Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment




Wewe ni mwanaume dhaifu
 
Ungetafuta watu ukaenda kwao,huko ndio ungejua ukweli,sasa unaanza kugombana na binti,ambae hata mahali hapangi
Hayo anayoyaongea ndiyo ambayo kaambiwa na baba yake. Huwezi enda kwa binti kwao bila kupata dodoso. Maana huwa siyo siri kwao. Wanaongea wanamwambi.... Wewe mwanetu bila kiasi hiki hakuoi mtu.
 
Kaka yangu Kiranga naomba usome hapa. The real meaning of mahari na sio kukaa mnawaharibu vijana eti wakimbie mahari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani tokea waarabu wawekeze Tz, Basi kila mtanzania ni mfanya biashara.

huyo binti na baba yake ni wafanya biashara. 😀😀😀😀😀😀
 
Nenda kwao kwanza wazazi wakuone halafu mpige mimba watashusha bei. Ila mkakati wako wa ndoa ni wa kibabe sijui vijana wa siku hizi hamfundishwi maana ya kuwa mwanaume
Mwanaume ni kuwa na msimamo. Ndo maana siku hizi mnavuliwa ubingwa sababu mnakosa msimamo.
 
Isitoshe kuna room ya kuomba punguzo la mahari. Wengi tumeoa na mahari tumelipa kwa instalment. Huyo ni mzinzi tu kama alivyo huyo mchumba wake. Binti makini asingekubali kumegwa na mhuni huyo tena nje ya ndoa.
Nitafutie Binti Bikra humu nakupa Milion 6.
 
Mahari
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wewe si unataka kujimilikisha
Si lazima. Miaka yote tunatiana akiamuana analala akiamua anaenda kwake. Na ilikuwa vizuri tu. Mi sikuwa nataka hata azoee kwangu. Basi tu akaanza na mwishowe akaweka kambi. Tunapendana na kama tunapendana basi awe tayari kuoana nami siyo kununuliwa nami. Sioni cha kulipia kwake.
 
Hajanisomeshea. Kamsomesha kwa manufaa yake. Elimu ni ya mwanae. Hainihusu. Nami nimesoma pia. Na kumsomesha ni wajibu wake. Sikusema amsomeshe nije nimuoe.
 
Ndio maana sisi sio wazungu
Na ndio maana wazungu wanaotuoa wanaulizia taratibu na wanalipa mahari
Hukunielewa kwa vile sikujieleza sana. Hao ni ghali kuliko mahari tunayotoza hapa kwetu. Ila kusema za ukweli kutoza mahari kubwa si halali. Kwani mahari inamaliza umaskini wa familia.

Nazungumza hili kwa vile bado nina mabinti na nishaozesha. Kwangu mahari ni chini ya TSh. 10,000 tu ambazo na mimi ndizo nilizotozwa wakati nikioa mama yao. Kwani unauza mtoto? Je, kijana naye hakuzaliwa kama huyo binti yako?

Ila huo ni msimamo wangu si lazima kila mzazi afanye hivyo
 
Kabisa. Mimi sijamtukana mkwe popote pale. Nimesema tu mzazi mwenye akili timamu hawezi fikiria hilo. So siamini baba yake anaamini kuwa anatakiwa alipwe tsh mil 6.
 
Mahari kubwa ni swala la kwanza Ila maneno yako yanareflect perception yako kwa mwanamke ni swala la pili ambalo ni hatari zaidi huyo mwanamke atakaekubaliana na wewe tuanze kumuombea mapema.
Perception yao ndo mbaya. Ya kutaka kuuza watoto wa kike. Yangu ni kuwa tunazungumzia usawa na haki sawa. Ndo usawa wenyewe huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…