Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Kwendraaaa 25mil ni kidogo, mimi bado niko fresh sijazaa huwezi nipanua tumbo kw pesa ndogo hivyo.
Ahaaaaaa ati mtoto akizaliwa ndo mwisho kumuona baada ya mwaka? Hakuna mzazi wa vile.
Ahaaaaaa ati kipindi cha mimba awe anaishi kwa baba watoto? Ahaa watafanya tu labda baba huyo kama hana nguvu za kiume.wendo ndo sababu anataka kupandikiza.

Ni kwakuwa ni chai hakuna mbongo wa kukubali kuchukuliwa mtoto.

All the the best dadazi.
 
Bora akili kubwa umeona
Wale mademu oya oya wataandamana pm
 
Umenikumbusha tamthilia ya kifikipino, 'her mothers daugheter'
Huyo mdada akizaa mapacha inakuwaje?
Asante kwa swali zuri,
Mdada akizaa mapacha gharama za malezi zitakua mara mbili, yani kwa siku mtoto mmoja ni 50,000 wakiwa wawili ni 100,000 kwa siku, itakuwa kwa mda wa mwaka mmoja.
Pia wakiwa mapacha atapewa ziada ya milioni 10.
 
Hatar
 
Haya wadada changamkieni mtaji huo.
Nina manzi ni kisu hasa, anafaa kwa vigezo vyote na ana njaa toka amemaliza chuo dira inasoma Zimbabwe..lakini nikimpa hii fursa atanichamba, kisha baadaye ataniomba nimsaidie elfu 20 ya karibu.
 
kwaiyo mwenyewe 25m umeona ni hela kuubwa dah.

ungekuwa una mtoto usingekuja kuandika utumbo wako huu

nalog out
 
Hakuna wa kumfata piem hata 10 hawezi zipata. Hakuna wa kukodisha tumbo lake kwa muda.
Seriously?😮
Hata wale warembo wa maeneo flani ya biashara?maana wengine wamejikatia tamaa wako tayari kwa lolote, usiniambie hawajafika PM ku negotiate hata chini ya hapo au labda hawapo jf
 
Ingekuwa milioni 500 ningejilipua...
Kwa hali za watanzania walio wengi kiasi kilichotangazwa ni kikubwa tu kumbuka hapo ukijumlisha na bonus zingine zote inakuja m 50+.. mabinti wanafanya abortion kila kukicha, wanatupa vichanga jalalani, wanatekeleza watoto vijijini uko kwa bibi zao wao wapo mjini wanakula ujana, mabinti wadogo tu wanafumuliwa malinda kwa kupewa 10k tu kipi bora, uzae na umtoe mtoto wako kwa iyo pesa au ufumuliwe malinda kwa ujira wa 10k?, nina mshkaji wangu mzazi mwenzake kamwachia mtoto tangu akiwa na miaka miwili mpaka sasa ana miaka kumi demu hajawahi hata kupiga simu kuulizia hali ya mtoto hivi wanawake kama hao watakataa iyo milioni 50+.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…