Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Sisi ni waafrika sio wazungu. Kuna kitu kinaitwa tamaduni, ndani yake kuna mila na desturi. Mahari sio kitendo cha kupuuzwa kinabeba ujumbe mzito sana wa kuunganisha familia mbili, kutoa mahari ni tukio la heshima na adabu kwa ukoo wa mwanaume waliokulelea binti yao hadi kawa mkeo leo.

Mahari ingekuwa ni malipo ya kumnunua binti the bei ingekuwa ni juu sana zaidi ya hata bilioni maana utalipia kila dakika iliyotumika na mzazi katika kumlea na kumkuza binti yake.

Anyways, tujifunze maudhui na maana nyuma ya matendo yetu ya kijamii ili tuweze kulinda, kutunza na kuboresha mila na desturi zetu za kiafrika.

Wazungu ni watu tofauti sana na sisi, kuna mambo tunaingiliana ila si yote tena tunatofauti kubwa sana. Kuacha mila na desturi zetu kwa kisingizio cha kistaarabika ni dalili ya udhaifu na ulegelege wa kusimamia jamii yetu. Wanaume tunatakiwa kuwa mstari wa mbele katika kulinda mila na desturi no matter how hard jamii za magharibi itakinzana na kutuingilia.

Sisi ni waafrika na tunaijenga Africa kwa namna yetu. Dont be laid back brother.
Hata mimi sikubalian na kukopi tamaduni zote za wazungu lkn km tulipenda mavazi yao tukaamini yanatustaharabisha nadhan hata hili la mahari inabid tuachane nalo kabsa ni utaratibu wa ovyo kabsa?!
 
As a woman namuonea huruma huyo dada. Mahari kweli ni kubwa ila kuwa na mwanaume anakwambia kabisa nenda wakuoe sijui sitoi mahari aisee mimi nisingegeuka.

Ila mtoa mada, ni kwamba hutaki kabisa kutoa mahari hata ingekuwa laki? Umetisha [emoji23]
 
1685964594251.jpg
1685958714516.jpg
1685189211511.jpg
1684498708287.jpg
1674730599418.jpg
1685090137221.jpg
 
As a woman namuonea huruma huyo dada. Mahari kweli ni kubwa ila kuwa na mwanaume anakwambia kabisa nenda wakuoe sijui sitoi mahari aisee mimi nisingeuka.

Ila mtoa mada, ni kwamba hutaki kabisa kutoa mahari hata ingekuwa laki? Umetisha [emoji23]
kutotoa kabisa sio vzr inatakiw hata bas kidogo

Tumezoea mahar ku range 500k - 1M
 
Hakuna hiyo story bana..rafiki wa karibu kwao walihitaji 4.5M hapo ni nje ya mkaja sijui koti la babu blanket n.k ila upande wa mume waliomba kupunguziwa hadi ikatolewa 1.8M kila kitu humo humo [emoji28]

Mahari inazungumzika..unless mtu awe hamtaki huyo mke na haoni kama anafaa kupambaniwa.
bado kubwa mimi 700k nimefuta kila ki2 na bint nilimtoa BK mimi

na hapo sijatoa yote japo nilikua nawez toa yote ila kabila lao hutakiw utoe yote maan ukitoa yote wanaona kama umewadharau [emoji38]
 
Kaa na binti wa watu, nyumbani kwao hawakutambui / hawakujui halafu bahati mbaya paaa kafa magetoni kwako hapo hapo uone namna tumbo la kuhara linavyoweza kukubana.

Kuvimbiana ova kifutu hakukusaidii sana. Nenda ukweni kiungwana watakalokwambia una nafasi ya kujielezea kama mume mtarajiwa, mkishimdwana sio kesi kwamba unaenda kufungwa mahakamani.

Halafu hawa watoto wa kike ukiwa unamvimbia sana kila wakati ni sawa na kumuonea tu. Lazima ujue kuishi naye kwa akili vinginevyo unaachana nae mapema ili ajue anashika njia gani
Nitamwoa hata bomani akikubaliana nami. Hataki aende zake. Kufa atakufa tu iwe nimetoa mahari au sijatoa. Na atazikwa tu. Maamuzi anayo yeye. Mimi nimempa msimamo wangu
 
Huyu bint inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.

Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi , Sinunui.

Sasa kwenye mahari ndo ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa tsh Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.

Ilileta shida. Mimi nlisisitiza kuwa baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndo huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndo ukweli na baba yake ana akili sana tu.

Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil 6.hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4

Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamwona dhahabu.

Basi nikamwambia its ok akaolewe na hao wanaomwona dhahabu. Akanichunia siku 3. nikapanga nguo zake akija azichukue aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.

SITOI mahari hilo nimekataa. Mtu nimemkuta amesha chakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo yaani why nikalipe pesa kwao wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.

Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Huyu atakuwa mtani wangu mpare huyu. Bro mahari haiishagi lakin pia jitahd wakati mwingine umsikilize mkeo mkuu. Neno msaidizi ni zaid ya tunavyolichukulia. Kuwa karibu na mkeo na jitahd usikilize umbea wake wote ili uwe mtu wake wa kwanza na uuteke moyo wake. Lakin mahari ni lazima ni mila sio fadhila japo ckubaliani na wazee wanaotaja zaid ya ml 1. Usisahau kakusomeshea mkeo bro
 
Mahari kubwa ni swala la kwanza Ila maneno yako yanareflect perception yako kwa mwanamke ni swala la pili ambalo ni hatari zaidi huyo mwanamke atakaekubaliana na wewe tuanze kumuombea mapema.
 
Huyu bint inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.

Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi , Sinunui.

Sasa kwenye mahari ndo ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa tsh Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.

Ilileta shida. Mimi nlisisitiza kuwa baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndo huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndo ukweli na baba yake ana akili sana tu.

Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil 6.hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4

Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamwona dhahabu.

Basi nikamwambia its ok akaolewe na hao wanaomwona dhahabu. Akanichunia siku 3. nikapanga nguo zake akija azichukue aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.

SITOI mahari hilo nimekataa. Mtu nimemkuta amesha chakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo yaani why nikalipe pesa kwao wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.

Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Usikubali kutoa mahari

Serikali ilishafuta utoaji wa mahari duniani.
 
Kwenye hii Dunia ya Sasa,mzazi kutaja mahari zaidi ya milioni ni kama unataka mwanao azalie nyumbani.

Kuna wazazi Wana tamaa kiasi kwamba anamwona mwanae wa kike Kama bidhaa ya thamani itakayogombaniwa sokoni Kisha auze kwa Bei mbaya.
Unaishi wapi wewe kijana ?
 
Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Wewe kama mwanamke utapokea mahari ili iweje au ufanye nini nayo, ila kama umetokea familia maskini mahari kwako ni mtaji vinginevyo jikomboe kiuchumu mambo madogo kama haya utayaacha
 
Huyu bint inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.

Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi , Sinunui.

Sasa kwenye mahari ndo ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa tsh Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.

Ilileta shida. Mimi nlisisitiza kuwa baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndo huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndo ukweli na baba yake ana akili sana tu.

Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil 6.hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4

Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamwona dhahabu.

Basi nikamwambia its ok akaolewe na hao wanaomwona dhahabu. Akanichunia siku 3. nikapanga nguo zake akija azichukue aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.

SITOI mahari hilo nimekataa. Mtu nimemkuta amesha chakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo yaani why nikalipe pesa kwao wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.

Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Hujielewi.
 
Dini gani?
Kwetu waislam mahali ni msahafu tu unatosha.
 
Hata mimi sikubalian na kukopi tamaduni zote za wazungu lkn km tulipenda mavazi yao tukaamini yanatustaharabisha nadhan hata hili la mahari inabid tuachane nalo kabsa ni utaratibu wa ovyo kabsa?!
Mahari inashida gani?! Nipe sababu za msingi ili ifutwe leo.
 
Back
Top Bottom