Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

ndo kwa mahar ya 5M jaman duu
Hiyo mahari ya kuropoka. Unakuta mzee wa huyo binti ana ushamba mwingi. Wazee kama hao unamfuata na laki tano akiikataa, mnarudi mara ya pili na laki tano na nusu, alichomoa mnakuja na laki sita. Akikataa unamtia mimba binti maisha yaendelee.

Sasa kama anajua kuna kitu kinaitwa muda atajifunza kwa gharama kuwa ni lazima amuache binti yake aendelee na maisha yake.
 
Wewe pimbi kama huna Hela achana na watoto wakishua katafute utakawo walipia laki mbili
Aliekwambia wa kishua wanalipiwa mahali kubwa nani?? Dogo mbona huna akili aisee.

Mahali wanapanga wazazi/mtoto waala sio kulingana na kipato chao bali kila mahali kulingana na mila zake. Ndio maana nikakwambia inabidi ujue maana ya mahali kwanza sio kupayuka tu.
 
Mahari ni haki ya mwanamke maan yeye ndo anaolewa anatakiwa ataje kias anachotaka kutok kw mumewe akisem 500

ila mimi binafs sitataka mahar wala kutaja mahar hiyo nawaachia wenyew wapendanao wajikadirie na walipane
Hizo pia ni mila za kiarabu. Mila za kiafrika especially kibantu ni wazazi ndio wanasema vitu wanataka kama tendo la kuomba ridhaa yao na huwa kawaida wanatazama na uwezo wa familia ya kijana.
 
Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Hizi zote ni tamaduni. Kwa upande wa wazungu huwa hakuna mahari, ila engagement ring ina formular yake ambayo inategemea na kipato cha binti.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiangalia vizuri ni kwamba mifumo ya haya mambo imekaa kumuumiza muoaji tu

Sio kumuumiza muoaji, huo ndio uanaume
Mtakula kwa jasho, sio Kula ugali tuu Hata hayo mengine😂😂😂😂
 
We mzee,ata

We mzee hata km mahari ni kipimo cha kuweza kuyamudu majukumu ya familia sio umwambie M6,afu hao tayar wanaishi pamoja,wazaz ifike wakati wawe wanaelewa km binti anaolewa na mwanaume
ambae wanaishi wote tena muda mrefu,mahali inabid iwe kidg tu ya kutoa kibali na sio hayo mamilioni

Kwa hiyo umeona milioni 6 ni pesa nyingi eeeh😅😅😅😅
Hebu ipeleke kwenye ng'ombe wa maziwa uone utapata wangapi🙄
 
Wewe milioni 6 hio si akafungue ofisi mahali,unatoa pesa yote hio mwanamke sio bikira na ni aibu,halafu ndio hawa hawa unabambikiwa mtoto

Umeona milioni 6 pesa nyingi sana eh😅😅😅😅
Pole mwaya
 
Dada acha kuandika uonekane una upeo mpana wa kutazama mambo ile Hali unatetea mashudu tupu!

Mhusika hakukataa mahari anachokipinga ni kiasi anachopangiwa, yaan anapangiwa kiasi hicho Kwa sababu gani?

Kwa mila nlizokulia mimi binafsi mahari hua inakua approximated kistaarabu sana unaweza kuta unatoa dume wawili na kiasi flani Cha fedha

Niandike ili nionekane halafu iweje🙄🙄🙄 kuna malipo ya kuandika hapa

Mtoa maada aache kumsemea maneno machafu binti wa watu na kulialia atafute pesa. Huko kukosa bikra anakosemea ndio kakumbuka baada ya kuambiwa gharama za mahari!!!?
Selfish
 
Wewe kama mwanamke utapokea mahari ili iweje au ufanye nini nayo, ila kama umetokea familia maskini mahari kwako ni mtaji vinginevyo jikomboe kiuchumu mambo madogo kama haya utayaacha

Mahari sio mtaji
Mahari ni shukrani ya heshma
 
Hizi zote ni tamaduni. Kwa upande wa wazungu huwa hakuna mahari, ila engagement ring ina formular yake ambayo inategemea na kipato cha binti.

Ndio maana sisi sio wazungu
Na ndio maana wazungu wanaotuoa wanaulizia taratibu na wanalipa mahari
 
Hizi ndoa za mahari kubwa na sherehe kubwa mara nyingi m majanga,


I still thank my wife, maana alipambana kwao mpaka mahari ikawa 500,000.

Mwambie mke what you can afford, ni kazi yake na familia yake kumsupport kumake sure ndo inakuwa smooth kabisa.
 
Huyu bint inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.

Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi , Sinunui.

Sasa kwenye mahari ndo ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa tsh Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.

Ilileta shida. Mimi nlisisitiza kuwa baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndo huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndo ukweli na baba yake ana akili sana tu.

Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil 6.hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4

Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamwona dhahabu.

Basi nikamwambia its ok akaolewe na hao wanaomwona dhahabu. Akanichunia siku 3. nikapanga nguo zake akija azichukue aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.

SITOI mahari hilo nimekataa. Mtu nimemkuta amesha chakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo yaani why nikalipe pesa kwao wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.

Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
wewe tafuta hilo hela bn,acha hoja😆😆😆😆😆
 
Nenda kwao kwanza wazazi wakuone halafu mpige mimba watashusha bei. Ila mkakati wako wa ndoa ni wa kibabe sijui vijana wa siku hizi hamfundishwi maana ya kuwa mwanaume
 
Kumsomesha ni wajibu wa mzazi, kwahiyo akimsomesha ndo aje alipwe kupitia mahali??

Nyie ndo wazazi wa hovyo mnaosomesha mtoto ili sio aje kua na maisha mazuri baadae bali aje kuwasaidia nyie na umaskini wenu mlioshindwa kujikwamua. Mnamuweka mtoto kama asset, asome aje awape hela nyie kindezi tu.
Ni akili za kipuuzi sana. Sisi tunaamini mtu anasomeshwa apate ufahamu mkubwa. Hawa wazazi wanaotaka waje kulipwa ndo kuendeleza mawazo ya kimaskini. Kusomesha ni wajibu wa mzazi. Na asitegemee aje kulipwa. Elimu ni ya mtoto wake si yangu. Why nije kuilipia?
 
Back
Top Bottom