Anaomba Sana Hela, sasa Leo nimemchana

Anaomba Sana Hela, sasa Leo nimemchana

Huyu demu nimemtongoza hata wiki mbili hakuna tayari matatizo Yake yote ya kifedha amenipa Mimi Leo hili Kesho kile Sasa nimechoka nimeona nimuambie ukweli

View attachment 3183864
Mkuu huyo hakupendi pia ni malaya.

Ukiwa na pesa wahuni huwa hawajali wanatoa, akiomba wanampa tena. Ila wanamfumua mpaka nyapu inakuwa kama sahani. Then wanasema ikiwezekana wanamwacha na mimba juu.

Baada ya hapo anaanza kulia lia eti wanaume hakuna.
 
Back
Top Bottom