Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
- Thread starter
- #81
Ndugu yangu humu ndani tuna vilaza wa kutoshaPata ujumbe kwnz hilo sio muhimu Sana hiyo ndio akili ndogo tunayosemea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yangu humu ndani tuna vilaza wa kutoshaPata ujumbe kwnz hilo sio muhimu Sana hiyo ndio akili ndogo tunayosemea
Usilale tu ota nandoto Kama unapitiwa na popo bawa zitakukaa vizuliWewe ambaye uko macho, tusaidie kuondoa hayo mapungufu. Wacha sisi tuendelee kulala
pumbavu hilo halina future yoyote linaonekana lipolipo Tu simu za mikopo zimekuwa nyingi majitu yanasumbua mtandaoni humu na zile MB za bure za voda zimekuwa tatizo saiviJamaa linaongea utumbo mpaka lime pitiliza mkuu nimeahindwa kulielewa kabisaa
wanazani humu tuko shule kukaguana miandiko kaaaazi kweli kweli!Ndugu yangu humu ndani tuna vilaza wa kutosha
Usilale tu ota nandoto Kama unapitiwa na popo bawa zitakukaa vizuliUsilale tu ota nandoto Kama unapitiwa na popo bawa zitakukaa vizuli
Ila haya ya mpira mpk Ulaya yapo jamani.Yani umeongea ukweli mtupu.Sisi watanzania ni kama mazuzu aisee..mpira wa Yanga na Simba ndio kama unatumuka kutuzubaisha tusijadili ya msingi hawa wapuuzi sijui walitufanya nn na hizi akili zetu.Tunatawaliwa kiboya sanaa yani kama misukule hatujielewi!
Mmmhhhh!!Vijana waki Tanzania tuliletwa duniani tukiwa na lengo moja tu kichwani mwetu. Kushabikia Simba na Yanga
Maendeleo hayatuhusu kabisa tushawaaachia serikali na viongozi ishu za maendeleo.
Hatuko kama vijana wa nchi nyingine
Ukitaka tuingie #Road zuia simba na Yanga
View attachment 3162376
🤣🤣🤣Wewe ni shabiki wa yanga huo mtego wako hatuingii iwe kwa bahati mbaya au bahati nzuri lazima tujadili yanayotokea kwa gongo wazi
Kwenye bandiko zima wewe umeona hilo tuu? Mada kuu hujaambulia chochote?Mpira sio MPILA
Kula na kulala😄😄 unaishi dunia ya zamani sanaKila akili itazingatia inachokimudu. As long as kuna uhakika wa kula na kulala.
Tatizo bado nikubwa Sana mkuuMmmhhhh!!
Deep
Hawa wanasota Kama sisi sema hawajui tu
Sare zinawapa kiburi na wanasahau kuwa hiyo ni promotion Kuna Muda inakata na atakuja mwingine.Hawa wanasota Kama sisi sema hawajui tu
Wanatupiga af jioni tuna kutana bar na Wana acha pombe wazi wanaenda kukojoa wanaludi wanaendelea kunywaSare zinawapa kiburi na wanasahau kuwa hiyo ni promotion Kuna Muda inakata na atakuja mwingine.
Ukimwangalia mtu anaye bet kuanzia juu mpaka kiatu uta gundua betting ni mbaya Sana mkuuIla haya ya mpira mpk Ulaya yapo jamani.
Utaskia shabiki wa team fulani kajinyonga sababu team yake imefungwa.
Na betting ndio imechangia zaidi watu kutokwa na akili juu ya mpira.
Kwa ufupi mpira =shetani
Hawa ndiyo wasomi wetu mkuu tuta fanyaje Sasa?😄😄wanazani humu tuko shule kukaguana miandiko kaaaazi kweli kweli!
Kuna lofa moja lilipanga vigheto flan vya kizamani vipo Kama police post mlango una komeo nje.Wanatupiga af jioni tuna kutana bar na Wana acha pombe wazi wanaenda kukojoa wanaludi wanaendelea kunywa
Sisi tunawachola tu ,😄😄
😂😂😂😂 Maisha haya sema Hawa jui tuKuna lofa moja lilipanga vigheto flan vya kizamani vipo Kama police post mlango una komeo nje.
Jamaa akivaa sare anajiona mwaamba. Kuna siku aliwapa madogo kipigo.
Wakammendea siku hiyo karudi kuzama ndani to madogo wakamfungia komea kwa nje..... Walichoma pilipili kwenye kopo la Sadolin ....... Alilia kuomba msaada watu kimyaaa .... Walioenda kumtoa walimkuta anaunguruma Yani ilibakia kidogo arudishe namba.
Man hata Kama unafanya kazi ovu hakikisha mtaani Wana picha tofauti na ile waliyonayo kazini kwako.😄😄😄
😂😂😂😂 Maisha haya sema Hawa jui tu