Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
- Thread starter
-
- #41
Always kitu fake hakiwezi kutoa kitu og, coz fake ni fake tuKwenye Content nzima ya Uzi hapo ndio umeona Upasimamie?
Wewe ndio uliambiwa na Magufuli unamchango mdogo kwenye Taifa?
Sio kidogo kapuyanga Sana huyo kambaleHapa umepuyanga kiddo.
Jitu zima Lina amka hasubuhi saa 12 linaenda kumgongea mwanaume mwenzie Kwanguvu zoteYani umeongea ukweli mtupu.Sisi watanzania ni kama mazuzu aisee..mpira wa Yanga na Simba ndio kama unatumuka kutuzubaisha tusijadili ya msingi hawa wapuuzi sijui walitufanya nn na hizi akili zetu.Tunatawaliwa kiboya sanaa yani kama misukule hatujielewi!
Mmefanya nini?Tuna fanya lakini inahitajika nguvu zaidi kwasababu nimsiba wa wote
Hupaswi kumwogesha nguluwe kwa sabuni sababu maisha yake huvutiwa na tope kuliko majiKweli 'mipila' inaharibu sana. Watu wanaacha kuzungumzia matatizo ya r na l wako bize na 'mamipila'
Na niwa bishi af hawajui wanacho kibishia
ULicho uliza hapo juuMmefanya nini?
Mwaka huu mbona hamna kitu mkuu.ULicho uliza hapo juu
Ndugu yangu umenena ukweli mtupu. Atakeyeukataa ukweli huu ni shoga, yaani analiwa nyuma.Kuna Mambo mengi ya ajabu na ya hovyo Yana fanywa na viongozi wetu lakini wanainchi wapo kimya
Kuna mikataba ya hovyo Ina fanyika lakini wanainchi wapo kimya
Kuna billions zinaibwa zinafichwa na mafisadi lakini wanainchi wapo kimya
Watu wanauwawa watu wanatekwa nakutupwa wakiwa mahututi
baadhi ya viongozi wa kisiasa wanabakwa na kuvuliwa nguo nakupigwa picha lakini hakuna wa kuhoji
Maisha mitaani nimagumu mabinti zetu wanajiuza ili kunusulu familia zao lakini hakuna wa kuhoji
Watanzania wame elemewa na mizigo ya Kodi inayo tokana na mikopo isiyo wasaidia chochote Kama wanainchi lakini hakuna wa kuhoji
Tuna madini mito mkubwa maziwa makubwa lakini hakuna wa kuzungumzia hayo bungeni ili kui inua inchi yetu kiuchumi
Walimu, doctors,na wafa ya kazi wengine mishahara yao haikidhi mahitaji yao lakini hakuna wa kuhoji
Bungeni wanaongelea mpila vijana mitaani ndiyo usiseme wazee wako busy na kubeti kina Mama wanacheza Bonanza wapate pesa ya mboga
Yote haya Yana tokana na bongo za watanzania wengi kutawaliwa na mpila
Ninani atasimama kulitetea taifa?
Ninani ata simama kuisimamia serikali?
Ninani atasimama kuwaza Mambo ya msingi ya taifa badara ya mpila?
Ninani atawaamsha watanzania kutoka kwenye usingizi mzito wa mpila?
Mtanza mtu mzima timu yake ikifungwa Ana changanyikiwa, timu yake ikifungwa nyumbani amani hakuna"
Timu yake ikifungwa Hana kingine Cha kuwaza Cha maendeleo zaidi ya kuzungumzia uzembe ulio fanyika mpaka timu kufungwa"
Kwanini tusi tumie bongo zetu kujadili nikwanini tume balikiwa Kila kitu na bado tuna kopa?
Kwanini tusi tumie bongo zetu kuchambua Nani na Nani wanafaa kukaa kwenye cheo gani serikalini badara ya mpila?
Kwanini tusi tumie bongo zetu kufikilia nikiongozi gani anatufanya tuna shindwa kusonga mbele Kama taifa badara ya mpila?
Kwanini tusi tumie mda wetu vijiweni kuzungumzia nijinsi gani tuna weza kuudhibiti ufisadi au mafisadi wanao tufanya tunaishi maisha magumu badara ya mpila?
Kwanini tusi tumie mda wetu vijiweni kujadili nijinsi gani tuka biliane na utekaji badara ya mpila?
Amka ewe mama was kitanzania
Amka ewe binti wa kitanzania
Amka ewe kijana wa kitanzania
Amka ewe baba wa kitanzania
Taifa lina kutegemea wewe ili lisonge mbele
Taifa linakutegemea wewe uwakosoe na kuwa tiisha viongozi mafisadi
Taifa linakutegemea wewe uupinge utekaji na mauwaji ya watanzania
Huo mpila unakuzubaisha na wanaonkutawala wanalijua Hilo
Huo mpila unaku kuzubaisha usijadili Kodi zako zinazo ibwa na wanao kuibia wanalijua Hilo
Huo mpila unakuzubaisha na wanaonkuibia rasilimali za taifa lako wanalijua Hilo
Ona sasa.
Binti zako wanajiuza wewe una waza mpila
Elimu yako inachaka chuliwa wewe una waza mpila
Unauziwa na kupewa dawa fake unakunywa unaugua upo kimya wewe una waza simba na yanga
Mpila Niki Levi tumia kiasi ewe mtanzania
Mpila niusingizi hauishi utamu amka katafute ewe mtanzania
Mpila ni mwanamke mzuli huwezi mmiliki Kama huna kitu ewe mtanzania
Tumia mpila Kama buludani baada ya kazi sio Kama sehemu ya maisha yako kiasi kwamba usipo zingatia..
Utakufa,utadharaulika,utachekwa,utaaibika
Amka mtanzania wanao kuta Wala na kuku dhulumu na kukuibia wanatumia mpila Kama njia ya kuku fanya usahau maovu wanayo kufanyia
Mwisho nikuulize
Je! Usha wai jiuliza kwanini Mama yako huwa zawadia wale wachezaji wa mpila?
Kama hujui anzia hapo uta vumbua mengi
Mungu walehemu vijana wa kitanzania
πππNdugu yangu umenena ukweli mtupu. Atakeyeukataa ukweli huu ni shoga, yaani anakuwa nyuma.
Aah wewe achaizo kwenye matibabu maralia hawachomagi sindano bwanaaMwaka huu mbona hamna kitu mkuu.
Wajitahidi kula na vipofu Kwa usalama wa wajukuu zao. AsanteShukuru sana kwenye tasnia ya michezo angalau wanasaidia watu kutoa hangover na headaches za kila siku, tena hapa ni bora wanapata starehe yao instantly kuliko an Opium of the Mass according to Karl Max....
Anyway ukiona duniani watu wanaachana na wanasiasa na kuwasikiliza ni sababu wamekuwa walaghai wasioaminika wajali matumbo yao..., ila wala usihofu Tanzania bado mambo yapo Kosher na watu wana Hope na Kesho yao ikifika wakati generation kama tatu sijazo ambapo watakuwa na nothing to lose with no prospects yatatokea ya French Revolution.... Unless walamba asali wajifunze kula na vipofu (for the sake of their grand children ) sababu mchuma janga hula na wakwao....
Mwisho kabisa mpira usilaumiwe bali ushukuriwe kwa angalau kufanya life ya wengi atleast bearable
Kichwa cha hui Uzi nikisisoma kwa kurudia mara kibao tangu jana hatimaye nimekielewa dakika 20 zilizopita kwa Masada wa watu wa marekni.π€π€π€π€π€View attachment 3162405
Siwezi bishana namtu anayue tegemea kubeti ili kuendesha maisha ya familiaFanya kazi ngedere wewe hamna mwanaume wa kupamabania maisha yako jipamabanie kivyako hujaja duniani na mtu
Basi Nami nitoe shukrani kwa watu wa marekaniKichwa cha hui Uzi nikisisoma kwa kurudia mara kibao tangu jana hatimaye nimekielewa dakika 20 zilizopita kwa Masada wa watu wa marekmarek
Kila tukio la wizi au udhalimu fulani basi wanapanga Match ya Simba na Yanga.Kuna Mambo mengi ya ajabu na ya hovyo Yana fanywa na viongozi wetu lakini wanainchi wapo kimya
Kuna mikataba ya hovyo Ina fanyika lakini wanainchi wapo kimya
Kuna billions zinaibwa zinafichwa na mafisadi lakini wanainchi wapo kimya
Watu wanauwawa watu wanatekwa nakutupwa wakiwa mahututi
baadhi ya viongozi wa kisiasa wanabakwa na kuvuliwa nguo nakupigwa picha lakini hakuna wa kuhoji
Maisha mitaani nimagumu mabinti zetu wanajiuza ili kunusulu familia zao lakini hakuna wa kuhoji
Watanzania wame elemewa na mizigo ya Kodi inayo tokana na mikopo isiyo wasaidia chochote Kama wanainchi lakini hakuna wa kuhoji
Tuna madini mito mkubwa maziwa makubwa lakini hakuna wa kuzungumzia hayo bungeni ili kui inua inchi yetu kiuchumi
Walimu, doctors,na wafa ya kazi wengine mishahara yao haikidhi mahitaji yao lakini hakuna wa kuhoji
Bungeni wanaongelea mpila vijana mitaani ndiyo usiseme wazee wako busy na kubeti kina Mama wanacheza Bonanza wapate pesa ya mboga
Yote haya Yana tokana na bongo za watanzania wengi kutawaliwa na mpila
Ninani atasimama kulitetea taifa?
Ninani ata simama kuisimamia serikali?
Ninani atasimama kuwaza Mambo ya msingi ya taifa badara ya mpila?
Ninani atawaamsha watanzania kutoka kwenye usingizi mzito wa mpila?
Mtanza mtu mzima timu yake ikifungwa Ana changanyikiwa, timu yake ikifungwa nyumbani amani hakuna"
Timu yake ikifungwa Hana kingine Cha kuwaza Cha maendeleo zaidi ya kuzungumzia uzembe ulio fanyika mpaka timu kufungwa"
Kwanini tusi tumie bongo zetu kujadili nikwanini tume balikiwa Kila kitu na bado tuna kopa?
Kwanini tusi tumie bongo zetu kuchambua Nani na Nani wanafaa kukaa kwenye cheo gani serikalini badara ya mpila?
Kwanini tusi tumie bongo zetu kufikilia nikiongozi gani anatufanya tuna shindwa kusonga mbele Kama taifa badara ya mpila?
Kwanini tusi tumie mda wetu vijiweni kuzungumzia nijinsi gani tuna weza kuudhibiti ufisadi au mafisadi wanao tufanya tunaishi maisha magumu badara ya mpila?
Kwanini tusi tumie mda wetu vijiweni kujadili nijinsi gani tuka biliane na utekaji badara ya mpila?
Amka ewe mama was kitanzania
Amka ewe binti wa kitanzania
Amka ewe kijana wa kitanzania
Amka ewe baba wa kitanzania
Taifa lina kutegemea wewe ili lisonge mbele
Taifa linakutegemea wewe uwakosoe na kuwa tiisha viongozi mafisadi
Taifa linakutegemea wewe uupinge utekaji na mauwaji ya watanzania
Huo mpila unakuzubaisha na wanaonkutawala wanalijua Hilo
Huo mpila unaku kuzubaisha usijadili Kodi zako zinazo ibwa na wanao kuibia wanalijua Hilo
Huo mpila unakuzubaisha na wanaonkuibia rasilimali za taifa lako wanalijua Hilo
Ona sasa.
Binti zako wanajiuza wewe una waza mpila
Elimu yako inachaka chuliwa wewe una waza mpila
Unauziwa na kupewa dawa fake unakunywa unaugua upo kimya wewe una waza simba na yanga
Mpila Niki Levi tumia kiasi ewe mtanzania
Mpila niusingizi hauishi utamu amka katafute ewe mtanzania
Mpila ni mwanamke mzuli huwezi mmiliki Kama huna kitu ewe mtanzania
Tumia mpila Kama buludani baada ya kazi sio Kama sehemu ya maisha yako kiasi kwamba usipo zingatia..
Utakufa,utadharaulika,utachekwa,utaaibika
Amka mtanzania wanao kuta Wala na kuku dhulumu na kukuibia wanatumia mpila Kama njia ya kuku fanya usahau maovu wanayo kufanyia
Mwisho nikuulize
Je! Usha wai jiuliza kwanini Mama yako huwa zawadia wale wachezaji wa mpila?
Kama hujui anzia hapo uta vumbua mengi
Mungu walehemu vijana wa kitanzania
Naona kiswahili hapa TANZANIA, kinaelekea kututupa mkono, hasa kwenye idara hiiKichwa cha hui Uzi nikisisoma kwa kurudia mara kibao tangu jana hatimaye nimekielewa dakika 20 zilizopita kwa Masada wa watu wa marekni.
Umeona akili Yako ilivyo ya Mavi kwahiyo kama betting inaniingizia hela nisibet nije nilieliea na na njaa kama wewe hapa mda huu fanya kazi mbuzi we hujaja na mtu duniani punguza ushauri kwenye maisha ya watuSiwezi bishana namtu anayue tegemea kubeti ili kuendesha maisha ya familia
So sita ludishia tusi juu ya tusi na istoshe wewe ni mgonjwa wangu namimi ndiye doctor wa kuku tibu ugonjwa wako wa ubongo ulio tawaliwa na kubeti