Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Freddie Matuja,
Mkuu Freddie Matuja
, naunga mkono hoja yako, kuwa waliomshambulia Tundu Lissu ni watu wasiojulikana na sio vijana wetu wa kazi, wasinge fanya kazi mbovu, chafu na ya kiwango cha chini namna ile kama amateurs na sio ma pro, unless kwa sasa, hivi ndio viwango vyao!.
Kanisome hapa kwa makini, niyazungumzia makundi mawili ya wasiojulikana na 'wasiojulikana' na kuzungumzia scenario 3 za the motive behind shambulio la Lissu
1. Threat to National Security done by amateurs
2. Party Politics done by inside job
3. Devide and Rule done by mabeberu
www.jamiiforums.com
P
Mkuu Freddie Matuja
, naunga mkono hoja yako, kuwa waliomshambulia Tundu Lissu ni watu wasiojulikana na sio vijana wetu wa kazi, wasinge fanya kazi mbovu, chafu na ya kiwango cha chini namna ile kama amateurs na sio ma pro, unless kwa sasa, hivi ndio viwango vyao!.
Kanisome hapa kwa makini, niyazungumzia makundi mawili ya wasiojulikana na 'wasiojulikana' na kuzungumzia scenario 3 za the motive behind shambulio la Lissu
1. Threat to National Security done by amateurs
2. Party Politics done by inside job
3. Devide and Rule done by mabeberu
Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
Wanabodi, Tangu kutokea kwa shambulizi kwa Mhe.Tundu Lissu, ambalo mpaka sasa linaelezwa kufanywa na watu wasiojulikana, kumeibuka shauku kubwa ya watu kutaka kuwabaini hawa watu wanaoitwa ni watu wasiojulikana, ni kina nani?, wanatumwa na nani? na lengo lao ni nini?, kunakopelekea kujengwa kwa...