Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Siku ya ngapi ataachiwa mtapishana Naye hapo hapo mtaaniNi jirani lakini ni mwizi wa siku nyingi tu hapa mtaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ya ngapi ataachiwa mtapishana Naye hapo hapo mtaaniNi jirani lakini ni mwizi wa siku nyingi tu hapa mtaani
Awawez kumuachia ndugu wa dada wa kaz mmoja wao ni mwanajeshiSiku ya ngapi ataachiwa mtapishana Naye hapo hapo mtaani
inavyoonesha mtu ukishatekeleza tendo la kuua tu, kuna akili Mungu anakuondolea. kweli unaficha mwili Store unafunika funika na vifaa vya store kwa kujua hautoonekana.!Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limemkamata na linamshikilia Selemani Haruna maarufu Kwata (24), Mkazi wa Kimara Temboni mtaa wa Amani, kwa tuhuma za kumuua Editha Charles (22) Mkerewe, Binti wa kazi za ndani na kuuficha mwili huo katika stoo ya vifaa vya ujenzi katika nyumba ya Agatha Stanslaus.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya DSM, Jumanne Muliro amesema “Uchunguzi wa awali umeonesha Mtuhumiwa tarehe 06/07/2022 asubuhi alifika kwenye nyumba aliyokuwa anayoishi Binti huyo wa kazi akijifanya fundi wa umeme na kwamba alitakiwa kuweka Balbu, alipoingia alimshambulia kwa kitu chenye ncha kali Binti huyo na kumuua halafu akavunja chumba cha mwenye nyumba na kuiba Tsh 1,800,000 na kutoweka”
“Polisi kwa Kutumia Watalaamu wake wa uchunguzi wa kisayansi na vyanzo vingine vya kiuchunguzi walibaini Mtuhumiwa huyo kuwa aliingia kwenye nyumba hiyo na kukaa kwa masaa kadhaa na kutoka, baada ya kumkamata na kumhoji kwa kina alikiri kumuua Binti huyo, kuvunja mlango wa chumba na kuiba pesa Tsh 1,800,000 na mwili wa marehemu aliuficha kwenye stoo ya nyumba hiyo huku akiwa ameufunika na vifaa mbalimbali vya ujenzi ili usionekane”
“Aliweza pia kuonesha kiasi cha pesa alizoziiba eneo hilo na pesa nyingine alidai mara baada ya tukio siku iliyofuata alinunua vitu mbalimbali zikiwemo simu mpya, viatu vya mpira pea 2, na begi la mgongoni lenye nguo mbalimbali mpya ambavyo navyo vimepatikana, kitendo alichofanya Mtuhumiwa ni cha ukatili ulipita kiasi, uchunguzi wa shauri hili unakamilishwa na atafikishwa katika mifumo ya kisheria ikiwemo Mahakamani haraka”
Thou familia yao inawanga na wanatoa vitisho😂Siku ya ngapi ataachiwa mtapishana Naye hapo hapo mtaani
Uwiiii jamani weeeeNinapokaa ni nyumba ya 7 kutoka kwetu dada wa kazi alikuwa na mahusiano apo mwili wake ulikutwa uchi mtuhumiwa alisema kuwa walipomlz tendo alimuomb aibe dada akakataa akaamua amue
Una nyodo sanaUmeona eeh
Ukivielekeza tayari midomo itavutwa siku nzima au mwezi ukiisha tu akipata chake utaskia dada me nataka niende nyumbani...
Woiii wakwendree
Uishi kwangu nikuogope hata kukuelekeza kitu?
Nadhani wewe hauishi Tanzania. Hivyo wewe si jitu. 🤣🤣Tanzania hakuna watu Kuna mijitu
Nyumba mnakaa wawili tu mama mwenye nyumba anaondok sa 11 anarud sa4usiku nan angetuhumiw kuiba kama sio yeye apo tu hyo mama alijua dada wa kaz katoroka alijua na yeye alipew hela maan tokea hyo tar 6 hyo mtuhumiwa kukamatwa akusema kama ameua maan jirani alimuona kaingia so alipouliza walimuambia walimuona flan kaingia mpaka harufu iposikika ndan jumapili ndo akapigwa kipigo aeleze mkasa mzima.Uwiiii jamani weeee
Sasa mbona Ana akili ndogo huyo??
Unampa pole dada wakati ameshakufa, serious?!Dah pole sana dada na familia yake.
Watu humu tunaomboleza kuondokewa kikatili kwa beki tatu wewe unaomba uachwe ucheke.🤣😂😅
Niacheni nicheke mie
Angemuacha hai kesi ingekuwa ya dada wa kazi cha moto angekiona.Si angechukua tu pesa amwache hata amemfungia mlango kwa nje.
Ila mwezi atakuwa family member
Mimi watasikitika sana baada ya hiyo kazi... maana sikai kabisa na pesa ndaniUshawahi kuibiwa wakati hamna mtu ndani ya nyumba? Ukiingia chumbani utakuta nguo zote chini,godoro limefunuliwa hadi foronya,masanduku yote wametoa kila kitu yote hio wanatafuta hela(hawajui umeacha hela ndani au la wanabahatisha).
Duh so wamegundua ameshaozaaaNyumba mnakaa wawili tu mama mwenye nyumba anaondok sa 11 anarud sa4usiku nan angetuhumiw kuiba kama sio yeye apo tu hyo mama alijua dada wa kaz katoroka alijua na yeye alipew hela maan tokea hyo tar 6 hyo mtuhumiwa kukamatwa akusema kama ameua maan jirani alimuona kaingia so alipouliza walimuambia walimuona flan kaingia mpaka harufu iposikika ndan jumapili ndo akapigwa kipigo aeleze mkasa mzima.
Una nyodo sana
Yeah mtu kafa since jumatano afu alichomwa kisu inasikitisha sana ata wazaz wake inabidi waje dar maan mwili hautamanikiDuh so wamegundua ameshaozaaa