Hiyo mahari ya kuropoka. Unakuta mzee wa huyo binti ana ushamba mwingi. Wazee kama hao unamfuata na laki tano akiikataa, mnarudi mara ya pili na laki tano na nusu, alichomoa mnakuja na laki sita. Akikataa unamtia mimba binti maisha yaendelee.ndo kwa mahar ya 5M jaman duu
Aliekwambia wa kishua wanalipiwa mahali kubwa nani?? Dogo mbona huna akili aisee.Wewe pimbi kama huna Hela achana na watoto wakishua katafute utakawo walipia laki mbili
Hizo pia ni mila za kiarabu. Mila za kiafrika especially kibantu ni wazazi ndio wanasema vitu wanataka kama tendo la kuomba ridhaa yao na huwa kawaida wanatazama na uwezo wa familia ya kijana.Mahari ni haki ya mwanamke maan yeye ndo anaolewa anatakiwa ataje kias anachotaka kutok kw mumewe akisem 500
ila mimi binafs sitataka mahar wala kutaja mahar hiyo nawaachia wenyew wapendanao wajikadirie na walipane
Hapana lov, seriouslyPole sana ,utavumilia
HatariMahari anataja baba kwani anaolewa yeye? Mfyuuuuu,
Naenda kugalagazwa mie halafu mahari wale wengine,[emoji23]
Hizi zote ni tamaduni. Kwa upande wa wazungu huwa hakuna mahari, ila engagement ring ina formular yake ambayo inategemea na kipato cha binti.Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.
Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.
Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??
Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.
Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.
Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiangalia vizuri ni kwamba mifumo ya haya mambo imekaa kumuumiza muoaji tu
We mzee,ata
We mzee hata km mahari ni kipimo cha kuweza kuyamudu majukumu ya familia sio umwambie M6,afu hao tayar wanaishi pamoja,wazaz ifike wakati wawe wanaelewa km binti anaolewa na mwanaume
ambae wanaishi wote tena muda mrefu,mahali inabid iwe kidg tu ya kutoa kibali na sio hayo mamilioni
Wewe milioni 6 hio si akafungue ofisi mahali,unatoa pesa yote hio mwanamke sio bikira na ni aibu,halafu ndio hawa hawa unabambikiwa mtoto
Dada acha kuandika uonekane una upeo mpana wa kutazama mambo ile Hali unatetea mashudu tupu!
Mhusika hakukataa mahari anachokipinga ni kiasi anachopangiwa, yaan anapangiwa kiasi hicho Kwa sababu gani?
Kwa mila nlizokulia mimi binafsi mahari hua inakua approximated kistaarabu sana unaweza kuta unatoa dume wawili na kiasi flani Cha fedha
Wewe kama mwanamke utapokea mahari ili iweje au ufanye nini nayo, ila kama umetokea familia maskini mahari kwako ni mtaji vinginevyo jikomboe kiuchumu mambo madogo kama haya utayaacha
Hizi zote ni tamaduni. Kwa upande wa wazungu huwa hakuna mahari, ila engagement ring ina formular yake ambayo inategemea na kipato cha binti.
Sijaona uhusiano hapo.Huyu inaelekea hata mwanaye wa kike hawezi kumpeleka kindagathe ya m2 kwa mwaka
We fala sana. So mimi sikusoma? Gharama zangu analipa nani? Nyie ndo huwa mnaolewa wote sababu ya tamaa. Aende zake kwao.Hivi wewe pimbi unajua gharama ya kumsomesha mtoto wa kike mpaka umemkuta anafanya kazi!
Mimi siyo kijana. Nina umri wa kustaafu kwa hiari.Unaishi wapi wewe kijana ?
wewe tafuta hilo hela bn,acha hojaπππππHuyu bint inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.
Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi , Sinunui.
Sasa kwenye mahari ndo ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa tsh Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.
Ilileta shida. Mimi nlisisitiza kuwa baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndo huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndo ukweli na baba yake ana akili sana tu.
Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil 6.hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4
Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamwona dhahabu.
Basi nikamwambia its ok akaolewe na hao wanaomwona dhahabu. Akanichunia siku 3. nikapanga nguo zake akija azichukue aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.
SITOI mahari hilo nimekataa. Mtu nimemkuta amesha chakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo yaani why nikalipe pesa kwao wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.
Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Ni akili za kipuuzi sana. Sisi tunaamini mtu anasomeshwa apate ufahamu mkubwa. Hawa wazazi wanaotaka waje kulipwa ndo kuendeleza mawazo ya kimaskini. Kusomesha ni wajibu wa mzazi. Na asitegemee aje kulipwa. Elimu ni ya mtoto wake si yangu. Why nije kuilipia?Kumsomesha ni wajibu wa mzazi, kwahiyo akimsomesha ndo aje alipwe kupitia mahali??
Nyie ndo wazazi wa hovyo mnaosomesha mtoto ili sio aje kua na maisha mazuri baadae bali aje kuwasaidia nyie na umaskini wenu mlioshindwa kujikwamua. Mnamuweka mtoto kama asset, asome aje awape hela nyie kindezi tu.