Amuua binti wa kazi kisha kuvunja chumba na kuiba pesa

Dr Myles Monroe kwenye moja speach zake about purpose of life alisema usipojua your purpose of living ndio maana kijana Ako tayari kuua ili "anunue Nike shoes"
 
inavyoonesha mtu ukishatekeleza tendo la kuua tu, kuna akili Mungu anakuondolea. kweli unaficha mwili Store unafunika funika na vifaa vya store kwa kujua hautoonekana.!
 
Ninapokaa ni nyumba ya 7 kutoka kwetu dada wa kazi alikuwa na mahusiano apo mwili wake ulikutwa uchi mtuhumiwa alisema kuwa walipomlz tendo alimuomb aibe dada akakataa akaamua amue
Uwiiii jamani weeee
Sasa mbona Ana akili ndogo huyo??
 
Umeona eeh
Ukivielekeza tayari midomo itavutwa siku nzima au mwezi ukiisha tu akipata chake utaskia dada me nataka niende nyumbani...
Woiii wakwendree
Uishi kwangu nikuogope hata kukuelekeza kitu?
Una nyodo sana
 
Uwiiii jamani weeee
Sasa mbona Ana akili ndogo huyo??
Nyumba mnakaa wawili tu mama mwenye nyumba anaondok sa 11 anarud sa4usiku nan angetuhumiw kuiba kama sio yeye apo tu hyo mama alijua dada wa kaz katoroka alijua na yeye alipew hela maan tokea hyo tar 6 hyo mtuhumiwa kukamatwa akusema kama ameua maan jirani alimuona kaingia so alipouliza walimuambia walimuona flan kaingia mpaka harufu iposikika ndan jumapili ndo akapigwa kipigo aeleze mkasa mzima.
 
Huyo jamaa afungwe apewe kazi ngumu na kila siku ainamishwe.
Wangese hao wanaharibu image ya nchi.
 
Muuaji inaonesha alikuwa anaijua hiyo nyumba vizuri, bahati mbaya madada wa kazi hata uwaelekeze vipi kuhusu wageni wasioelekezwa wasiwape ruksa ndio hawaelewi...
 
Ushawahi kuibiwa wakati hamna mtu ndani ya nyumba? Ukiingia chumbani utakuta nguo zote chini,godoro limefunuliwa hadi foronya,masanduku yote wametoa kila kitu yote hio wanatafuta hela(hawajui umeacha hela ndani au la wanabahatisha).
Mimi watasikitika sana baada ya hiyo kazi... maana sikai kabisa na pesa ndani
 
Duh so wamegundua ameshaozaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…