Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

We huwajui Watz wewe
Wanawake k zao buku tu ndo wakatae mil 25
Tofautisha kulalwa na wewe unapatamo utamu
Na hiyo kuzaa..
hehehe weee unaongea tu.

Kuzaa afu wakubebee mtoto
Unabaki na scars
Dah hata siwezi fanya imagination.

Hapo usijaribu kufananisha na anaezaa kisha mtoto anakuwa bahati mbaya.
 
Jamaa anataka demu akijifungua baada ya mwaka anachukua mtoto wake kuanzia hapo msijuane tena
 
Huyu kumbuka anataka watt sita watatolewa na sio mmoja ujue
Ndugu acha kupotosha, kwenye tangazo sijaandika nataka watoto sita.
Nimetumia neno mtoto/watoto sababu anaweza kuzaa mtoto mmoja au watoto wawili mapacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…