jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Kamua ili kupoteza ushahidi,na inaonekana Dada wa kazi na mwizi waliku wanajuwana!!Si angechukua tu pesa amwache hata amemfungia mlango kwa nje.
Ila mwezi atakuwa family member
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamua ili kupoteza ushahidi,na inaonekana Dada wa kazi na mwizi waliku wanajuwana!!Si angechukua tu pesa amwache hata amemfungia mlango kwa nje.
Ila mwezi atakuwa family member
Cheka sana,ngoja siku upate kesi ya Jinai ndiyo utajua kumbe ndani ya Jeshi la Police kuna uchunguzi wa ki science na unatambulika Mahakamani!![emoji1787][emoji23][emoji28]
Niacheni nicheke mie
Matukio ya bongo watu wengine wanapigwa nondo na kuuawa hata hawajuani...Kamua ili kupoteza ushahidi,na inaonekana Dada wa kazi na mwizi waliku wanajuwana!!
"Kama Dada alikuwa hajui kuhusu hizo hela basi humo ndani wamezungukana"Hela zilikuwa za nani?? Kama za maboss dada aliweka sawaa ila kama dada alikuwa hajui kuhusu hizo hela bhasi humo ndani wamezungukanaa
TZ tunahitaji sana wataalam wa tiba za akili, ebu shangaa inshu ya huzuni kama hii kuna lijitu linakuja kwa kejeli na kicheko [emoji57]Cheka sana,ngoja siku upate kesi ya Jinai ndiyo utajua kumbe ndani ya Jeshi la Police kuna uchunguzi wa ki science na unatambulika Mahakamani!!
Anamjua vema hivyo angebanwa angemtajaSi angechukua tu pesa amwache hata amemfungia mlango kwa nje.
Ila mwezi atakuwa family member
Huyo kijana alijuaje kuna balb mbovu? Atakuwa alikuwa anamazoea, alimuua kuficha kutambulika kirahisi, inawezekama Dada alipewa mchongo akatolea nje akaona amalizane naeSi angechukua tu pesa amwache hata amemfungia mlango kwa nje.
Ila mwezi atakuwa family member
Hii walifanyaga hostel kwangu 😅😅😅😅 nililiaga sana khaaaUshawahi kuibiwa wakati hamna mtu ndani ya nyumba? Ukiingia chumbani utakuta nguo zote chini,godoro limefunuliwa hadi foronya,masanduku yote wametoa kila kitu yote hio wanatafuta hela(hawajui umeacha hela ndani au la wanabahatisha).
Inawezekana muuaji alishakuwa na mazoea na huyo binti walitongozana na hatimaye kupata siri za nyumbani na hatimaye kupanga shambulio.Mwizi alikuwa na insider information.... inawezekana vipi ajue hiyo nyumba ina hela?
Ni kweli kabisa, lazima wasachi kwanza. Wakikosa pesa ndio huchukua vilivyopo.Ushawahi kuibiwa wakati hamna mtu ndani ya nyumba? Ukiingia chumbani utakuta nguo zote chini,godoro limefunuliwa hadi foronya,masanduku yote wametoa kila kitu yote hio wanatafuta hela(hawajui umeacha hela ndani au la wanabahatisha).
Ninapokaa ni nyumba ya 7 kutoka kwetu dada wa kazi alikuwa na mahusiano apo mwili wake ulikutwa uchi mtuhumiwa alisema kuwa walipomlz tendo alimuomb aibe dada akakataa akaamua amueAsee wadada wa kazi wamekuwa victim sana wa ukatili majumbani. Sema na wao huwa hawana umakini na wakieleweshwa huwa hawasikii. Unamwambia dada ukiwa ndani funga geti na mlango wa kuingilia ndani kwa funguo ila walaaaa hajali Unafika home unapita getini hadi unaingia ndani hadi room kwake wala hana habari anafanya kustuka ....
Au huko mtaani ana kiboda boda chake au mhuni flani ukiwa haupo basi analetwa hadi home mazingira yanasomwa...mwisho wa siku matukio ya wizi au mauaji... Kwa hali hii jamani kweli watakuwa salama..?
Ni jirani lakini ni mwizi wa siku nyingi tu hapa mtaaniSi angechukua tu pesa amwache hata amemfungia mlango kwa nje.
Ila mwezi atakuwa family member