cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaiba pesa ili akanunue viatu vya mpira na begi la mgongoni biowang......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaiba pesa ili akanunue viatu vya mpira na begi la mgongoni biowang......
Sasa km n hostel, si room mate hao.Hii walifanyaga hostel kwangu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nililiaga sana khaaa
wezi wanarudisha maendeleo nyuma jamani [emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Sasa angemziba mdomo na nguo, angemfunga kamba miguu na mikono, ili asipige kelele na angemfungia kwa ndani, yeye angeiba hela na kutoka.Ninapokaa ni nyumba ya 7 kutoka kwetu dada wa kazi alikuwa na mahusiano apo mwili wake ulikutwa uchi mtuhumiwa alisema kuwa walipomlz tendo alimuomb aibe dada akakataa akaamua amue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi machozi, sasa jamaa analala kwa kochi km kwake?? Tena tumbo wazi??Umenikumbusha mwaka flan nyuma nilimtembelea Dada yangu na yeye hapo kwake alikuwa anaishi na mfanyakazi tu Mumewe alikuwa kasafiri nje ya nchi, na mimi nilienda kwa kustukiza tu wala sikufanya appointment. Nilicho kikuta Geti kubwa lilikuwa wazi kwa maana lilirudishiwa tu wala halikufungwa na komeo au funguo geti la kuingia ndani lilikuwa wazi na mda huo yalikuwa majira ya saa 6 mchana nilipoingia mpka seblen nikamkuta jamaa kajilaza kwenye makochi yupo tumbo wazi [emoji3][emoji3] sasa ktk kutafakari huyu ni nani nikawa natamfuta yule dada wa kazi kumwita anaitikia akiwa jikoni kusogea mpaka jikoni alipo namkuta anakaanga mayai sasa mwenyewe akaanza kujistukia kwa aibu na hofu mara ashike kikombe aache mara ajiongeleshe vp umegonga sana mlango[emoji1787][emoji1787] narudi tena sebleni yule jamaa sijamkuta alishakimbia. Kumbe yule jamaa alikuwa ni bodaboda na alikuwa mpenzi wake na ilikuwa ni kawaida kwao Sister akiondoka kwenda kazin yule jamaa uingia pale nyumbani kama kwake na ata yale mayai alikuwa anamkaangia jamaa[emoji3][emoji3]. Wafanyakazi wa ndani ni wa kuishi nao kwa makini jamani wengi wao vitendo wanavyofanya majumbani wakiwa peke yao ni vya hatari ambavyo vinaweza kuleta madhara makubwa. Wezi majambazi sometimes upata michoro ya nyumba na kujua kilichomo ndani kupitia wafanyakazi wa ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila ukiuliza mbona mayai yanaisha haraka unaambiwa hata sijui kumbe boda nae ana share yake hapo.
Kaaz kweli kweli
Na mbaya zaidi watu wana mentality kua wadada hua wananyanyaswa ukimkaripia tu anazunguka nyuma anaanza kulia mara asile chakula siku nzima urudi home na mastress tena uanze bembeleza mdada. Mimi nimefika hatua sitaki ujinga nao tena huezi kukaa vyema kwangu niekee nauli yangu mezani amsha kwenuUmeona eeh
Ukivielekeza tayari midomo itavutwa siku nzima au mwezi ukiisha tu akipata chake utaskia dada me nataka niende nyumbani.
Woiii wakwendree
Uishi kwangu nikuogope hata kukuelekeza kitu?
Polisi kwa Kutumia Watalaamu wake wa uchunguzi wa kisayansi na vyanzo vingine vya kiuchunguzi walibaini Mtuhumiwa huyo kuwa aliingia kwenye nyumba hiyo na kukaa kwa masaa kadhaa na kutoka, baada ya kumkamata na kumhoji kwa kina alikiri kumuua Binti huyo, kuvunja mlango wa chumba na kuiba pesa Tsh 1,800,000 na mwili wa marehemu aliuficha kwenye stoo ya nyumba hiyo huku akiwa ameufunika na vifaa mbalimbali vya ujenzi ili usionekane”
Jeshi letu lapolisi liko vizuri Sana kwenye kufuatilia watuhumiw
Hili lilishawahi kunitokea. Binti alikuwa anamleta bwana wake dereva wa boda boda ndani kila siku. Ilikuwa anakuja asubuhi anapikiwa chai, mchana anakula lunch na mida ya saa 10 anakuja kuchukuwa container ya supper.Au huko mtaani ana kiboda boda chake au mhuni flani ukiwa haupo basi analetwa hadi home mazingira yanasomwa...mwisho wa siku matukio ya wizi au mauaji... Kwa hali hii jamani kweli watakuwa salama..?
Asee sinaga huo umama wa kubembeza mdadaNa mbaya zaidi watu wana mentality kua wadada hua wananyanyaswa ukimkaripia tu anazunguka nyuma anaanza kulia mara asile chakula siku nzima urudi home na mastress tena uanze bembeleza mdada. Mimi nimefika hatua sitaki ujinga nao tena huezi kukaa vyema kwangu niekee nauli yangu mezani amsha kwenu
Ana kosa sana unazinije na mtu umuingize kwenye nyumba ya mtu ? Si umesikia huyo mkaka ni kibwana chakeInaitwa Scientific Investigation...ni source kuu ys ushahidi mahakamani
...Nawaza huyo atakayepewa Kazi ya kuwapia simu Wazazi wa Marehemu na kuwaamba Mtoto Wenu amefariki! Inasikitisha...Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limemkamata na linamshikilia Selemani Haruna maarufu Kwata (24), Mkazi wa Kimara Temboni mtaa wa Amani, kwa tuhuma za kumuua Editha Charles (22) Mkerewe, Binti wa kazi za ndani na kuuficha mwili huo katika stoo ya vifaa vya ujenzi katika nyumba ya Agatha Stanslaus.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya DSM, Jumanne Muliro amesema “Uchunguzi wa awali umeonesha Mtuhumiwa tarehe 06/07/2022 asubuhi alifika kwenye nyumba aliyokuwa anayoishi Binti huyo wa kazi akijifanya fundi wa umeme na kwamba alitakiwa kuweka Balbu, alipoingia alimshambulia kwa kitu chenye ncha kali Binti huyo na kumuua halafu akavunja chumba cha mwenye nyumba na kuiba Tsh 1,800,000 na kutoweka”
“Polisi kwa Kutumia Watalaamu wake wa uchunguzi wa kisayansi na vyanzo vingine vya kiuchunguzi walibaini Mtuhumiwa huyo kuwa aliingia kwenye nyumba hiyo na kukaa kwa masaa kadhaa na kutoka, baada ya kumkamata na kumhoji kwa kina alikiri kumuua Binti huyo, kuvunja mlango wa chumba na kuiba pesa Tsh 1,800,000 na mwili wa marehemu aliuficha kwenye stoo ya nyumba hiyo huku akiwa ameufunika na vifaa mbalimbali vya ujenzi ili usionekane”
“Aliweza pia kuonesha kiasi cha pesa alizoziiba eneo hilo na pesa nyingine alidai mara baada ya tukio siku iliyofuata alinunua vitu mbalimbali zikiwemo simu mpya, viatu vya mpira pea 2, na begi la mgongoni lenye nguo mbalimbali mpya ambavyo navyo vimepatikana, kitendo alichofanya Mtuhumiwa ni cha ukatili ulipita kiasi, uchunguzi wa shauri hili unakamilishwa na atafikishwa katika mifumo ya kisheria ikiwemo Mahakamani haraka”
[emoji1787][emoji23][emoji28]
Niacheni nicheke mie
Ukute ni Mchepuko wa huyo muuali na Nadi alimpa Taarifa kwamba ndani Kuna Hela!Mwizi alikuwa na insider information.... inawezekana vipi ajue hiyo nyumba ina hela?
Umenikumbusha mwaka flan nyuma nilimtembelea Dada yangu na yeye hapo kwake alikuwa anaishi na mfanyakazi tu Mumewe alikuwa kasafiri nje ya nchi, na mimi nilienda kwa kustukiza tu wala sikufanya appointment. Nilicho kikuta Geti kubwa lilikuwa wazi kwa maana lilirudishiwa tu wala halikufungwa na komeo au funguo geti la kuingia ndani lilikuwa wazi na mda huo yalikuwa majira ya saa 6 mchana nilipoingia mpka seblen nikamkuta jamaa kajilaza kwenye makochi yupo tumbo wazi [emoji3][emoji3] sasa ktk kutafakari huyu ni nani nikawa natamfuta yule dada wa kazi kumwita anaitikia akiwa jikoni kusogea mpaka jikoni alipo namkuta anakaanga mayai sasa mwenyewe akaanza kujistukia kwa aibu na hofu mara ashike kikombe aache mara ajiongeleshe vp umegonga sana mlango[emoji1787][emoji1787] narudi tena sebleni yule jamaa sijamkuta alishakimbia. Kumbe yule jamaa alikuwa ni bodaboda na alikuwa mpenzi wake na ilikuwa ni kawaida kwao Sister akiondoka kwenda kazin yule jamaa uingia pale nyumbani kama kwake na ata yale mayai alikuwa anamkaangia jamaa[emoji3][emoji3]. Wafanyakazi wa ndani ni wa kuishi nao kwa makini jamani wengi wao vitendo wanavyofanya majumbani wakiwa peke yao ni vya hatari ambavyo vinaweza kuleta madhara makubwa. Wezi majambazi sometimes upata michoro ya nyumba na kujua kilichomo ndani kupitia wafanyakazi wa ndani.
Kila ukiuliza mbona mayai yanaisha haraka unaambiwa hata sijui kumbe boda nae ana share yake hapo.
Kaaz kweli kweli
🤣🤣🤣🤣Kuna mkaka na mkewe waliweka bulb za taa zenye camera sebulen hawakumuambia mdada wa kzi
Siku moja yupo kazin akaona aangalie kwa simu kinachoendelea home [emoji23][emoji23][emoji23] akaona kijana wa boda kaingia ndani kafika sebulen kavua tisheti kabaki kifua wazi miguu kaweka juu ya meza
Dada wa kazi anaanda supu kamletea jamaa akala halaf akamaliza wakaendelea kupiga stori
Akampigia mkewe wakaenda kufika mwanaume akaruka geti akaingia ndani walishtuka wakampeleka police na dada wakamtimua
Wasichana nao hutamani kuwa na maisha hayo sasa wanaona muda unaenda inabidi wafanye siri hivyo hivyo na wadada wa kzi na boda wanapendana haooo
Boda na housegirl huwezi watenganisha🤣🤣🤣🤣
Na unaweza kuta pia hawakuwa na mahusiano, Marehemu pengine alibakwa au ilishindikana kubakwa.Ninapokaa ni nyumba ya 7 kutoka kwetu dada wa kazi alikuwa na mahusiano apo mwili wake ulikutwa uchi mtuhumiwa alisema kuwa walipomlz tendo alimuomb aibe dada akakataa akaamua amue