Amini usiamini kuanzia Bunge lijalo hapatatosha

Unajipa moyo tu hao sukuma gang ndio washindane naRais plus Jk na timu yake,kinana,makamba .kubalini tu jamaa ameshakufa zama zake zimeisha kutesa kwa zamu chama kimerudi kwa wanamtandao
 
Huu umeandika ni ujinga. Na ndio shida ya watanzania wengi, ujinga.
 
7.Rais Samia anaonekana ni mwana Demokrasia kuliko mtangulizi wake
Samia ana roho nyeupe tatizo ni gari analosafiria, nyimbo wanazoimba, kelele wanazompigia, kuongoza si lele mama.
 
Mshindi anatabirika.Waliopo upande wa Rais ndo watashinda.Hii Ni kutokana na Katiba iliyopo
 
Rubbish
 
Unajipa moyo tu hao sukuma gang ndio washindane naRais plus Jk na timu yake,kinana,makamba .kubalini tu jamaa ameshakufa zama zake zimeisha kutesa kwa zamu chama kimerudi kwa wanamtandao
Any hard block ,has a line of weakness, kweli kimerudi kwa wanamtandao soon watakuwa scam
 
Tunataka maendeleo kwa spidi ya roketi.
 
Mkuu upeo wa ndugai ni mdogo mno. Kwenye suala zima ya kiutawala...hana naman zaidi ya kuwa , na lawana kwa wanakikundi cha ccm bungeni ... absolutely nothing....


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu upeo wa ndugai ni mdogo mno. Kwenye swala zima ya kiutawala...hana naman ya kufanya zero brain ... kabisa yule


Sent using Jamii Forums mobile app
mkumbo wa watanzania ni mental retardation
 

The title is misleading! Bunge lijalo litapatikana baada ya uchaguzi wa 2025! Hapa wewe unazungumzia vikao vijavyo vya Bunge hili, sio Bunge lijalo!
 
Shida ya upinzani hawajielew..
Bado hatujapata chama makini cha upinzani..
 
Una akili timamu, itumue. Usiegemee sana kwenye udini,chuki, ukabila.
 
Hii katiba inarekebishwa lini, maana tumechoka sasa, lini inarekebishwa?!
SUBIRI AFUFUKE MAGUFULI MWEHU WEWE. We kila mchango wako jukwaani ni KUMKASHIFU Rais Samia, kisa DINI YAKE?? Au UZANZIBAR wake au UWANAMKE wake??? Mbona MAGUFULI ALIKUWA MSUKUMA ASIYESHAURIKA NA WATU TULIVUMILIA? acha chuki boya wewe.
 
Ccm peke yake ndo inasiasa Kama za nchibya malekani,wanaweza kuvurugana weee, lkn dk moja tu inatosha kuwarudisha wakawa na lengo moja!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…