Mjegejo Wa Begeju
Member
- Jun 17, 2023
- 93
- 239
- Thread starter
-
- #121
Uhuni na huu ni uuzaji wa binadamu. Kupeana asante tunaweza na sikatai. Suala la matunzo hata mimi nimetunzwa pia. Wanataka kuondoa mfumo dume ila wanachagua yale ambayo wanayataka na wasiyoyataka.Ni uhuni tuu na Mila za kishenzi.
Kumuuza Binti yako sio uungwana.
Unataka Mahari Kwa vigezo vipi?
Kama ulimlea Binti yako hata huyo kijana alilelewa na Wazazi wake,
Binti ndio ataje Mahari, Kwa sababu yeye ndiye muolewaji, yeye ndiye MKE mtarajiwa na ndiye mwenye uhitaji wa kuolewa.
Mzazi anataka Mahari Kwa misingi ipi?
Mimi nina dada nlishamwambia kwenye kutolewa mahari sitokuwepo ni upuuzi. Kama wamependana wachukuane wakatambulishane home kwa wazee na sisi. Basi waanze maisha. Jamaa washatomber bure miaka yote. Halafu jumba bovu niangushiwe mimi. Nalipia nini sasa?Hapo angekuwaa jamaa sasa anasema dada akoo ashatombesha sanaa inabdi amchukue bureeee weee moto ambao ungewashaaa 😀 😀 😀 😀 😀
Hili swala inabidi turudi nyuma na kuangalia:-Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utii na heshma[emoji23][emoji23][emoji23]
Upendo ni kutoa, toeni mahari[emoji111][emoji111]
Usiogope,nitaomba pia😋Daaa,nimeogopa eti🤒🤣🤣🤣🤣🙌
😅 😅 😅 😅Wanataka kuondoa mfumo dume ila wanachagua yale ambayo wanayataka na wasiyoyataka
Mpaka miaka hii mbona nimeishi bila kuoa na maisha yanaenda tu? Sijawahi sikia mtu kafa sababu hajaoa. Kuoa si lazima sana. Mimi nipo huru naandika popote ili kama naye ni member asome. Siyo siri.Wewe una kajeuri flani hivi mkuu, usipokua makini hutaowa wala kuishi na mke yeyote, ulipaswa kuliongelea kifamilia na sio kumwanika humu,, je! Unajuaje kama si member wa jamiiforum huyo binti!!! Aleyommba gekke mami kuwa makini!
Tafuta wewe ambaye huna. Na hiyo siyo mahali. Ni Mahari. Simwoi aje kunifanyia kitu. Bwege wewe. Mnaoa ili mkatumikishe wanawake. Mimi najiweza na siwezi kosa mke hata kesho nikitaka kwa vigezo vyangu.Fala wewe fanya kazi, tafuta pesa, huyo mwanamke kwa atakayokuja kukufanyia maishani ni zaidi ya mara milioni moja ya hako ka mahali kako.
Na wewe ni ndondocha.Wewe ni tahira.
chai
Nilishampa mimba mara mbili akatoa. Sina wasiwasi. Na nlishamwambia aondoke kama anaona bila mahari hawezi kuishi nami. Hajaondoka.
Ukiolewa wewe inatosha si lazima nije nami nikuoe.Wavulana bado mna mengi ya kujifunza.
Kazi yenu kuu ni ujuaji na ubishi usio kuwa na mbele wala nyuma.
Yani mtu kama wewe kuwa na mke ni matusi kwa taasisi ya ndoa.
Shenzi kabisa!
Subiri upate watoto MkuuHuyu bint inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.
Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi , Sinunui.
Sasa kwenye mahari ndo ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa tsh Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.
Ilileta shida. Mimi nlisisitiza kuwa baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndo huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndo ukweli na baba yake ana akili sana tu.
Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil 6.hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4
Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamwona dhahabu.
Basi nikamwambia its ok akaolewe na hao wanaomwona dhahabu. Akanichunia siku 3. nikapanga nguo zake akija azichukue aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.
SITOI mahari hilo nimekataa. Mtu nimemkuta amesha chakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo yaani why nikalipe pesa kwao wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.
Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye yu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Kwani Wake WANAUZWAUnataka mke wa Bure?
Poor Africans
Hata M1 ni nyingi sana. Wenzio wamekula bure why uje ulipie? Unalipia nini?Nakupongeza sana kwa msimamo wako..mwanamke asiyebikra mahari yake isizidi 1M.
Hata M1 ni nyingi sana. Wenzio wamekula bure why uje ulipie? Unalipia nini?
Umeoa? Huyo mkeo walikupa Bure?Kwani Wake WANAUZWA
KumbeUmeoa? Huyo mkeo walikupa Bure?