Amka mpira unakuibia haki yako ya msingi

Amka mpira unakuibia haki yako ya msingi

Umeona akili Yako ilivyo ya Mavi kwahiyo kama betting inaniingizia hela nisibet nije nilieliea na na njaa kama wewe hapa mda huu fanya kazi mbuzi we hujaja na mtu duniani punguza ushauri kwenye maisha ya watu
Njoo nikulee hapa nyumbani Kuna chumba utalala na wadogo zako

pengine nta fanikiwa kupunguza utumbo ulio jaa kichwani kwako
 
Kuna Mambo mengi ya ajabu na ya hovyo Yana fanywa na viongozi wetu lakini wanainchi wapo kimya

Kuna mikataba ya hovyo Ina fanyika lakini wanainchi wapo kimya

Kuna billions zinaibwa zinafichwa na mafisadi lakini wanainchi wapo kimya

Watu wanauwawa watu wanatekwa nakutupwa wakiwa mahututi

baadhi ya viongozi wa kisiasa wanabakwa na kuvuliwa nguo nakupigwa picha lakini hakuna wa kuhoji

Maisha mitaani nimagumu mabinti zetu wanajiuza ili kunusulu familia zao lakini hakuna wa kuhoji

Watanzania wame elemewa na mizigo ya Kodi inayo tokana na mikopo isiyo wasaidia chochote Kama wanainchi lakini hakuna wa kuhoji

Tuna madini mito mkubwa maziwa makubwa lakini hakuna wa kuzungumzia hayo bungeni ili kui inua inchi yetu kiuchumi

Walimu, doctors,na wafa ya kazi wengine mishahara yao haikidhi mahitaji yao lakini hakuna wa kuhoji

Bungeni wanaongelea mpila vijana mitaani ndiyo usiseme wazee wako busy na kubeti kina Mama wanacheza Bonanza wapate pesa ya mboga

Yote haya Yana tokana na bongo za watanzania wengi kutawaliwa na mpila

Ninani atasimama kulitetea taifa?

Ninani ata simama kuisimamia serikali?

Ninani atasimama kuwaza Mambo ya msingi ya taifa badara ya mpila?

Ninani atawaamsha watanzania kutoka kwenye usingizi mzito wa mpila?

Mtanza mtu mzima timu yake ikifungwa Ana changanyikiwa, timu yake ikifungwa nyumbani amani hakuna"

Timu yake ikifungwa Hana kingine Cha kuwaza Cha maendeleo zaidi ya kuzungumzia uzembe ulio fanyika mpaka timu kufungwa"

Kwanini tusi tumie bongo zetu kujadili nikwanini tume balikiwa Kila kitu na bado tuna kopa?

Kwanini tusi tumie bongo zetu kuchambua Nani na Nani wanafaa kukaa kwenye cheo gani serikalini badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie bongo zetu kufikilia nikiongozi gani anatufanya tuna shindwa kusonga mbele Kama taifa badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie mda wetu vijiweni kuzungumzia nijinsi gani tuna weza kuudhibiti ufisadi au mafisadi wanao tufanya tunaishi maisha magumu badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie mda wetu vijiweni kujadili nijinsi gani tuka biliane na utekaji badara ya mpila?

Amka ewe mama was kitanzania

Amka ewe binti wa kitanzania

Amka ewe kijana wa kitanzania

Amka ewe baba wa kitanzania

Taifa lina kutegemea wewe ili lisonge mbele

Taifa linakutegemea wewe uwakosoe na kuwa tiisha viongozi mafisadi

Taifa linakutegemea wewe uupinge utekaji na mauwaji ya watanzania

Huo mpila unakuzubaisha na wanaonkutawala wanalijua Hilo

Huo mpila unaku kuzubaisha usijadili Kodi zako zinazo ibwa na wanao kuibia wanalijua Hilo

Huo mpila unakuzubaisha na wanaonkuibia rasilimali za taifa lako wanalijua Hilo

Ona sasa.

Binti zako wanajiuza wewe una waza mpila

Elimu yako inachaka chuliwa wewe una waza mpila

Unauziwa na kupewa dawa fake unakunywa unaugua upo kimya wewe una waza simba na yanga

Mpila Niki Levi tumia kiasi ewe mtanzania

Mpila niusingizi hauishi utamu amka katafute ewe mtanzania

Mpila ni mwanamke mzuli huwezi mmiliki Kama huna kitu ewe mtanzania

Tumia mpila Kama buludani baada ya kazi sio Kama sehemu ya maisha yako kiasi kwamba usipo zingatia..

Utakufa,utadharaulika,utachekwa,utaaibika

Amka mtanzania wanao kuta Wala na kuku dhulumu na kukuibia wanatumia mpila Kama njia ya kuku fanya usahau maovu wanayo kufanyia

Mwisho nikuulize

Je! Usha wai jiuliza kwanini Mama yako huwa zawadia wale wachezaji wa mpila?

Kama hujui anzia hapo uta vumbua mengi

Mungu walehemu vijana wa kitanzania
Sawa ila yanga kufungwa jana imeniuma sana.
 
Njoo nikulee hapa nyumbani Kuna chumba utalala na wadogo zako

pengine nta fanikiwa kupunguza utumbo ulio jaa kichwani kwako
Jaribu kuilea kwanza akili Yako naona haipo sawa unakurupuka kuandika utumbo humu kumpangia watu Cha kufanya hivi unaakili timamu kweli njaa zako hasira unaleta Kwa watu🤣🤣🤣🤣
 
Jaribu kuilea kwanza akili Yako naona haipo sawa unakurupuka kuandika utumbo humu kumpangia watu Cha kufanya hivi unaakili timamu kweli njaa zako hasira unaleta Kwa watu
Mwenye njaa hulopoka hovyo

Mwenye hasira hutukana hovyo

Asiye timamu humtukana hata asiye mjua

Hizo sfa zote niza kwako ndugu yangu
 
Mwenye njaa hulopoka hovyo

Mwenye hasira hutukana hovyo

Asiye timamu humtukana hata asiye mjua

Hizo sfa zote niza kwako ndugu yangu
Rudi kwenye Uzi wako ndio utajigundua wee hamnazo na njaa inakusumbua eti kabisa unaandika gazeti kuongelea mpira kwa watu ambao hawajawahi kukuomba hata mia na wanaishi maisha Yao hawana shobo na wewe fanya kazi mzee utalaumu Kila mtu mpaka mtoto anaezaliwa Leo utaona kama kakusababishia umasikini wako 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Naona kiswahili hapa TANZANIA, kinaelekea kututupa mkono, hasa kwenye idara hii
L - R
Yeah! Yaani kiingereza tumekwisha kuizika na Kiswahili kinazidi kututupa mkono. Naona miaka mwili inayokuja tutakuwa hatuna lugha inayoeleweka.

Tutakuwa hatuna tofauti na wale watu waliokufa ambao duniani hawapo na mbinguni hawapo, wakatoliki wanasema wako 'toharani'
 
una changamoto ya R na L, lakini unayo HOJA ya msingi. ni kweli ila tusiulaumu mpira kwakua ni burudani kwa wengi wetu, tatizo wabongo tuna bongo ngumu kukubali kueleweshwa ili tubadilike kimtazamo, fikra na kimaamuzi.
 
Rudi kwenye Uzi wako ndio utajigundua wee hamnazo na njaa inakusumbua eti kabisa unaandika gazeti kuongelea mpira kwa watu ambao hawajawahi kukuomba hata mia na wanaishi maisha Yao hawana shobo na wewe fanya kazi mzee utalaumu Kila mtu mpaka mtoto anaezaliwa Leo utaona kama kakusababishia umasikini wako 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi wewe chizi fresh

kuna sehemu nimeandika kwamba dishi Kama wewe nilazima usome na ku comment kwenyye huu uzi wangu?

Unasema nna njaa Inani sumbua Mimi na wewe tunajuana? au Nisha wai kukuomba pesa ya kula?

Acha mazoea ya kishamba af acha masiara kwenye Mambo ya msingi hapa kichaa wewe

Mimi nazungumzia watu ambao wapo addicted na Mopira kiasi kwamba mpaka Wana sahau majukumu yao ya msingi

je nikosa kufanya hivyo?

Je kwauzoefu wako kwenye mpira hakuna watu Kama hao? Au gongo za bila kula zinakuzingua?

Sja andika hii kitu kwa kubahatisha.

kunakijana wangu juzi nime mpa shilingi milioni 21600000 akalipie mahindi gunia 300 sehemu

Cha ajabu kachomoa Kama 50000 na kwenda kubetia mpila wa jana mkulima akanipigia pesa ime feri Kama 50000

Namuuliza ananiambia mkulima atakuwa kaiba.

baabda ya kumbana Sana na kutishia kumpiga chini kikazi ndipo akakubali kwamba alichomoa

Baada ya kumhoji Sana alifanyia Nini ikaonekana alienda kubetia mpila wa jana na kaliwa baada ya yanga kupigwa. Sasa huo si ubwege na undezi?

Unadhani Kuna vijana wangapi wa tz walio halibikiwa akili zao Kama huyu kijana wangu wa kazi?

Af anatokea kichaa mmoja Kama wewe na visungura vyako kichwani unaniambia nikaekimya how?

Kwahiyo ninacho kuzungumzia nikitu ambacho nimeishi nacho na naishi nacho Fu... you scoffer.,,
 
Hivi wewe chizi fresh

kuna sehemu nimeandika kwamba dishi Kama wewe nilazima usome na ku comment kwenyye huu uzi wangu?

Unasema nna njaa Inani sumbua Mimi na wewe tunajuana? au Nisha wai kukuomba pesa ya kula?

Acha mazoea ya kishamba af acha masiara kwenye Mambo ya msingi hapa kichaa wewe

Mimi nazungumzia watu ambao wapo addicted na Mopira kiasi kwamba mpaka Wana sahau majukumu yao ya msingi

je nikosa kufanya hivyo?

Je kwauzoefu wako kwenye mpira hakuna watu Kama hao? Au gongo za bila kula zinakuzingua?

Sja andika hii kitu kwa kubahatisha.

kunakijana wangu juzi nime mpa shilingi milioni 21600000 akalipie mahindi gunia 300 sehemu

Cha ajabu kachomoa Kama 50000 na kwenda kubetia mpila wa jana mkulima akanipigia pesa ime feri Kama 50000

Namuuliza ananiambia mkulima atakuwa kaiba.

baabda ya kumbana Sana na kutishia kumpiga chini kikazi ndipo akakubali kwamba alichomoa

Baada ya kumhoji Sana alifanyia Nini ikaonekana alienda kubetia mpila wa jana na kaliwa baada ya yanga kupigwa. Sasa huo si ubwege na undezi?

Unadhani Kuna vijana wangapi wa tz walio halibikiwa akili zao Kama huyu kijana wangu wa kazi?

Af anatokea kichaa mmoja Kama wewe na visungura vyako kichwani unaniambia nikaekimya how?

Kwahiyo ninacho kuzungumzia nikitu ambacho nimeishi nacho na naishi nacho Fu... you scoffer.,,
Kaka hilo jinga achana nalo halijui hata matumizi sahihi ya smart phone
Linalopoka Tu pole sana usikasirike kiivo jua kuwa haya ndio mpuuzi hayana hata faida duniani hapa. daaa au nimepiliza?
 
Kuna Mambo mengi ya ajabu na ya hovyo Yana fanywa na viongozi wetu lakini wanainchi wapo kimya

Kuna mikataba ya hovyo Ina fanyika lakini wanainchi wapo kimya

Kuna billions zinaibwa zinafichwa na mafisadi lakini wanainchi wapo kimya

Watu wanauwawa watu wanatekwa nakutupwa wakiwa mahututi

baadhi ya viongozi wa kisiasa wanabakwa na kuvuliwa nguo nakupigwa picha lakini hakuna wa kuhoji

Maisha mitaani nimagumu mabinti zetu wanajiuza ili kunusulu familia zao lakini hakuna wa kuhoji

Watanzania wame elemewa na mizigo ya Kodi inayo tokana na mikopo isiyo wasaidia chochote Kama wanainchi lakini hakuna wa kuhoji

Tuna madini mito mkubwa maziwa makubwa lakini hakuna wa kuzungumzia hayo bungeni ili kui inua inchi yetu kiuchumi

Walimu, doctors,na wafa ya kazi wengine mishahara yao haikidhi mahitaji yao lakini hakuna wa kuhoji

Bungeni wanaongelea mpila vijana mitaani ndiyo usiseme wazee wako busy na kubeti kina Mama wanacheza Bonanza wapate pesa ya mboga

Yote haya Yana tokana na bongo za watanzania wengi kutawaliwa na mpila

Ninani atasimama kulitetea taifa?

Ninani ata simama kuisimamia serikali?

Ninani atasimama kuwaza Mambo ya msingi ya taifa badara ya mpila?

Ninani atawaamsha watanzania kutoka kwenye usingizi mzito wa mpila?

Mtanza mtu mzima timu yake ikifungwa Ana changanyikiwa, timu yake ikifungwa nyumbani amani hakuna"

Timu yake ikifungwa Hana kingine Cha kuwaza Cha maendeleo zaidi ya kuzungumzia uzembe ulio fanyika mpaka timu kufungwa"

Kwanini tusi tumie bongo zetu kujadili nikwanini tume balikiwa Kila kitu na bado tuna kopa?

Kwanini tusi tumie bongo zetu kuchambua Nani na Nani wanafaa kukaa kwenye cheo gani serikalini badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie bongo zetu kufikilia nikiongozi gani anatufanya tuna shindwa kusonga mbele Kama taifa badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie mda wetu vijiweni kuzungumzia nijinsi gani tuna weza kuudhibiti ufisadi au mafisadi wanao tufanya tunaishi maisha magumu badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie mda wetu vijiweni kujadili nijinsi gani tuka biliane na utekaji badara ya mpila?

Amka ewe mama was kitanzania

Amka ewe binti wa kitanzania

Amka ewe kijana wa kitanzania

Amka ewe baba wa kitanzania

Taifa lina kutegemea wewe ili lisonge mbele

Taifa linakutegemea wewe uwakosoe na kuwa tiisha viongozi mafisadi

Taifa linakutegemea wewe uupinge utekaji na mauwaji ya watanzania

Huo mpila unakuzubaisha na wanaonkutawala wanalijua Hilo

Huo mpila unaku kuzubaisha usijadili Kodi zako zinazo ibwa na wanao kuibia wanalijua Hilo

Huo mpila unakuzubaisha na wanaonkuibia rasilimali za taifa lako wanalijua Hilo

Ona sasa.

Binti zako wanajiuza wewe una waza mpila

Elimu yako inachaka chuliwa wewe una waza mpila

Unauziwa na kupewa dawa fake unakunywa unaugua upo kimya wewe una waza simba na yanga

Mpila Niki Levi tumia kiasi ewe mtanzania

Mpila niusingizi hauishi utamu amka katafute ewe mtanzania

Mpila ni mwanamke mzuli huwezi mmiliki Kama huna kitu ewe mtanzania

Tumia mpila Kama buludani baada ya kazi sio Kama sehemu ya maisha yako kiasi kwamba usipo zingatia..

Utakufa,utadharaulika,utachekwa,utaaibika

Amka mtanzania wanao kuta Wala na kuku dhulumu na kukuibia wanatumia mpila Kama njia ya kuku fanya usahau maovu wanayo kufanyia

Mwisho nikuulize

Je! Usha wai jiuliza kwanini Mama yako huwa zawadia wale wachezaji wa mpila?

Kama hujui anzia hapo uta vumbua mengi

Mungu walehemu vijana wa kitanzania
Mkuu jitahidi kusummarize mada
 
4R za Mama hizo.
Jichanganye Ukaamka.
FB_IMG_17312328332906826.jpg
 
Kuna Mambo mengi ya ajabu na ya hovyo Yana fanywa na viongozi wetu lakini wanainchi wapo kimya

Kuna mikataba ya hovyo Ina fanyika lakini wanainchi wapo kimya

Kuna billions zinaibwa zinafichwa na mafisadi lakini wanainchi wapo kimya

Watu wanauwawa watu wanatekwa nakutupwa wakiwa mahututi

baadhi ya viongozi wa kisiasa wanabakwa na kuvuliwa nguo nakupigwa picha lakini hakuna wa kuhoji

Maisha mitaani nimagumu mabinti zetu wanajiuza ili kunusulu familia zao lakini hakuna wa kuhoji

Watanzania wame elemewa na mizigo ya Kodi inayo tokana na mikopo isiyo wasaidia chochote Kama wanainchi lakini hakuna wa kuhoji

Tuna madini mito mkubwa maziwa makubwa lakini hakuna wa kuzungumzia hayo bungeni ili kui inua inchi yetu kiuchumi

Walimu, doctors,na wafa ya kazi wengine mishahara yao haikidhi mahitaji yao lakini hakuna wa kuhoji

Bungeni wanaongelea mpila vijana mitaani ndiyo usiseme wazee wako busy na kubeti kina Mama wanacheza Bonanza wapate pesa ya mboga

Yote haya Yana tokana na bongo za watanzania wengi kutawaliwa na mpila

Ninani atasimama kulitetea taifa?

Ninani ata simama kuisimamia serikali?

Ninani atasimama kuwaza Mambo ya msingi ya taifa badara ya mpila?

Ninani atawaamsha watanzania kutoka kwenye usingizi mzito wa mpila?

Mtanza mtu mzima timu yake ikifungwa Ana changanyikiwa, timu yake ikifungwa nyumbani amani hakuna"

Timu yake ikifungwa Hana kingine Cha kuwaza Cha maendeleo zaidi ya kuzungumzia uzembe ulio fanyika mpaka timu kufungwa"

Kwanini tusi tumie bongo zetu kujadili nikwanini tume balikiwa Kila kitu na bado tuna kopa?

Kwanini tusi tumie bongo zetu kuchambua Nani na Nani wanafaa kukaa kwenye cheo gani serikalini badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie bongo zetu kufikilia nikiongozi gani anatufanya tuna shindwa kusonga mbele Kama taifa badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie mda wetu vijiweni kuzungumzia nijinsi gani tuna weza kuudhibiti ufisadi au mafisadi wanao tufanya tunaishi maisha magumu badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie mda wetu vijiweni kujadili nijinsi gani tuka biliane na utekaji badara ya mpila?

Amka ewe mama was kitanzania

Amka ewe binti wa kitanzania

Amka ewe kijana wa kitanzania

Amka ewe baba wa kitanzania

Taifa lina kutegemea wewe ili lisonge mbele

Taifa linakutegemea wewe uwakosoe na kuwa tiisha viongozi mafisadi

Taifa linakutegemea wewe uupinge utekaji na mauwaji ya watanzania

Huo mpila unakuzubaisha na wanaonkutawala wanalijua Hilo

Huo mpila unaku kuzubaisha usijadili Kodi zako zinazo ibwa na wanao kuibia wanalijua Hilo

Huo mpila unakuzubaisha na wanaonkuibia rasilimali za taifa lako wanalijua Hilo

Ona sasa.

Binti zako wanajiuza wewe una waza mpila

Elimu yako inachaka chuliwa wewe una waza mpila

Unauziwa na kupewa dawa fake unakunywa unaugua upo kimya wewe una waza simba na yanga

Mpila Niki Levi tumia kiasi ewe mtanzania

Mpila niusingizi hauishi utamu amka katafute ewe mtanzania

Mpila ni mwanamke mzuli huwezi mmiliki Kama huna kitu ewe mtanzania

Tumia mpila Kama buludani baada ya kazi sio Kama sehemu ya maisha yako kiasi kwamba usipo zingatia..

Utakufa,utadharaulika,utachekwa,utaaibika

Amka mtanzania wanao kuta Wala na kuku dhulumu na kukuibia wanatumia mpila Kama njia ya kuku fanya usahau maovu wanayo kufanyia

Mwisho nikuulize

Je! Usha wai jiuliza kwanini Mama yako huwa zawadia wale wachezaji wa mpila?

Kama hujui anzia hapo uta vumbua mengi

Mungu walehemu vijana wa kitanzania
Wewe ambaye uko macho, tusaidie kuondoa hayo mapungufu. Wacha sisi tuendelee kulala
 
Back
Top Bottom