My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,363
- 2,161
Wazazi sijui wanajikutaga nani,yaan kuzaa huwa wanaona ni kaz sana,km iyo dingii ye kaz yake kukojoa tu na km kusomesha ni jukumu lake,asa vip kuhamishia gharama kwa mwambaMahari anataja baba kwani anaolewa yeye? Mfyuuuuu,
Naenda kugalagazwa mie halafu mahari wale wengine,[emoji23]