Adriel Vin
Senior Member
- Jun 25, 2020
- 148
- 759
Nafikiri ingekua busara kutuma wazee kwenda kuzungumza na mzazi wake kuliko kukaa kubishana na binti, kwanza inaonyesha mtu hayuko matured enough, unabishana vipi na binti kuhusu mahali while unatakiwa kutuma wazee wakazungumze kwao??? SThamani ya binadamu haipimwi kwa mahari pia. So mahari isiwe kigezo cha watu kuoana. Kwani ikiwa juu sana ndo anakuwa na thamani sana?
Mkasome mpate kipato msijiuze au kuuza watoto wenu. Mnataka usawa huku mnataka kujiuza tena. Mtaolewa familia nzima sasa.Hakuna anayewakomoa vijana wa kiume, wanajikomoa wenyewe kwa kutaka kuoa wasipopamudu.
Unaposema mahari iwe reasonable usisahau kwa wengine milioni 6 ni reasonable sasa kama wewe laki ndio reasonable kwako tafuta wa mahari ya laki. Sio shida
Kuhusu mahusiano ya mahari na kuhudumiwa huna wa kumlaumu sababu wewe ndio mchagua mke na wewe ndio muamuzi na muoaji😃
Ukiwa na akili huwezi dharau anachokwambia muolewa ambaye ndo ameishi na wazazi wake siku zote na wamemwambia kuwa hawamwozi bila kiasi flani.Nafikiri ingekua busara kutuma wazee kwenda kuzungumza na mzazi wake kuliko kukaa kubishana na binti, kwanza inaonyesha mtu hayuko matured enough, unabishana vipi na binti kuhusu mahali while unatakiwa kutuma wazee wakazungumze kwao??? S
Siyo Bikra watu wamekula bure leo ukalipiwe mahari kwa mtu ambaye kaamua kukusitiri. Mahari ilikuwa inalipwa at least kwa mwanamke bikra kama asante kajitunza. Leo hii mnaolewa mna mabwawa ya kufugia samaki mnataka tena mlipwe? Mtu anunue kitu mtumba very used. Hakuna kununua kitu used.Wapi pameandikwa mahari inalipwa kwa bikra pekee!?
Halafu kama ndivyo kwanini usiwatafute hao mabikra?
Mkasome mpate kipato msijiuze au kuuza watoto wenu. Mnataka usawa huku mnataka kujiuza tena. Mtaolewa familia nzima sasa.
Siyo Bikra watu wamekula bure leo ukalipiwe mahari kwa mtu ambaye kaamua kukusitiri. Mahari ilikuwa inalipwa at least kwa mwanamke bikra kama asante kajitunza. Leo hii mnaolewa mna mabwawa ya kufugia samaki mnataka tena mlipwe? Mtu anunue kitu mtumba very used. Hakuna kununua kitu used.
Kwan kasema Hana mil 6? Shida ni mtu anae mlipia,Acha kulalama. Nenda katafute bikra tuone hata kama una hiyo milioni6[emoji849][emoji849][emoji849]
Eti mabwawa ya kufugia samaki[emoji57][emoji57] sasa mbona yanataka kukutoa roho!?
Umegundua ni bwawa baada kuambiwa ulipe mahari[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Maneno ya mkosaji heheheiiiiyaaaa
Kwan kasema Hana mil 6? Shida ni mtu anae mlipia,
Wanawake wap*mbv mnasapotiana ujinga , huyo bint kamtafutie ndugu yako aje amuoe
Mahali siyo lazima,na pia haina ulazima kuwa kubwa,muda wa kung'ang'ania mahali kubwa kuwa bdo kipimo cha ubora wa mwanamke kimepitwa na wakati waambie wazee wenu mapema,vijana wa sasa hivi hawaheshimu kiwango cha mahali,ndo ni maisha ya watu wawili kwa usawa nasi mmoja kununuliwa kama bidhaa!!Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.
Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.
Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??
Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.
Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.
Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Kwani kutokuoa ni kosa?? Wanawake wanaohitaji ndoa wengi sana duniani wapo radhi hata bila mahali mradi avae pete tu,usimtishe mtu kutokuoa[emoji1787][emoji1787]Wewe una kajeuri flani hivi mkuu, usipokua makini hutaowa wala kuishi na mke yeyote, ulipaswa kuliongelea kifamilia na sio kumwanika humu,, je! Unajuaje kama si member wa jamiiforum huyo binti!!! Aleyommba gekke mami kuwa makini!
Wewe ni mwanaume mshenzi na umebahatika kupewa nyoko tu , huna akili unamabox kichwani .Changudoa sana wewe. Yaani mshindwe kujipanga kimaisha mtegemee kuja kutokea kwenye mahari. Mtaishia kuolewa familia nzima. Mniuzie kwani yeye ng'ombe? Halafu unasema agharamiwe. Sasa kama ulizaa ulitaka nani akugharamie? Na suala la kutunzwa kwani mwanaume hakutunzwa mpaka kufikia hapo? Mnafanya biashara kupitia K? Sasa wakiisha watoto kinachofatia si mama na baba nao kuja kuolewa?
Dah kula kukicha mtu unajikuta unataka kuelimisha zaidi juu ya tabia za kibinaadamu. Hivi ndugu kwani kwa ufahamu wako mahari ni kitu gani? Yaani mahari hutolewa kwa sababu gani? Kwani kuna mashart gani juu ya kutowa mahari? Naona kama kwa mtazamo wako ni kuwa mahari hutolewa kwa mabikira tu, au nimekusoma sivyo? Naona kuwa mil 6 sio issue issue ni kwa nini ni mil 6.Huyu binti inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.
Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana, basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi, Sinunui.
Sasa kwenye mahari ndio ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa Tsh. Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania, mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.
Ilileta shida. Mimi nilisisitiza kuwa, baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndio huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndio ukweli na baba yake ana akili sana tu.
Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil. 6, hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4
Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je, nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je, mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau, sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamuona dhahabu.
Basi nikamwambia it's ok, akaolewe na hao wanaomuona dhahabu. Akanichunia siku 3, nikapanga nguo zake akija azichukue, aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.
Sitoi mahari, hilo nimekataa. Mtu nimemkuta ameshachakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo, yaani why nikalipe pesa kwao? Wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli, ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.
Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye tu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Kuuuliza ni kutaka kujua jambo? Kwaiyo kama wajua zaidi na ninavyojua nieleweshe tafadhaliHebu acha mambo yako wewe, kumbe hata hujui mahari ni nini??
Be serious🤔
Ungesoma ungejitambua kuwa mahari ni biashara ambayo watu wanafanya kuuza wanawake au watoto wao. Kwa mwenye elimu atauliza why mtoto wa kike atolewe mahari. Ili iweje? Mnataka mfumo dume uondoke ila mnataka matokeo yake mfaidike nayo. Mkiendelea hivi mtajikuta hadi wazazi wenu wanaolewa.Kusoma tumesoma kipato tunacho na usawa hatuutambui kwenye issue ya mahari. Usawa ni kwenye elimu, ajira, kumiliki Mali ndani ya jamii ila usituletee usawa wa kutaka tukulipie mahari. Hivihivi ndio wanaume wanageukaga🙄
Wewe milioni 6 kwa maisha yako yote umeongea karibu uzimie, utaweza kununua diapers na maziwa ya watoto kweli🙌🙌
Sasa wewe akili huna, bikra walitoa watu bure, uelewa mdogo. Then mtu mwenye akili timamu anaanze kukulipia mahari? Lazima ahoji analipia nini ulicho nacho. Maana huna cha kulipiwa. Unauza nini hapo cha kulipiwa?Acha kulalama. Nenda katafute bikra tuone hata kama una hiyo milioni6🙄🙄🙄
Eti mabwawa ya kufugia samaki😏😏 sasa mbona yanataka kukutoa roho!?
Umegundua ni bwawa baada kuambiwa ulipe mahari😆😆😆😆
Maneno ya mkosaji heheheiiiiyaaaa