Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
- Thread starter
-
- #21
Mungu atu saidie ndugu yanguYani umeongea ukweli mtupu.Sisi watanzania ni kama mazuzu aisee..mpira wa Yanga na Simba ndio kama unatumuka kutuzubaisha tusijadili ya msingi hawa wapuuzi sijui walitufanya nn na hizi akili zetu.Tunatawaliwa kiboya sanaa yani kama misukule hatujielewi!
Nipemsaada mkuuMtoa mada una hoja ila matumizi ya L na R tatizo kubwa kwako
watajaa wanawake hapa kwasababu hawaangalii mpiraNikisena hivyo nitakuwa na kosea labda niseme wa focus kwenye maisha maisha Yana weza kuwapa.mwanga kwamba ninini kina wafanya wasifikie malengo
Na ume zungumzia kuhusu Wana wake hapo sja kuelewa kidogo una maana gani je hili Jambo Lina wahusu Wana wake pekee? Na kwanini?
Walisha Anza tayali mkuu nashukulu kwa kutabili na ime kuwa kweliSubiria vijana wa ovyo watakavyo kukurushia maneno ya ovyo wakati nchi wanayoishi inasambaratishwa na wahuni.
Y! woman's?watajaa wanawake hapa kwasababu hawaangalii mpira
Hapa umepuyanga kiddo.Wanawake watakusupport hapa ila waulize wao mbona wanahangaika na udaku hawafuatilii siasa?
ni kweliHapa umepuyanga kiddo.
Kwenye Content nzima ya Uzi hapo ndio umeona Upasimamie?ni kweli
KE ndo huwa wanaponda ushabiki wa mpira
kwasababu wengi hawafuatilii, sio wanufaika
NIMEDANGANYA?Kwenye Content nzima ya Uzi hapo ndio umeona Upasimamie?
Wewe ndio uliambiwa na Magufuli unamchango mdogo kwenye Taifa?
Sijui ila naona ulichokisema it's not important na it's not an issue. Wewe ulivyoanza kumjibu hukumuelewa sijui alihoji nguvu kubwa inayotumika na vijana kwenye mambo yasiyo ya maana kwa ukubwa kama mipira kuliko Civil rights na status ya nchi Yao kiujumla. sasa wewe 🤬🤬NIMEDANGANYA?
Rubbish kabisa🤣🤣Watu sahv wanabishana mpaka wanatoka na mapovu na makamasi kwanini team yao imefungwa 😄
Ova
Yani umeongea ukweli mtupu.Sisi watanzania ni kama mazuzu aisee..mpira wa Yanga na Simba ndio kama unatumuka kutuzubaisha tusijadili ya msingi hawa wapuuzi sijui walitufanya nn na hizi akili zetu.Tunatawaliwa kiboya
Vijana waki Tanzania tuliletwa duniani tukiwa na lengo moja tu kichwani mwetu. Kushabikia Simba na Yanga
Maendeleo hayatuhusu kabisa tushawaaachia serikali na viongozi ishu za maendeleo.
Hatuko kama vijana wa nchi nyingine
Ukitaka tuingie #Road zuia simba na Yanga
View attachment 316237
Tuna fanya lakini inahitajika nguvu zaidi kwasababu nimsiba wa woteMkuu, kwanini nyinyi hamfanyi hayo yasiyofanywa na wapenda soccer
Hatimaye umeelewaNimepata shida sana kuelewa kichwa cha uzi