia viwanja vya milion 5 each = 20 M kuliko kuwapa hard cash. Kama ni wengi angewanunulia vipande vya mashamba..asiwape hela. Mtaani nakujua watapoteza kila kitu.
 
Umemshauri Vizuri Sanaaa....

Huyu mama ahakikishe kabisa hatoki nnje ya fixed assets zinazo ongezeka thamani.

Chonde Chode

ASITOKE NNJE YA MSTARI WA FIXED ASSETS ZINAZO ONGEZEKA THAMANI

1. Anunue hata nyumba aiboreshe afanye lodge / guest house tena asimamie mwenyewe

2. Anunue maeneo makubwa karibu ya mji kama acre au ngap akate kate auze viwanja vidogo vidogo

Hyo namba moja ndio yenyewe

Asifungue biashara sijui za kuuza au kununua, asinunue sijui daladala, lorry, sijui boda boda achane na huo uchafu ACHEZE NA NYUMBA ZA BIASHARA TU. Atanikumbuka.

Hzo hapotei njia mtu akishoboka anamuuzia hela ndefu. Asikubali kuyumbishwa na ndugu, jamaa au marafiki. Simjui Hanijui ushauri wangu wa dhati mbele ya Mungu shahidi afanye navyomuambia kama hawezi aiche hyo hela bank asiitumie.

Hao watoto kakosea sana kuwapa hyo amount. Kama anao wa 4 angewanunulia viwanja vya milion 5 each = 20 M kuliko kuwapa hard cash. Kama ni wengi angewanunulia vipande vya mashamba..asiwape hela. Mtaani nakujua watapoteza kila kitu.
Mimi. Ni mstaafu ninajua , simshauri ajenge , kama hakujenga kipind cha ujana akojeo akalale tu,
 
Neelewa kwamba anataka aweke hela bank alafu bank iwe ina mruhusu kutoa laki saba tu kwa mwezi!!

Hakuna bank yenye huduma hiyo!! Ushauri kama anakiwanja cha ziada, bora ajenge apartment za kawaida za laki moja na 20 chumba na sebule ziwe tano atakazo pangisha na kupata laki sita sita kila mwezi iwa wapangaji wake
 
Umemshauri Vizuri Sanaaa....

Huyu mama ahakikishe kabisa hatoki nnje ya fixed assets zinazo ongezeka thamani.

Chonde Chode

ASITOKE NNJE YA MSTARI WA FIXED ASSETS ZINAZO ONGEZEKA THAMANI

1. Anunue hata nyumba aiboreshe afanye lodge / guest house tena asimamie mwenyewe

2. Anunue maeneo makubwa karibu ya mji kama acre au ngap akate kate auze viwanja vidogo vidogo

Hyo namba moja ndio yenyewe

Asifungue biashara sijui za kuuza au kununua, asinunue sijui daladala, lorry, sijui boda boda achane na huo uchafu ACHEZE NA NYUMBA ZA BIASHARA TU. Atanikumbuka.

Hzo hapotei njia mtu akishoboka anamuuzia hela ndefu. Asikubali kuyumbishwa na ndugu, jamaa au marafiki. Simjui Hanijui ushauri wangu wa dhati mbele ya Mungu shahidi afanye navyomuambia kama hawezi aiche hyo hela bank asiitumie.

Hao watoto kakosea sana kuwapa hyo amount. Kama anao wa 4 angewanunulia viwanja vya milion 5 each = 20 M kuliko kuwapa hard cash. Kama ni wengi angewanunulia vipande vya mashamba..asiwape hela. Mtaani nakujua watapoteza kila kitu.
UPO VIZURI SANA WENYE ASSETS NDIO MATAJIRI,AND NOT HARD CASH,
kuwapa watoto hela sometimes its bad,BAADHI watafavya vyema baadhi wataziharibu na kuonja utamu wa fedha,hao waliofanya vibaya na hela wataanza maombi mabaya, (**bora afe, afii tuuu... and so so...).
 
Mie Mama yangu alistafu mwaka Juzi alipata 92.5 M tupo watoto 4 moja mwanafunzi nikamwambia Mama tukopeshe hizo pesa sisi 3 tufanye tufanyie biashara tuondokane na umasikini,kilichotokea hakuna hata moja aliyopewa hata shilingi 100.
Leo hii kila siku ananiomba hela ya kula!
Pamoja na hayo huwezi kuhalalisha kuwa alikosea kukataa kukukopesha. Lile lilikuwa jasho lake. Ulipaswa kwenda benki kama ulitaka mkopo. Alikutunza na kukusomesha ulipokuwa mdogo hivyo sasa hivi unarudisha deni.
 
Mama yangu mkubwa amestaafu na kupewa milioni mia moja. Amechukua milioni 20 na kugawia watoto pamoja na kurekebisha nyumba yake kwa maana tayari alikuwa amekwisha jenga. Sasa amebaki na milioni 80 alikuwa anataka kuziweka bank ili asizitumie vibaya.

Alikuwa anataka bank iwe inamlipa kiaso cha 700,000 kila mwisho wa mwezi kutoka katika hiyo milioni 80 yake. Je kuna bank hapa Dar inatoa huduma hiyo. Hataki kufungua biashara nyingine kwa maana tayari anayo mabucha mawili ya nyama Ubungo na Sinza.

Msaada please.
Ajiandae kupokea maelezo kutoka kwa watu ambao hawajawahi kuuza hata karanga
 
Nimepitia huu uzi nimegundua mama pamoja na wew hamna elimu ya fedha yaani financial knowledge, pia nimepitia comments za wengi humu ila ninakubaliana na wanaokushauri uende kununua hati fungani bank kuu kawni hizo zina uhakika na risk yake ni ndogo au naweza kusema haipo. mfano hiyo 80m akinunua bond za miaka 20 atapata 80*15.49% = 12,392,000 kwa mwaka ambayo kwa wastan ni milioni moja kwa mwezi ataishi kwa aman na kwa sabab ana biashara zinamuingizia kipato akichanganya na pension atakayokuwa anapewa hata pata shida kabisa. Hiki mim ndio ninachofanya wanangu wanasoma shule ninayotaka pamoja na kwamba nafanya kazi ya kawaida sana ukitaka ushauri namna ya kufika huko ntakupa bure.
Mkuu naomba unitoe tongotongo. Hivi ukisema ''bond za miaka 20'' maana yake ni kuwa unaingia mkataba wa kuwaachia fedha zako kwa miaka 20 huku ukichukuwa ''faida'' tu?
 
Na kuwa mtaafu kote huko na kupewa mil 100 Bado anakuja kutuomba msaada
 
Umemshauri Vizuri Sanaaa....

Huyu mama ahakikishe kabisa hatoki nnje ya fixed assets zinazo ongezeka thamani.

Chonde Chode

ASITOKE NNJE YA MSTARI WA FIXED ASSETS ZINAZO ONGEZEKA THAMANI

1. Anunue hata nyumba aiboreshe afanye lodge / guest house tena asimamie mwenyewe

2. Anunue maeneo makubwa karibu ya mji kama acre au ngap akate kate auze viwanja vidogo vidogo

Hyo namba moja ndio yenyewe

Asifungue biashara sijui za kuuza au kununua, asinunue sijui daladala, lorry, sijui boda boda achane na huo uchafu ACHEZE NA NYUMBA ZA BIASHARA TU. Atanikumbuka.

Hzo hapotei njia mtu akishoboka anamuuzia hela ndefu. Asikubali kuyumbishwa na ndugu, jamaa au marafiki. Simjui Hanijui ushauri wangu wa dhati mbele ya Mungu shahidi afanye navyomuambia kama hawezi aiche hyo hela bank asiitumie.

Hao watoto kakosea sana kuwapa hyo amount. Kama anao wa 4 angewanunulia viwanja vya milion 5 each = 20 M kuliko kuwapa hard cash. Kama ni wengi angewanunulia vipande vya mashamba..asiwape hela. Mtaani nakujua watapoteza kila mkiu
Mkuu umemalizaa yanii..UZI UFUNGWEEE.
 
Back
Top Bottom