Ameomba namba tuAcha umalaya
simu ziko wapi..?Haha
Easy ❌Tatzo na wew umejibu kwa mfumo wa Easy ni kama vle unampenda sanaaa wakat mpo hatua za mwanzo
Nje ya mada... Oya mwamba sikukuu si ndo leo acha kufuga huo mshahara twende tukaleweHahahahaa nilijua amekulisha tofali kaka. Basi bado upo position nzuri.
NdIo mara 17Umetuwakilisha vyema. Si umemla lakini?
Utakuja kupigwa wew😁😁😁 yote hayo ya nini ,ungemwambia tu sina, mkuu.
Basi vizuri, hapo lazima aende na beat lako.NdIo mara 17
Mkuu huyo hakupendi pia ni malaya.Huyu demu nimemtongoza hata wiki mbili hakuna tayari matatizo Yake yote ya kifedha amenipa Mimi Leo hili Kesho kile Sasa nimechoka nimeona nimuambie ukweli
View attachment 3183864
Sina babe!Babe naomba hela.
Mkuu mara 17 ndani ya wiki mbili?NdIo mara 17
Hahaha, kwa huu uchumi na demand ya pesa kwa wanawake, dah nawahurumia vijanavijana wanajigeuzia makali sio poa
NdioMkuu mara 17 ndani ya wiki mbili?
Hela za Kodi zetu nyie mnazitafuna wajinga nyievijana tafuteni hela acheni kulialiaa ...mwenzenu nipo naenjoyyy holiday apaa na totoz za mjinii
View attachment 3183872
Hana tofauti na wewe🤣🤣Happy kanyooka hana kona kona🤣🤣🤣
Mkuu acha uchoyo, mpe hela bwana.
Alikuwa hakutaki umejisumbua tu kumshushia bango.Huyu demu nimemtongoza hata wiki mbili hakuna tayari matatizo Yake yote ya kifedha amenipa Mimi Leo hili Kesho kile Sasa nimechoka nimeona nimuambie ukweli
View attachment 3183864
Dem linaomba hela kila siku kama vile nililiwekeza na usikute linawanaume kama wote, hao wa hivo mimi huwa napiga na kusepaHuyu demu nimemtongoza hata wiki mbili hakuna tayari matatizo Yake yote ya kifedha amenipa Mimi Leo hili Kesho kile Sasa nimechoka nimeona nimuambie ukweli
View attachment 3183864
Hapo kinachoinjoi ni Ela sio wewe ukitaka kuamini sitisha huduma ghafla uone kati ya ela na wewe nani anainjoivijana tafuteni hela acheni kulialiaa ...mwenzenu nipo naenjoyyy holiday apaa na totoz za mjinii
View attachment 3183872