Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

We mzee,ata
Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
We mzee hata km mahari ni kipimo cha kuweza kuyamudu majukumu ya familia sio umwambie M6,afu hao tayar wanaishi pamoja,wazaz ifike wakati wawe wanaelewa km binti anaolewa na mwanaume
ambae wanaishi wote tena muda mrefu,mahali inabid iwe kidg tu ya kutoa kibali na sio hayo mamilioni
 
Unachotetea ni nini sasa?? Mbona hujielewi we dogo.
Unataka mzazi arudishe gharama zake au dada zako walipiwe mahali kubwa? Kwahiyo hiyo 8M ndo gharama za kumlea huyo binti mpaka anaolewa??

Mahali sio kurudisha pesa uliyoitumia kwa binti yako, elewa kwanza maana yake sio unaropoka tu. Madogo wa 2000 shida sana nyie.
Wewe pimbi kama huna Hela achana na watoto wakishua katafute utakawo walipia laki mbili
 
Achana nao hao mkuu, njoo nikupe dada yangu bure kabisa hata zawadi hatutaki maana anakunywa gongo, anakula ugoro, kuberi, anavuta bange, shisha na tumbaku ambayo haija chakatwa na anawatoto wanne mkuu tunakupatia wote bureee....😊
At least yupo real. Kama atanifaa nitamchukua.
 
Wazungu hawatoi Mahari.
Na watu wote waliombele ya muda
Sisi ni waafrika sio wazungu. Kuna kitu kinaitwa tamaduni, ndani yake kuna mila na desturi. Mahari sio kitendo cha kupuuzwa kinabeba ujumbe mzito sana wa kuunganisha familia mbili, kutoa mahari ni tukio la heshima na adabu kwa ukoo wa mwanaume waliokulelea binti yao hadi kawa mkeo leo.

Mahari ingekuwa ni malipo ya kumnunua binti the bei ingekuwa ni juu sana zaidi ya hata bilioni maana utalipia kila dakika iliyotumika na mzazi katika kumlea na kumkuza binti yake.

Anyways, tujifunze maudhui na maana nyuma ya matendo yetu ya kijamii ili tuweze kulinda, kutunza na kuboresha mila na desturi zetu za kiafrika.

Wazungu ni watu tofauti sana na sisi, kuna mambo tunaingiliana ila si yote tena tunatofauti kubwa sana. Kuacha mila na desturi zetu kwa kisingizio cha kistaarabika ni dalili ya udhaifu na ulegelege wa kusimamia jamii yetu. Wanaume tunatakiwa kuwa mstari wa mbele katika kulinda mila na desturi no matter how hard jamii za magharibi itakinzana na kutuingilia.

Sisi ni waafrika na tunaijenga Africa kwa namna yetu. Dont be laid back brother.
 
Kubali kataa mkuu vipo vitu kwenye jamii hatuwezi kuviondoa kwa Sasa labda uishi miaka 100,000.

Usipolipa mahari ujue huyo sio mkeo na hao sio watoto wako.
Heshima kama Mwanaume,Mume kwenye hiyo jamii ya mkeo utakuwa huna.

Watoto ni kwako, serikari na Mungu ukisema si wa yeyote kwanini wewe unajitambulisha kama mtu wa Same?

Lipeni mahari hacheni hizi ngokowa,
nani aliyekwambia Wazungu hawalipi mahari?
Kama mimba nimempa mimi ni wangu. Haina discussion. Kama alipewa na kaka yake au baba yake basi watoto watakuwa wao.
 
Hili swala la mahari linapotoshwa, msemaji ni muolewaji, why baba aseme mahari yeye ndio unaemuoa, atasema kamlea, kamsomesha, je hicho kiasi ndio kinaendana na gharama zake, na je akishakupiga kiasi kirefu, ndio mmemalizana, isipigwe simu sijui mdogo wake kakwama ada, niongezee.

Mahari anataja muoelewaji, ni zawadi yake toka kwa mume.
Upo sahihi, ila madingi ya kigalatia wanakomaa wasikwambie mtu
 
Nashkuru BK niliitoa mimi na mahar 600k

Watu mnapitia makubw 5M na BK hujatoa wew hahah
 
Sisi ni waafrika sio wazungu. Kuna kitu kinaitwa tamaduni, ndani yake kuna mila na desturi. Mahari sio kitendo cha kupuuzwa kinabeba ujumbe mzito sana wa kuunganisha familia mbili, kutoa mahari ni tukio la heshima na adabu kwa ukoo wa mwanaume waliokulelea binti yao hadi kawa mkeo leo.

Mahari ingekuwa ni malipo ya kumnunua binti the bei ingekuwa ni juu sana zaidi ya hata bilioni maana utalipia kila dakika iliyotumika na mzazi katika kumlea na kumkuza binti yake.

Anyways, tujifunze maudhui na maana nyuma ya matendo yetu ya kijamii ili tuweze kulinda, kutunza na kuboresha mila na desturi zetu za kiafrika.

Wazungu ni watu tofauti sana na sisi, kuna mambo tunaingiliana ila si yote tena tunatofauti kubwa sana. Kuacha mila na desturi zetu kwa kisingizio cha kistaarabika ni dalili ya udhaifu na ulegelege wa kusimamia jamii yetu. Wanaume tunatakiwa kuwa mstari wa mbele katika kulinda mila na desturi no matter how hard jamii za magharibi itakinzana na kutuingilia.

Sisi ni waafrika na tunaijenga Africa kwa namna yetu. Dont be laid back brother.
ndo kwa mahar ya 5M jaman duu
 
Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Wewe milioni 6 hio si akafungue ofisi mahali,unatoa pesa yote hio mwanamke sio bikira na ni aibu,halafu ndio hawa hawa unabambikiwa mtoto
 
Mahari ni haki ya mwanamke maan yeye ndo anaolewa anatakiwa ataje kias anachotaka kutok kw mumewe akisem 500

ila mimi binafs sitataka mahar wala kutaja mahar hiyo nawaachia wenyew wapendanao wajikadirie na walipane
 
Ukweli mchungu mahali ni upumbavu, na ndio maana ukatili hashi kwa sababu mwanaume anapewa madalaka makubwa ya kutoa hiyo mimahali.

Tuige mfano wa mwenzetu wote umezaliwa na wote tumesomeshwa sioni sababu ya kuuziana binadamu
 
Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Dada acha kuandika uonekane una upeo mpana wa kutazama mambo ile Hali unatetea mashudu tupu!

Mhusika hakukataa mahari anachokipinga ni kiasi anachopangiwa, yaan anapangiwa kiasi hicho Kwa sababu gani?

Kwa mila nlizokulia mimi binafsi mahari hua inakua approximated kistaarabu sana unaweza kuta unatoa dume wawili na kiasi flani Cha fedha
 
Back
Top Bottom